KUFICHUA SIRI NA KUWASAFISHA MAIMAMU
WALIO
Miongoni Mwa
Wanazuoni Wa Najaf.
Kimetafsiriwa Na
Abu Elmi Na
Kimehakikiwa Na
Kusambazwa Na: Kitengo Cha Da’awa
Sifa njema zinamstahiki Mwenyezi Mungu mlezi wa viumbe na tunamtakia
rehema na amani mtume wetu Muhammad (saw) yeye na ahli zake na sahaba zake.
Ama baada ya salam
Tulikua
katika jumuiya ya Swalahuddiin tukizungumzia haja ya kuwa na kitabu chenye
ufupi wa maelezo ya msingi wa shiya,(Ithna ashariya) kwa sharti waweze
kufaidika kwa kitabu hicho watu wa
kawaida na watu maalum. Pindi tulipo kuwa tunatafuta nani aandike kitabu hicho
miongoni mwa wanazuoni na wenye ujuzi na waliobobea kikatufikia kitabu
hiki : -
(KWA AJILI YA ALLAH… KISHA KWA AJILI YA HISTORIA) kilicho tungwa na
ASSAYED HUSSEIN AL MUSAWIY, miongoni mwa wanazuoni wa najaf na baada ya
kukisoma tukaona kinakidhi
lengo na ziada, ama ziada tunayoikusudia hapa ni mtungaji wa
kitabu hicho kwa vile anazingatiwa ni mwanazuoni miongoni mwa wanazuoni wakubwa
wa shia.na kwa sababu ya kusoma kwake na kufundisha kwake katika sehemu kuu
(Vyuo vikuu) za Najaf. Na alikuwa na mahusiano makubwa na wanazuoni na Ma,aayaati
wa kishia kwa mfano: Kashif Alghataa, Alkhuuiy, Al-Sadir, Al-Khamenii,na Abdul
Hussein Sharafuddin, ambaye alikuwa anakuja sana katika mji wa Najaf, achilia
mbali hili na lile, baba yake mtungaji pia alikuwa mwanachuoni katika
wanachuoni wakishia.
Mtungaji amezungumzia katika kitabu
chake maajabu aliyoyakuta na uzoefu wake katika rejea ya vitabu vya mashia kwa njia nzuri
yenye kuvutia na yenye ufupi na baada ya kutaja yaliokuwa yakimtokea akiwa
pamoja nao (wanachuoni wa kishia) au
akiwa na mmoja wao huwarejesha wasomaji wake katika vitabu vyao mama ambavyo
vinaonyesha ruhusa ya kitendo hicho kiovu.
Na yeyote atakayechukuwa kitabu hiki
na kukisoma kwa utulivu basi atauona ukweli wa
mtungaji. (wala hatumtakasi mtu mbele ya Allah) na ataona tofauti ya njia
alizozitumia kinyume na wenzake miongoni mwa watungaji wa kishia ambao wanaokosoa baadhi ya
misingi ya dhehebu lao, Mungu
amjaze kila la kheri kwa kitabu chake hiki kizuri , na amuepushie shari
ya wenye chuki naTumesikia kwamba wanampangia njama
Na ndio maana hakuweka jina lake kwa
uwazi zaidi ili asijulikane na kamkuta ya sio mema (soma ukurasa wa 91) katika
kitabu hiki.
Tuna muomba Mwenyezi Mungu ajaalie amali zetu ziwe kwa kwa ajili ya kupata radhi zake tukufu.
JUMUIYA YA SWALAHUDDIN,
14, SAFAR 1422.
Sifa njema zinamstahiki Allah
mlezi wa viumbe na rehema na amani zimshukie mjumbe
wetu muaminifu na Aali zake wema watakatifu na wafuasi wao kwa mazuri mpaka
siku ya kiyama.
Ama baada ya hayo, hakika
muislamu anajua kuwa uhai unakwisha kwa mauti kisha
inaamuliwa hatima yake ama kwenda peponi au motoni. Na bila shaka kuwa muislamu
ni mwenye kupupia ili awe miongoni mwa watu wa peponi.
Kwa ajili hiyo
lazima afanye amali yenye kumridhisha
mola wake mtukufu na ajiweke mbali na makatazo yake, mambo yanayo muingiza mtu
katika ghadhabu za allah kisha adhabu
yake. Kwa ajili hiyo tunamuona muislamu anakuwa na
pupa katika kumtii mola wake, na huo ndio mwendo wa muislamu wa kawaida, seuze
watu maalum (wenye elimu)?
Hakika uhai kama inavyojulikana
una njia nyingi na udanganyifu
mwingi,mwenye akili ni yule anayefuata njia inayomfikisha peponi hata kama ni
ngumu na kuacha njia inayomfikisha motoni hatakama ni nyepesi sana.
Riwaya hii nimeiweka
kwa mtindo wa utafiti (bahthi) ambayo nimeitamka kwa ulimi wangu na kuiandika kwa mkono wangu , nimekusudia kwa
kazi hii kupata radhi za Allah na kuwanufaisha ndugu zangu madamu nipo hai
kabla sijavikwa sanda.
Nimezaliwa
Al-imam Assayed Mohamed Al-hussein
(kashif Al-ghatwaa).
Tulisoma katika
madrasa za Najaf za elimu za juu ikawa matamanio yangu ifikie siku ambayo
nitakuwa marejeo katika mambo ya dini
siku ambayo nitakuwa kiongozi wa moja ya vyuo vikuu ili niweze
kuihudumia dini yangu na umma wangu na kuwaendeleza waislamu.
Na nilikuwa
nikitamani kuona waislam ni Umma mmoja, na taifa moja wakiongozwa na imam
mmoja, na katika wakati huohuo nikitamani kuona mataifa ya kikafiri
yakiporomoka na kuanguka mbele ya umma wa kiislam. Na kuna matarajio mengi
zaidi ambayo kila kijana muislam mwenye uchungu na
dini yake huyataraji. Na nilikuwa nikijiuliza ni kitu gani kilicho tupelekea
katika hali hii ya udhalili
tukonyuma kimaendeleo tumesambaratika tumefarikiana? Na nilikuwa nikijiuliza
vitu vingine vingi vinavyopita katika
fikra zangu
Akanisahilishia mwenyezi
mungu kujiunga na masomo, na kutafuta elimu, katika kipindi cha masomo zilikua
zinanipitia hoja zinazo nifanya nisimame nitafakari, na mambo tofauti
yanayoshughulisha moyo wangu na matukio yanayonishangaza , lakini nilikua
naituhumu nafsi yangu kwa kuelewa vibaya, na uchache wa ufahamu, nikajaribu
kuyaweka mambo hayo mbele ya mmoja wa
viongozi na waalimu wa vitengo vya elimu ya dini; Na alikua mtu mwerevu alijua
jinsi ya kuyatatua mas’ala hayo basi
akataka ayazime katika uchanga wake kwa maneno mepesi akaanza kuniuliza:
Unajifunza nini katika kitengo cha elimu?
