|
|
|
KWAHERI RAMADHANIEnyi waja wa Mwenyezi Mungu! Mwezi wa Ramadhani ndio huo unatutoka, na hazikubaki isipokuwa siku chache sana. Aliyeutumia ipasavyo amefuzu, ama yule aliyepunguza ndani yake akacheza basi siku hizi chache zilizobaki azimalize kwa wema, kwani ubora wa amali ni mwisho wake. Kwa hivyo ongezeni juhudi katika siku chache hizi zilizobaki kwa kufanya amali njema ili Mola wenu akusifieni mbele ya Malaika wake |
|
|
Wasalla llahu alaa sayiduna Muhammad wa Alaa aalihi wa Sahbihi wa sallam |