KISA CHA THAALABA NA KUKATAA KWAKE KUTOA ZAKA
Imeafsiriwa na Muhammad Faraj Salem Al Saiy
Wengi miongoni mwa makhatibu wa misikitini wanainasibisha na Sahaba Thaalaba bin Hatib (Radhiya Llahu anhum) aya ya 75 ya Surat At Tawba.
Katika aya hiyo Mwenyezi Mungu anasema:
"Na miongoni mwao hao (wanafiki) wako waliomuahidi Mwenyezi Mungu kuwa ; "Akitupa katika fadhila Zake tutaoa sadaka na
tutakuwa miongini mwa wanaotenda mema. Lakini alipowapa hizo fadhila Zake
walizifanyia ubakhili na wakakengeuka. Nao (mpaka hivi
sasa ) wanakengeuka. Kwa hivyo (Mwenyezi Mungu)
Akawalipa unafiki (kuutia) nyoyoni mwao mpaka siku ya kukutana naye kwa sababu ya kuhalifu kwao waliomuahidi Mwenyezi Mungu na
kwa sababu ya kusema kwao uwongo."
Attawba - 75-77
Kimetungwa kisa kirefu kinachonasema kuwa Thaalaba (Radhiya Llahu anhum) ndiye aliyekusudiwa katika aya hii kuwa alikataa kutoa zaka kumpa Mtume wa Mwenyezi Mungu (Swallah Llahu alayhi wa sallam).
Kisa kinasema kuwa Thaalaba
alikuwa masikini
Kisa kinaendela kusema kuwa; Siku moja Thaalaba alimwambia Mtume wa Mwenyezi Mungu (Swallah Llahu alayhi wa sallam):
"Niombee dua ili Mwenyezi Mungu aniruzuku wanyama wengi sana." na Mtume wa Mwenyezi Mungu (Swallah Llahu alayhi wa sallam) akamuombea dua na idadi ya kondoo wake ikaongezeka ikambidi atafute nyumba nje ya mji wa Madina. Akawa hasali isipokuwa baadhi tu ya sala za fardhi.
Idadi ya kondoo ikazidi kuongezeka na safari hii ikabidi asogee nje zaidi ya mji wa Madina, na akawa hana tena wakati wa kusali isipokuwa siku ya Ijumaa tu.
Idadi ya kondoo ikaongezeka
tena akaacha kusali hata hiyo Ijumaa, na Mtume wa
Mwenyezi Mungu (Swallah Llahu alayhi wa sallam) alipompeleka mjumbe wake kwa
ajili ya kukusanya pesa za Zaka, Thaalaba akakataa, akasema: "Hakuna Zaka
yenu katika
Kisa kinaendelea kusema kuwa;
Thaalaba alihisi vibaya akachukua
Akaipeleka kwa Omar naye pia akasema: "Wallahi siwezi kukubali alichokikataa Mtume wa Mwenyezi Mungu (Swallah Llahu alayhi wa sallam)."
Kisa
hiki si cha kweli na isnadi yake ni ya kupangwa, juu ya kuwa kimesimuliwa na
maulamaa wakubwa
1- Mwenyezi Mungu hakatai toba ya mja wake.
Mwenyezi Mungu anasema
"Wakitubu wakasimamisha Sala na wakatoa Zaka basi iacheni njia
Al Tawba – 5
Na akasema:
"Sema: "Enyi waja wangu mliojidhulumu nafsi zenu! Msikate
tamaa na rehema ya Mwenyezi Mungu. Bila shaka Mwenyezi Mungu husamehe dhambi
zote. Hakika yeye ni Mwingi wa kusaheme dhambi (na) Mwingi wa kurehemu."
Azzumar 53
Aya
zilizotangulia zinatujulisha kuwa hata
mshirikina akitubu basi Mwenyezi Mungu ataikubali toba yake, itakuwaje basi
aikatae toba ya Muislamu aliyeacha kutoa Zaka?
2-
Anasema Imam Al Qurtuby katka Jamia al Ahkam:
“Thaalaba
alipigana vita vya Badr, na Mtume wa Mwenyezi Mungu (Swallah Llahu alayhi wa
sallam) alishuhudia kuwa ni Muislamu wa kweli, kwa hivyo kisa hiki anachonasibishwa nacho
si cha kweli.
Jamea
al Ahkam
3- Anasema
Al Hafidh al Iraqi katika tahakiki ya hadith za kitabu cha al Ahyaa:
“Hadithi
hii imetolewa na Al Tabarani na isnadi yake ni dhaifu”
4-
Anasema Ibni Hajar katika Al Isaba:
“Kisa
hiki sidhani
Aliyefikia
daraja hii itakuwaje awe mnafiki
____________________________________
(kisa
hiki nimekifasiri kutoka katika site ifuatayo:
http://audio.islamweb.net/islamweb/index.cfm?fuseaction=ReadContent&AudioID=22183#14913