Nikajibu: Madh-habu ya Ahlil- bait.
Akaniuliza, Je una mashaka na madh-habu
Ahlul-bait?
Nikamjibu kwa ukakamavu, mwenyezi mungu apishie
mbali.
Akasema ondoa wasiwasi huu katika nafsi yako, Hakika wewe ni mfuasi wa Ahlil-baiti wao wamepokea kwa Muhammad rehema
na amani ziwe juu yake na Aali zake, na Muhammad amepokea kutoka kwa mwenyezi
mungu mtukufu.
Nilinyamaza kidogo mpaka nafsi
yangu ikatulia, kisha nikamwambia:- Mwenyezi mungu
akubariki kwa kunitibu na wasiwasi huu, kisha nikarudi katika masomo yangu na
yakanirudia Maswali yale na maulizo na kila nilipokua nikipiga hatuwa katika masomo yalikua
yakiongezeka maswali, na kuongezeka kasoro ninazo zigunduwa.
La msingi ni kuwa nilimaliza masomo yangu kwa mafanikio makubwa,na nikapata
shahada yangu ya kwanza ya katika daraja la “Ijtihaad” kutoka kwa mwanazuoni
pekee zama hizo Mheshimiwa mkuu wa chuo Muhammad Al Hussain Al Kashif lgahtaa
mkuu wa chuo,na baada ya hapo nilianza kufikiri kwa kina zaidi juu ya mas’ala
haya,sisi tunasomea madhab ya Ahlulbait (AS) tunasomea masuala ya sheria ili
tumuabudu mwenyezimungu kwazo,lakini ndani yake kuna vipengele vya wazi kabisa
vinavyomkufuru mwenyezimungu mtukufu.
Ee mola wangu,ni mambo gani haya tunayoyasoma?! Je
yanaweza yakawa haya ndio madhab ya Ahlul bait kweli?! Hakika hili humsababishia
mtu ugonjwa wa nafsi katika shaksia yake,ni vipi
atamuabudu mwenyezimungu hali yakuwa anamkufuru?!.
Vipi atawafuata Ahlul bait,atawapenda na atasoma
madhab
Kutokana na rehema zako mola wangu,
na upole wako kwangu
Nilikuwa na haja ya kumpata mtu
wa kumshitakia huzuni zangu, na wakumtolea masikitiko yangu,
Mwisho nikaongozwa kwenye fikra
nzuri zaidi nayo ni kusoma kwa upana
zaidi na kuuangalia upya mtazamo
wa mada zangu za kielimu, Basi
nikaanza kusoma kila kilichopo katika marejeo yenye uhakika na hata vile
visivyo vya uhakika, basi nilisoma kila kitabu kilichopo mbele ya mikono yangu, ikawa zinanisimamisha baadhi ya ibara na hoja
ambazo nilihisi kuna haja ya kuziwekea
Taaliiq,(maelezo) basi nikawa nazinakili hoja hizo na kuzitolea maelezo kwa
yanayo pita katika nafsi yangu, pindi
nilipo maliza kusoma marejeo ya uhakika, Nikajikuta ndani ya rundo la vipande
vya karatasi, Nikavihifadhi kwa matarajio kwamba itafika siku mwenyezimungu
aktahukumu lifanyike jambo ambalo ameliandika.
Na uhusiano wangu ukabaki kuwa
mzuri pamoja na kila marejeo(maulamaa) ya kidini, na
wanazuoni na viongozi ambao nilikutana nao, Na nilikuwa nachanganyika nao ili niweze
kufikia kwenye lengo ambalo litanisaidia
pindi siku nitakayochukua uamuzi mzito, Nikasimama katika mas’ala mengi mpaka
kukinai kwangu kukawa kumekamilika katika kuchukua uamuzi mzito, lakini nikawa
nasubiri wakati na nafasi muafaka.
Na nikawa namuangalia rafiki
yangu msomi mwanazuoni (Musa Almuusawi) Nikamuona ni mfano mzuri(wa kuigwa) wakati alipotangaza
kupinga upotofu uliojitokeza katika mfumo wa kishia na kujaribu kwake kwa
juhudi kwa juhudi kubwa kusahihisha
mfumo huu.
Kisha kikatolewa kitabu na bwana Ahmadu
Alkaatibu (maendeleo ya fikra yakishia), Na baada ya kukisoma nikaona hakika
umefika wakati wangu katika kusema ukweli, Nakuwafafanulia ndugu zangu
waliohadaiwa, kwa sababu sisi
Na huenda mabwana hao wawili
waliotajwa hali
Ama mimi bado nipo ndani ya Irak , tena ndani ya Annajaf yenyewe. Na
vitendea kazi nilivyo kuwa navyo haviwezi kufikia ngazi ya vitendea kazi
walivyo kuwa navyo mabwana wawili hao.
Kwani mimi baada ya kufikiri
Na kuna mabwana wengine ambao nina uhusiano nao walikubali
mwito wangu (namshukuru Allah) waliuona ukweli huu ambao niliufikia katika
utafiti wangu na wao wakaanza kuwalingania watu wengine tunamuomba mwenyezi
mungu atuwafikishe sisi na wao kwa kuwaonyesha watu ukweli na kuwatahadharisha
kutumbukia katika batili (upotevu) hakika yeye ndie mkarimu zaidi kuliko wote
wenye kuombwa.
Nami nina
fahamu vyema kitabu changa hiki kitapuuzwa na nakukadhibishwa na kutupiwa
tuhuma nyingi za uongo na batili, na jambo hili halitanidhuru kwani nimayaweka
hayo yote katika malipo yangu. Na ninafahamu watanituhumu mimi ni kibaraka wa
Israel au Amerika au watanituhumu kwamba nimeuza dini yangu na dhamira yangu
kwa malipo ya Dunia, na Jambo hili halipo mbali na wala si geni,kwani
alishatuhumiwa rafiki yetu mwanachuoni
Musa Al-muusawi,kwa tuhuma mfano
wa hizi. Ikafikia hata bwana Ally Al-gharwiyy,kusema
kwamba mfalme wa Saudia Fahad bin Abdulaziz amemhadaa Dr.Al-muusawy kwa
mwanamke mzuri katika ukoo wa Al-Saud,
na kumfanya mzito kifedha, na kumuekea kiwango kikubwa cha fedha katika benki
za Amerika. Kwa kuingia katika madh-habi ya Al waahabiya!!
Ikiwa hapa ndipo alipo fikishwa Dr.
Al-muusawy kwa kusingiziwa uongo na
uvumi usio kuwa na msingi wowote, je mimi nitafikishwa wapi? Na
watanisingizia mabaya gani? Na huenda wao wananitafuta ili waniue, kama
walivyowaua waliosema ukweli kabla yangu.Walimuua mtoto wa maulana , AAYATULLAHI
AL-UDHMAA AL-IMAM ASSAYYID ABIL HASSAN AL-ASFAHANIY kiongozi mkuu wa shia katika zama za ghaibu kuu hadi sasa,(shia
wanaitikadi yakuwa kuna imamu wao alie potea na atarudi siku yoyote ndio hiyo
wanayoiita ghaibu kuu) na bwana mkubwa wa wanachuoni wa kishia bila kupingwa wakati alipotaka kuusahihisha
mfumo wa kishia, na kuutoa uzushi ulioingizwa, jambo hilo halikuwapendezea,
wakamchinja mtoto wake kama achinjwavyo kondoo ili wamzuie kiongozi huyo na
mpango wake wakuusahihisha dosari na upotevu wa kishia,kama walivyo muua bwana
AHMAD AL-KASRAWIY,wakati alipo tangaza kujivua katika upotevu huu,nakutaka
kuusahihisha mfumo wa kishia, basi wakamkata kata kiungo kimoja kimoja.
Na kuna wengi waliofikia mwisho
huu kutokana na kupinga kwao imani hiyo potofu ambayo
imeingizwa katika ushia, kwa hiyo si ajabu kunitakia mimi uovo
Haya yote hayanishughulishi,na inanitosha kusema ukweli na kuwanasihi ndugu zangu na
kuwakumbusha na kuigeuza mitazamo
Lakini mimi ninamshukuru Allah(s.w)
nimeyatupilia mbali haya yote tangu nilipo ujua ukweli,nami hivi sasa ninapata
riziki yangu na familia yangu kwa kazi za biashara halali na nimegusia katika
kitabu hiki muudhui maalumu ili ndugu zangu waione haki kiasi ambacho usibaki
ukungu machoni mwa yeyote kati yao.
Na nina nia ya kuandika vitabu
vingi vinavyohusu maudhui nyinginezo, ili waislamu wote wawe katika ubainifu,usibakie udhuru kwa mwenye kughafilika au kuwa na hoja
jahili. Nami nina yakini kuwa kitabu changu hiki kita kubaliwa na wale wote
wanaoutafuta ukweli na haki, nao ndio wengi zaidi,na nina mshukuru Allah kwa
hilo na ama yule atakae khiyari kubaki katika upotevu ili ukuu wao usipotee na
kupoteza mut’aa na khumusi miongoni mwa wale waliovaa vilemba, na kupanda
magariaina ya Mercesdes na Subaru hawa hatuna maneno nao, Allah(s.w) ndie tosha
yao juu ya yale waliyoyafanya na
wanayoendelea kuyafanya katika siku
ambayo hayatamfaa mtu mali wala watoto isipokua atakae fika kwa Allah(s.w) hali
ya kuwa moyo wake umesalimika.
Na nina mshukuru Allah(s.w)ambae ametuongoza katika dini hii tusingekua tumeongoka
Hakika inavyo julikana kwetu sisi mashia
kuwa ABDULLAH IBN SABAI ni
mtu wakubuni
hatambuliki kuwepo kwake,wamemtengeneza AHLU SUNNA,kwa ajili
ya kuutia hila ushia na imani yake,wakamnasibishia (Bin Sabai )kuanzilishi ushia ili wawazuie watu kuingia ushia, nakutofuata madhehebu ya
AHLAL-BAIT. Na nilimuuliza Bwana Mohammad Ali kaashiful-ghatwaa kuhusu IBN
SABAI akasema, kuwepo kwa mtu aitwae Ibni Sabai ni kitendawili kisichokuwa na ukweli wowote wamekitunga Ummawiya na Abasiyya kutokana na husda zao dhidi ya Ahlul-bait walio
takasika,basi inatakiwa kwa mwenye akili asijishughulishe na habari za mtu huyu.
Lakini mimi nimeona katika kitabu
chake maarufu kinachoitwa (ASILI YA USHIA NA MISNGI YAKE)ukurasa
40-41,maneno yanayoonyesha kuwepo kwa
mtu huyu, na uhakika wake pale aliposema
“Ama Abdullahi bin Sabai ambae wanamuhusisha na ushia au wanauhusisha
ushia kwake, basi vitabu hivi vyote vya ushia
vinatangaza kumlaani na kumkataa......” na hakuna shaka yeyote kwamba huu
ni ushahidi wa kuepo kwake (Bin sabai) Na nilipomrudia kutaka ufafanuzi
wa maneno haya, alisema: sisi tumesema hivi kwa njia ya Taqiyya tu (kudhihirisha
kinyume cha ulicho nacho) kuhusu kitabu ulicho kitaja kimekusudiwa AHHLU SUNNA, (na wala si mashia) na kwa ajili
hii nimefuatilia usemi wangu ulio tajwa kwa kusema baadala yake:(kuwa sio mbali
mawazo yanayosema kuwa Abdillahi Bin sabai,na wale wanaofanana nae vyote hivyo
ni vigano visivyo na uhakika wowote wameviweka wasimulizi na wakuu wa
mazungumzo ya paukwa pakawa).
Na alitunga bwana Murtadha Al Asakariy
kitabu chake (ABDALLAH BIN SABA NA VITENDAWILI VINGINE) ndani yake
amekanusha kuepo kwa ibn saba, pia SHEIKH
MUHAMMAD JAWAAD MUGHNIYA ,kakanusha kuwepo BIN SABAI katika
utangulizi wake wa kitabu cha
sayyid Murtadwa kilicho tajwa.
Na Abdallah bin saba ndie sababu mojawapo
ambayo inawafanya hasa watu washia kuwa na chuki dhidi ya AHLU SUNNA Na bila
shaka wale walio mzungumzia Ibn Sabai miongoni mwa Ahlu Sunna hawahesabiki , lakini mashia hawazizingatii kauli za wanachuoni wa
kisunna kutokana na tofauti zilizopo kati yao, isipokuwa tunapo soma vitabu vyetu vinavyotegemewa (katika ushia) tunaona kuwa ibn sabai ni shaksiya
ya uhakika wajapoipinga wanazuoni
wetu au baadhi yao na huu ndio
ubainifu wa hilo:-
Na anasimulia Abii Abdallah kwakusema:(Mwenyezi Mungu amlaani Abdallah bin
sabai,kwani yeye alimtangazia Uungu kiongozi wa waislamu Ali (a.s), na ninaapa
kwa Mwenyezi Mungu Amiril muuminin Ali (a.s) nimja wa Allah, mtiifu,ole
wake yule anae tusingizia uongo,kwani baadhi ya watu wanatusemea yale ambayo
hatuyasemi hata katika nafsi zetu tuna jitakasa kwa Mwenyezi Mungu na
hao,tuanajitakasa na Mwenyezi Mungu na hao) (MA’RIFATU AKHBARU ARIJAL)
ukurasa 70-71. na pia kuna mapokezi mengine.
3.
Na amesema ANNAWBAKHTY( wafuasi wa bin sabai ndio
walioanza kuzungumza kuhusu uimamu wa Ali na kusema kuwa uimamu wa Ali ni
faradhi kutoka kwa Allah (s.w) na Bin sabai ni katika watu walio dhihirisha
tuhuma kwa Abubakar na Omar na Othman na maswhaba wengine na kujitenga nao na akasema kuwa Ali (r.a)
alimuamrisha hivyo) basi Ali (a.s) alimkamata na kumuhoji kuhusu maneno yake
haya, akakiri,Ali akaamrisha auwawe, watu wakampigia kelele Ali na
kumuambia ‘Ewe kiongozi wa waumuni
unataka kumuua mtu anaewataka watu wakupendeni AHLUL BAIT, na kutaka
uongozi wako na kujitenga na maadui zako, basi akamuhamisha katika miji
mingine, wanasimulia jamaa miongoni mwa wanazuoni kuwa Abdallah bin sabai
alikuwa myahudi akasilimu,na akadai kumpenda Ali (a.s) na alikuwa akisema alipokua katika uyahudi wake kuhusu Yushiu
bin nuun, baada ya Musa (a.s) maneno haya
na akaja kutamka baada ya
kusilimu maneno hayahaya kuhusu Ali
bin Abii Twalib . Nae ndie mtu wa mwanzo
aliedhihirisha usemi wa kuwa uongozi wa Ali (katika uislamu) ni lazima, na kudhihirisha uadui kwa maadui zake Ali,na
kwa sababu hii wanasema watu wenye kuupinga ushia asili yake ni uyahudi.
kuanzia hapa anasema mwenye kwenda kinyume na shia asili yake ni uyahudi (FIRAQU
ASHIAH)uk 32-44.
kwani wewe husomi maneno ya Allah (s.w) yasemayo: " وفي السماء رزقكم وما توعدون"
(na katika mbingu kuna rizqi yenu na mliyo ahidiwa)
basi wapi mtu ataitafuta rizqi zaidi ya mahali pake? Namahali pa riziqi
palipo ahidiwa na Allah (s.w) ni mbinguni.( MANLLAA
YAHDHURUHUL-FAQIIH, 1/229)
6-
Amesma bin Abil-hadyd kuwa Abdallah bin sabai alimuendea
Ally (r.a) huku akiwa anhutubia watu kisha akmwambia( wewe wewe naakawa anarudia rudia
kusema hivyo),Ally (r.a) akamwambia ( una nini wewe? mimi nani?)akasema :wewe ni Mungu. Basi akaamrisha akamatwe yeye na watu
walio pamoja nae katika mawazo yake.(SHARHU NAHJUL BALAGHA) juzuu ya 5 / uk 5.
7-Na Assayid Nematullahi Aljazaairiy,
amesema:( Abdallah bin sabai aliesema kumwambia Ali (a.s) hakika wewe ndie
Mungu wa kweli, Ally(a.s) akamuamisha kumpeleka Madaainu, na inasemekana kwamba alikuwa myahudi akasilimu, pia alipokua katika uyahudi alikuwa akisema khusu
Yushi’u bin nun, na musa maneno kama haya aliyo yasema kwa
Ally(a.s) (AL-ANUWARU ANNU’U
MAANIYYA)juzuu ya 2/ uk 234, basi hizi ni dalili saba (zinazothibitisha kuwepo
kwa bin sabai katika ushia) zilizopatikana
kutoka kwenye vitabu vinavyotegemewa vya kishia baadhi yake vinahusu Elmul-Rijaal(elemu ya
kuwatambuwa watu) na baadhi yake katika
fiqhi na madhebu mbalimbali, baja na hivyo tumeacha kunukuu kutoka kwenye
vitabu vingine ili tusirefushe, vitabu vyote hivyo vinathibitisha kuwepo kwa
mtu aitwae Abdallah bin Sabai.basi haiwezekani kwetu sisi baada ya hoja hizi
kukanusha kuwepo kwa bin sabai kwa ushahidi kwamba Ally( r.a) alitoa adhabu kwa
bin sabai kwa kumuita mungu kwa maana
hiyo inathibitika kwamba Ally (r.a) alikutana na bin sabai, basi hiwezekani
kukanusha kuwepo bin sabai baada ya hoja hizi.
Tunapata
Faida Zifuatazo Katika (Aya) Hoja Zilizotangulia
1.
Kuthibiti kuwepo kwa Shakhsiya ya bin Sabai, na kuwepo kundi linalomsaidia, na kumuunga
mkono katika madai yake, na kundi hili linajulikana kwa jina la Assabaiyyah.
2.
Abdallah bin sabai huyu alikuwa myahudi
akajionyesha kuwa ni muislamu,isipokuwa ukweli ni kwamba alibakia katika dini yake ya uyahudi akawa anaeneza
sumu yake katika kipindi chote hicho,
3.
Yeye ndie wa
kwanza kudhihirisha matusi kwa masahaba wa mtume (saw) : Abubakar, Omar,na
Othman na masahaba wengine, Nae ndio wa
kwanza aliedai ukhalifa (uongozi) kwa Ali (r.a) nae (bin Sabai) ndie aliesema
kwamba Ali ndie alieusiwa ukhalifa na
mtume (s.a.w) na itikadi hii aliipata
kutoka kwa mayahudi , na akawa (bin Sabai) anasema hakuyasema maneno haya
ispokuwa kwakuwapenda familia ya mtume na kuwapigia kampeni katika ukhalifa,na
kuwapiga vita maadui zao (ambao ni maswahaba na kila wenye kuwaunga mkono
) hayo ndio madai ya bin Sabai.
Ikiwa hivyo ndivyo basi kuwepo shakhsiya ya
Abdallah bin saba’i ni jambo la ukweli ,
haiwezekani kulipuuza au kulikataa, na
kwa kuthibitisha kuwepo kwake zimekuja aya mbalimbali katika vitabu vyetu vinavyo
tegemewa navyo ni:
الغارات للثقفي ،رجال الطوسي ،الرجال للحلي ،قاموس الرجال
للتستري،دائرة
المعارف
المسماه
بمقتبس الأثر
الأعلمي
الحائري ،
الكني
والألقاب
لعباس
القمي،حل
الإشكال
لأحمد بن
طاووس
المتوفى سنة
673، الرجال
لابن
داود،التحرير
للطاووسي،مجمع
الرجال
للقهباني،
نقد الرجال
للتفرشي ،جامع
الرواة
للمقدسي
الأردبيلي
مناقب آل أبي طالب
لإبن شهر
أشوب،مرآة
الانوار
لمحمد بن طاهر
العاملي.
ALGHAARAT
CHA ATHAQAFIYY, RIJALU ALTWAUSY, ALRIJAL CHA AL HULLY, QAMUS-ALRIJAL LITTASITIRY, DAAIRATUL-MAARIFI,AL MUSAMATU BIMUQTABIS,AL ATHAR LIL-AALAMY, ALHAAIRIYI, ALKUNI WAL-ALQABI, LIABASILALQUMIYI,HALUL-ISHKALI LIAHMAD BIN TWAUS
ALMUTAWAFASANA(673),ALRIJALULIBN DAUD, ATTAHARYRU LITWAUSIYI,MAJMAUARIJALI
LILQAHBAAYI, NAQDU ALRIJAL LITAFRASHYI, JAMIU AL RUWATILIL MAQDISIYI
AL-ARDUBAYLIY, MANAQIBU ALUABII TWALIB LIIBN SHAHRU ADHWAB, MIR-ATUL AN WAR LI MUHHAMAD BIN TWAHIR AL-AMILIYI. Vitabu hivi tulivyo vitaja
ni mifano tu, kuna zaidi ya vitabu ishirini ambavyo vinaonyesha kuwepo bin sabai , basi niajabu ilioje kwa wanavyuoni wetu mfano wa
AL- MURTADHA AL- ASKARIY, NA SAYID MOHAMMAD JAWAD MUGHNIYAH, na wengineo wasiokua hao kati ya
wanao pinga kuepo kwa mtu huyu ,
na bilashaka maneno yao haya hayana ukweli wowote .
Uhakika
Wa Mashia Kujinasibisha Na Ahlul Bait.
Inavyofahamika kwetu sisi mashia nikwamba tunajihusisha sana na
Ahlul-bait, na madhehebu ya kishia yamejengeka katika misingi ya kuwapenda
Ahlul-bait -kwa mawazo yetu-, kwa hiyo kupendana kwetu au kuchukiana na watu
wengine (AHLU SUNNAH) ni kwa sababu ya Ahlul baiti, na kuwachukia maswahaba
hasa makhalifa watatu akiwemo Bi Aisha binti Abubabakar(ra) ambae ni mke wake
mtume (s.a.w) na fikra za mashia wote wakubwa kwa wadogo wanawake kwa wanaume
wasomi wao na wajinga wao wanaitakidi kwamba maswahaba wamewadhulumu Ahlul
baiti pia wakawauwa na wakawavunjia heshima zao .
Na fikra za mashia nikwamba Ahlul sunna ndio
walio pandikiza fikra za uadui kwa Ahlul-baiti kutokana na fikra hizo, hakuna anae sita katika sisi (mashia) kuwaita
Ahluli-sunna maadui, na siku zote tutaikumbuka damu ya shahidi Hussein (a.s) lakini vitabu vyetu tunavyovitegemea sisi (mashia) vinatueleza ukweli wa mambo tofauti na
itikadi yetu, kwani vitabu vyetu vinatufahamisha jinsi gani Ahlul-baiti wenyewe
walivyokuwa wakiwachukia wafuasi wao(mashia) vitabu hivyo pia vinatufahamisha
maovu waliyo yafanya mashia waliotangulia kwa Ahlul-baiti, pia vinatufahamisha
ni kina nani walio mwaga damu za Ahlul-baiti, na ni kina nani walio sababisha vifo vyao na nikina nani
walio vunja heshima zao.
Amesema Amiru lmuuminina (a.s){Lau kama utawachunguza mashia (wapambe)
wangu basi hutawakuta isipokuwa ni wakunisifia tu, na kama utawapa
mtihani mtihani (wakupima
imani zao) basi hutowakuta isipokuwa ni murtad wote (wametoka katika dini) na lau kama utawachuja hungempata hata mmoja katika
elfu} (ALKAFY/ALRAUDHA 8/833).
Na akasema Amirul muuminina
(a.s){Enyi wenye kufanana na wanaumme na wala si wanaume,wenye fikra za kitoto na akili za kike natamani nisingewaona wala nisingewajua, jambo ambalo
limenisababishia majuto na tabu kubwa,Mwenyezimungu awalaani,hakika mmeujaza moyo
wangu uchafu na
kifua changu mmekijaza chuki,na mmenijengea tuhuma na mmeniharibia mawazo
yangu kwa kuniasi na kunidhalilisha ,mpaka maquraish wakasema kuwa mtoto wa
Abii Twalib ni mtu shujaa lakini hajui vita. Lakini nitafanyaje wakati hakuna mtu anaetii amri yangu}NAHJUL BALAGHA 70-71.
Na
akawaambia wao kwa kuwakemea:- nimepewa mtihani kwa ajili
yenu kwa mambo matatu,na mawili: (viziwi
wenye masikio,na mabubu wenye kutamka, na vipofu wenye macho,sina marafiki wa
kweli wakati wa kukutana na maadui na sina ndugu wa uhakika
wakati wa matatizo.mumemfedhehesha mtoto wa
Abuu Twalib kama mwamke asie na nguo) NAHJUL
BALAGHA 142.
Aliwaeleza hayo kwa sababu ya kumfedhehesha
kwao na kumuhadaa kwao Amiril muuminina (a.s) na anazo(amiril-muuminina) lawama
nyingi zinazowahusu wao (mashia).
Na imam Husein (a.s) amesema katika kuwaombea
vibaya mashia ( wapambe) wake: { Ewe Mwenyezi Mungu ukiwastarehesha kwa muda wowote ule basi wagawe makundi,na uwafanye kuwa mapande mapande
yenye kukhtalifiana nyendo zao, na wla usiridhie wao kuwa viongozi daima (milele) kwani wao walituita sisi ili
watusaidie, kisha wakatufanyia uadui na wakatuua}ALIRSHADLIL MUFID uk 241.
na aliwasemesha mara nyengine na akawaombea
vibaya , katika
maneno aliyo yasema:{ lakini mlifanya haraka kutuunga mkono, kama ndege
wanao kimbilia mzoga , kisha mkapukutika kama vile popo wanao tumbukia
motoni, kisha mkaivunja ahadi yenu kwa upumbavu na kujiweka mbali na rehema na
kujitumbukiza kwa matwaghuti wa umma huu,na
makundi mengine maovu na walioacha kitabu cha Allah, kisha ninyi ndio mnaotudhalilisha na kutuua fahamuni yakua laana ya
Mwenyezi Mungu itawashukia
madhalimu} AL-IHTIJAJU 2/24
Na maelezo haya yanatuwekea wazi
ni akina nani waliomuua Hussein , Nao siwengine bali ni mashia wake (wapambe) watu wa “Kuufa”,ni
mababu zetu basi kwanini tunawabebesha Ahlu sunna majukumu ya mauaji ya Husein
(a.s)?
Na kwa ajili
hii amesema bwana Muhsin Al amin ( watu wa Iraq wapatao ishirini elfu
walimuunga mkono Husein,kisha wakamsaliti,na wakamuasi ingawa walimuahidi
kutii, na kisha wakamuua) A’YANU- SSHIA 1/32.
Hassan (a.s) amesema : (Naapa kwa Mwenyezi Mungu ninamuona muawiya
ni m’bora kwangu kuliko hawa wanaodai
kwamba wao ni kundi langu, walitaka kuniua na walichukua mali zangu , naapa kwa Mwenyezi Mungu
kuchukua kutoka kwa muawiya kile ambacho
kitazuia kumwagika daamu yangu na
nikapata amani kwa watu wangu hilo ni bora
kuliko kuniua na kuwapoteza Ahlul baiti (jamaa zangu) naapa kwa Mwenyezi
Mungu kama ningepigana na muawiya , wagenikamata na kunipeleka kwa muawiya kwa kutaka amani , naapa kwa Mwenyezi Mungu kuingia mkataba wa amani na muawiya katika hali ya
heshima na utukufu ni bora kwangu kuliko
kuniuwa nikiwa mateka,AL-IHTIJAJU 2/10.
Imama Zayinul- Abidin (a.s) aliwaambia watu wa kuufa:- { Je mnajua kwamba mlimuandikia
baba yangu na kumhadaa,na mkampa ninyi wenye ahadi , kisha mkampiga vita na kumfedhehesha basi ni kwa jicho gani mtamuangalia bwana Mtume (s.a.w) na watu
wake? Wakati akiwaambieni mmemuua mjukuu wangu na mmeivunja heshima yangu basi ninyi si katika uma wangu}AL-IHTIJAJU2/32.
Pia aliwazungumzia akisema:(Ikiwa hawa
wanatulilia sisi basi ni akinanani waliotuua wasio kuwa wao?} AL-IHTIJAJU
2/29.
Na Albaqir (a.s) amesema {lau wangalikuwa watu
wote kwetu sisi ni mashia ingelikua robo tatu yao ni wenye shaka na sisi na robo nyingine wangekuwa ni
wapumbavu}RIJALUL KUSHY uk 79.
Na amesema
Asadiq (a.s){ni naapa kwa Mwenyezi Mungu
lau kama ningewapata miongoni mwenu waumini watatu wanaoficha
mazungumzo yangu nisingeona halali kuwaficha
mazungumzo} USULUL ALKAFI 1/496.
Na amesema Fatma mdogo (a.s) katika khutba aliyoitowa kwa watu wa kuufa:{
Enyi watu wa (mji) wa kufa enyi watu wa
hiana na vitimbi na majivuno. Hakika ,Ahlul bait Mwenyezi Mungu ametupa mtihani
kwenu,na amekupeni mtihani kwetu,lakini akaufanya mtihani wetu kuwa ni mzuri ,
mkatukufurisha na mkatukadhibisha na
mkaona halali kutupiga vita na mkaona ni
halali kuiba mali zetu,kama mlivyo muua babu yetu juzi,na panga zenu bado
zinadondosha damu zetu sisi Ahlul bait, mmepata hasara,basi subirini laana na adhabu kama vile tayari imeshawashukia, na waonje baadhi yenu uchungu
wa adhabu kwa vile mtakavyokaa milele katika adhabu yenye kuumiza siku ya
kiyama kwa vile mlivyotudhulumu, basi jueni laana ya Mwenyezi Mungu huwafikia madhalimu,hakika mnastahiki hasara
ni yenu enyi watu wa kuufa , nimangapi nimeyasoma kwa mtume(s.a.w) na watu wake
kabla yenu kisha mkamfanyia hadaa ya kumuua ndugu yake Ali bin Abii Talib na babu yangu na watoto
wake na wajukuu wake wema.
mmoja katika watu wa kuufa akatujibu
kwa kujifakharisha akasema {sisi ndio
tulie muua Ali na watoto wake, kwa panga za india na mikuki, Na tukawateka wanawake wao kama
inavyo tekwa mali iliyoachwa na wenyewe, na tukawapiga pigo takatifu . }AL
IHTIJAJU2/28.
Na amesema Zainab mtoto wa Amirul
muuminina (a.s) kwa watu wa kuufa kwa
kuwakemea : (baada ya hayo,(utangulizi)Enyi watu wa kuufa , enyi watu hadaa na
hiana , na wasaliti Hakika ya mfano wenu ni kama mfano wa mwanamke alieukata uzi wake vipande vipande baada ya
kuusokota , hamna
lolote zaidi ya kujisifu kwa mambo msiyokuwa nayo na kujiona
na uongo! mnamlilia ndugu yangu?
Basi lieni sana na chekeni kidogo, ni
hakika kuwa mmefanyiwa mtihani, kwa kumuaibisha, vipi
mliona rahisi kukiua kizazi cha mtume wa mwisho (s.a.w) AL IHTIJAJU,juzuu
ya 2 ukurasa wa 29-30 .
Tunafaidika kutoka na hoja hizi- na tumeziacha nyingi zisizokua hizo- faida zifuatazo:-
Kwa kweli nimeyasoma maelezo
haya mara nyingi na nikayafikiria sana,nani kayaandika sehemu
maalum, na nikakesha masiku mengi nikiyachunguza na kuyatafakari kwa makini maelezo haya
–na mengineyo ambayo ni mengi kuliko niliyo yaandika – sikuzinduka katika fikra hizo
ila nilijikuta nikisema kwa sauti kubwa sana “mwenye zimungu awe pamoja nanyi
Ahlul-bait hakika mmekutana na misukosuko mingi kutoka kwa hawa wanaodai kuwa
ni wafuasi wenu(mashia)”
Sisi tunajua sote maudhi yaliyowapata manabii wa Mwenyezi Mungu na
Mitume wake (a.s) kutoka kwa watu wao na yale yaliyo mpata Nabii wetu (s.a.w) na
watu wake, lakini nimestaajabika na mambo mawili kutoka kwa Musa (a.s) na
subira yake juu ya wana wa israil,kwa sababu tunaona jinsi gani qur-an ilivyo
muelezea mussa kuliko mtu mwengine na ikaeleza wazi jinsi alivyo vumiliya
maudhi ya wana wa israel,na hadaa zao na vitimbi vyao na uadui wao.
.
pia ninawashangaa
Ahlul bait (a.s) kwa kuvumilia kwao maudhi mengi waliyo yapata kutoka kwa watu wa kufa
kitovu cha mashia, waliwa fanyia hiana wakawasaliti na kuwaua na kupora mali
zao hata hivyo Ahll-baiti waliyavumilia yote hayo, pamoja na hayo yote sisi
bado tunawatupia lawama Ahlul-sunnah na tunawabebesha mzigo wote!
Na tunapo soma vitabu vyetu vya kutegemewa tunapata
mshangao, hawezi kuamini mmoja wetu tunaposema kuwa vitabu vyetu sisi mashia
vinawakashifu Ahlul bait (a.s) na kumkashifu Mtume (s.a.w) na watu wake, kwa uthibitosha wa hayo soma maelezo yafuatayo:imepokewa kutoka kwa Amirul muuminina (a.s) kwamba
punda wa Mtume (s.a.w)aitwae ghufayr alisema kumuambia mtume (s.a.w) :
namtoa fidia baba yangu na mamam yangu
kwako ewe mjumbe wa Mwenyezi Mungu, baba yangu alinisimulia kutoka kwa baba
yake na babu yake , kua baba yake : alikuwa pamoja na nuhu katika safina
akasimama akapangusa katika kiuno chake kisha akasema: katika mgongo huu atatoka
punda ambae atapandwa na bwana
wa Mitume
na wa mwisho
wao, namshukuru Mwenyezi Mungu ambae amenijaalia kua mimi ndie punda huyo.
USULUL KAFI 1/237.
Riwaya hii inatufundisha haya
yafuatayo:-
Siku moja tulikuwa tunasoma kitabu kimoja kiitwacho
Usuulul- kafi, pamoja na badhi ya wanafunzi wa chuo cha cha Annajaf
kwa imam ALKHUUIY, akajibu imam ALKHUUIY kwa kusema : uangalieni muujiza
huu, Nuhu(a.s) anatoa khabari za Mohamad na unabii wake kabla ya kuzaliwa kwake
kwa miaka mingi.
Yakabakia
maneno ya imam ALKHUUIY yana gonga gonga
katika masikio yangu kwa muda mrefu huku nikijisemea katika nafsi yangu:
itawezekana vipi jambo hili liwe muujiza? na ndani yake kuna punda anamwambia mtume
(s.a.w) na watu wake, namatoa fidia kwako wewe baba yangu na mama yangu?!! Na vipi
inawezekana kwa amiril-muminina (a.s)(kiongozi wa waislamu) kunakili maneno
kama haya? Lakini nikanyamaza kama walivyo nyamaza wasikilizaji wengine.
Na Sudduqu amenakili maelezo kutoka kwa Aridhaa(a.s) katika kuyayatafsiri maneno ya Mwenyezi Mungu
yasemayo (وإذ
تقول للذي
أنعم الله
عليه وأنعمت
عليه أمسك
عليك زوجك
واتق الله
وتخفي في نفسك
ما الله مبديه) سورة
الأحزاب:37 "{Na (wakumbeshe) ulipo mwambia
yule ambae Mwenyezi Mungu amemneemesha( kwakumwaafikia uislamu) na wewe
ukamneemesha kwa kuumpa ungwana, nae ni bwana Zaid bin Haritha ( ulipomwambia)
‘Shikamana na mkeo na umche Mwenyezi Mungu(usimuache)’na ukaficha katika nafsi
yako aliyotaka Mwenyezi Mungu kuyatoa. ALAHZAB/37, amesema Arridha mfasiri wa
aya hii {hakika ya Mtume (a.s) na wtu wake alikwenda nyumbani kwa Zaid bin Harith kwa haja fulani, basi
akamuona mke zaid ambae ni Zainab akioga akamwambia: ametakasika aliye kuumba}
UYUNU AKHBARU ARRIDHA uk 113.
Je inwezekana kwa Mtume(s.a.w) kumuangalia mke wa mtu
muislamu, na kumtamani na kumshangaa? kisha amwambia ametakasika aliye
kuumba?! Je hivi sikumtukana Mtume(s.a.w)?!
Imepokewa kutoka kwa Amirul muuminin kuwa alimuendea Mtume (s.a.w) na watu
wake na akiwa pamoja na Abu bakar na Omar (r.a) akasema {Nikakaa kati yake na Aisha, akasema Aisha
hukuona chochote isipokua
pajalangu na paja la Mtume (s.a.w)? akasema mtume:nyamaza ewe Aisha }AL
BURHAN FII TAFSIRL QUR-AN uk 4/225.
Na mara nyingine alikuja bila kupata sehemu ya kukaa,akamuashiria mtume (s.a) kuwa njoo hapa
akimaanisha nyuma yake, wakati huo Aisha akiwa amesimama nyuma yake akiwa
amejistiri:akaja Ali(a.s)akakaa kati ya Mtume na Aisha, akasema Aisha kwa
hasira:{hukupata sehemu ya kuweka matako yako isipokua paja langu? Akakasirika
Mtume (s.a.w) na akasema: Ewe kipunda usiniudhi kwa ndugu yangu) KITABU SULAIM BIN QAIS 179.
Na imepokewa na Al-majlisy kuwa Amirul
muumini amesema:{nilisafiri pamoja na
Mtume(s.a.w) na watu
wake, akiwa hana mtumishi isipokuwa mimi na alikuwa na shuka moja hana nyengine
isipokuwa hiyo na alikuwa nae Aisha
katika safari hiyo, na alikuwa Mtume(s.a.w) na watu wake analala kati yangu na
Aisha, hakuna mtu kati yetu aliekuwa na
shuka zaidi ya shuka hiyo ya mtume (s.a.w)
Basi ikawa anaposimama kwa ajili ya sala za asiku
hujifunua shuka kwa mkono wake katika sehemu yake ya katikatii kati yangu na
Aisha mpaka shuka hugusa shuka la
tandiko ambalo liko chini yetu}BUKHARUL ANWARI 40/2.
Hivi kweli Mtume (s.a.w) ataridhika
Ally akae katika mapaja ya bibi Aisha
mkewe? Hivi mtume hamuonei wivu mkewe itakuaje amuache kwenye godoro moja na mtoto wa
Ami yake ambae hazingatiwi kuwa muharimu wake? Kisha ataridhika vipi Amiril-muminina juu
ya hayo?!
Amesema bwana ALLY GHURWIYU
mmoja kati ya wanazuoni wakubwa wa hapa chuoni { hakika Mtume (s.a.w) ni lazima utupu wake ukaingie motoni kwa sababu yeye aliwaingilia wanawake washirikina akikusudia hivyo
mke wake Aisha na Hafsa, na kusema maneno haya
ni kumkosea heshima mtume (s.a.w) kwasababu lau itaingia tupu ya
mtume (s.a.w)
ndani ya moto hakuna atakae ingia peponi kamwe.
Natosheka na
mapokezi haya sita yaliyomuhusu
mtume(s.a.w)na ali zake Ili niende
katika maudhui nyingine.
Pia wametoa maelezo mengi yamhusuyo
Amirul muuminin (a.s) yafuatayo ni sehemu ndogo katika hayo:
1. Kutoka kwa Abdillah (a.s) amesema
{ aliletwa mwanamke mmoja kwa Omari
akiwa amemng’ang’ania mtu mmoja ambae
alikuwa akimpenda akiwa amejimwagia weupe wa yai katika nguo zake na mapaja
yake , akasimama Ally akamuangalia yule mwana mke akamtuhumu na zinaa.BIHARUL-AL-ANWAR
4/303.
Na sisi tuna jiuliza: Je anawezaje Amirul muuminin kuangalia mapaja ya mwanamke ajnabi
(anaeweza kumuoa) Na je inaingia akilini kwa
immu ASSAADIQ kunakili habari
kama hii, au inawezekanaje kwa mtu anaeipenda familia ya mtume kusema maneno
kama haya?
2. Anasimulia Abii
Abdillah(a.s) alisimama mwanamke muovu kwa amirul muuminin akiwa juu ya mimbari,akasema huyu ni muuaji wa
wapenzi,akamuangalia,akasema kumwabia{ewe mwanamke usie jieshimu mwenye maneno
machafu usie na haya unaejifanya mwana mme ambae huingii katika siku zako kama
wanawake wengine,ewe ambae ninazifahamu habari zako vizuri }A-BIHARU 41/293.
Hivi inawezekana kwa Amirul
muuminin kutamka maneno machafu
Je inawezekana kwa Amiril-
muminina kumuambia mwanamke kuwa ninazifahamu habari zako vizuri?
Na je anaweza Asadiq (a.s) kunukuu maneno mabaya kama
haya?, Lau kama habari hizi zingekua katika vitabu vya Ahlu sunna dunia ingewaka moto wala isinge kalika na
tungeli wafedhehesha vibaya , lakini yamo katika vitabu vyetu sisi mashia!
3. Na katika kitabu cha TABRISIY kiitwacho Al-ihtijaaj, kuna maneno
yasemayo kuwa
Fatuma(a.s) alisema
kumwambia Amirul muuminin(a.s) {Ewe mtoo wa Abii Talib
4. Amepokea ATABRASIY katika kitabu AL IHTIJAJU maelezo yanayoonyesha namna gani Omari
pamoja na watu wengine aliokuwa nao
walivyokuwa wakimkokota Amirul muuminin (a.s) huku akiwa amefungwa kamba ya shingo wakamvuta nayo
mpaka wakafika nae kwa Abuu bakar, kisha akaita akisema :Ewe mtoo wa mama, hakika watu wamenidhlilisha na
wamekaribia kuniua!!
Nasisi tunauliza jamani hivi kweli Amirul muuminin alikuwa muoga kiasi
hiki?.
Hebu angalia jinsi walivyo msifu Amirul muuminin(a.s) aliposema Fatma kuhusu yeye:{Hakika
wamawake wa kikuraishi walinizungumzia kuwa yeye ni mtu mwenyetumbo kubwa,mwenye mikono mirefu,mwenye
miguu minene,na upara, macho
makubwa,mwenye mabega mapana kama ya
ngamia,meno nje,tena faqiri(masikini)}TAFSIRUL-QUMMIYU 2/336.
Imepokewa kutoka kwa Abu
–Is’haq kuwa alisema:
Baba yangu aliniingiza msikitini
siku ya ijumaa,
akaninyanyua
nikamuona Ali akikhutubu juu ya mimbari hali ya kuwa ni mzee,mwenye kipara,
pajilauso limekunjana mwenye mabega mapana mwenye
machokulegea}MUQATILU-TALIBINA.
Je kweli hizi ndizo sifa alizo kuwa nazo
Amirul muuminin (a.s)?
mpaka hapa naona
tutosheke na maelezo haya ili tuweze kuleta maelezo mengine yanayomhusu
Fatma (a.s):-
2- Basi Fatma alikua ni mlevi mpaka afanye hivi?
Na amepokea Alkulainiy katika kitabu kiitwacho:
Alfuruui, akisema
kwamba Fatma salamu za
Mwenyezi Mungu ziwe juu yake,
hakua radhi kuolewa na Ally (a.s) kwa sababu baba
yake siku moja aliingia nyumbani kwake
na akamkuta
analia,akamuuliza ni jambo gani linamliza, “Naapa kwa
Mwenyezi Mungu lau
angekuwepo katika jamaa zangu mtu mbora kuliko yeye nisingekuozesha kwa huyu,na
mimi sie niliekuozesha lakini Mwenyezi Mungu ndie alie kuozesha”.
Na alipoingia nyumbani kwake baba yake Fatma (yaani mtume) akiwa
ameongozana na
Buraida (Fatma) alipomuona
tu baba yake akatokwa na machozi, akasema (mtume), “ ni kipi kinacho kuliza mwanangu?” Akasema{ni
uchache wa chakula, na uwingi wa matatizo na huzuni}, na inasemakana kuwa Fatma
alisema katika maelezo mengine {Naapa
kwa jina la Allah imezidi huzuni yangu, na kuzidi ufakiri wangu,na ugonjwa
wangu umezidi kuendelea} KASHFUL-GHUMMA 1/149-150.
Na wamemsifu Ali (a.s) sifa nyingi wakasema: {
Alikuwa mweusi wa rangi mwenye kimo cha wastani hakuwa mfupi wala mrefu,alikuwa na tumbo kubwa ,
vidole vyembamba,mikono iliyojaa, miundi iliyojaa, macho malegevu, ndevu
nyingi, kipara, na
uso uliokunjana} MAQATILU ALTALIBINA 27.
Ikiwa sifa
hizi ni za Amirul muuminin kama wanavyo sema inawezekana vipi mtu kuzikubali sifa
kama hizi? Basi tutosheke na maelezo
haya kwa
kutaka kufupisha ,ingawa tulikuwa na hamu ya kunukuu maelezo yaliyo pokewa kutoka kwakila mmoja
miongoni mwa viongozi wetu (wakishia)
Lakini badala yake
tukaonelea kutosheka na mapokezi matano tu yaliyo pokewa kwa kila mmoja,
pia tukaonelea maelezo yatakuwa marefu
sana endapo tutanukuu mapokezi aina tano yanayomhusu Mtume(s.a.w) na matano
mengine yanayomhusu Amirul muuminin(Ally),na matano yanayomhusu Fatma (s.a) tuliona
maelezo hayo yatahitaji kurasa nyingi
kwa hivyo tutajitahidi kupunguza zaidi tukijaribu kuweke wazi mengi yaliyo
fichika.
Aliandika ALKULAINIYU katika kitabu AL- USUL akinakili kutoka katika kitabu AL KAFI: maneno yasemayo: hakika
Jibrilu alimteremkia Mtume Muhammad (s.a.w) akamwambia ewe Muhammad (s.a.w)
hakika Mwenyezi Mungu anakubashiria mtoto atakae zaliwa na Fatma,
atauliwa na umma wako baada ya kuondoka
wewe,akasema “Ewe Jibrilu,mpelekee mwenyezimungu salamu zangu na umuambie, sioni
haja ya mtoto atakaezaliwa
na Fatma kisha auliwe na umma wangu
baada yangu”
jibril akapanda
mbinguni kisha akashuka
akasema yaleyale: “Ewe Jibrilu mpelekee mola wangu salamu na umwambie sina haja na mtoto atakaeuliwa na umma wangu baada
ya kuondoka kwangu,” akaapa Jibrilu mbinguni akateremka nakusema: Ewe
Muhammad mola wako amekutolea salamu na kukubashiria kua amejaalia katika kizazi cha mtoto huyo uongozi na wasia, akasema(mtume)
nimeridhika, kisha
mtume akatuma
mtu kwa
Fatma na kumuambia kuwa Mwenyezi Mungu amenibashiria mtoto,utakaemzaa wewe kisha atauliwa na umma wangu baada ya kuondoka (kufa) kwangu, na Fatma nae akatuma mtu kwa mtume akimwambia sina haja na mtoto atakaeuliwa na umma wako
baada ya kufa kwako, mtume akatuma tena mtu kwa Fatma akimwambia kuwa
mwenyezimungu amejaalia katika kizazi chake uongozi na wasia, Fatma nae akatuma
mtu akisema nimeridhika, Fatuma akabeba mimba (ya Hussein) kwa
taabu,na
akazaa kwa taabu,
na Husein hakunyonya kwa (mama yake) Fatma
(a.s) wala kwa mwanamke mwingine bali
alikuwa akiletwa kwa mtume(s.a.w)
na kumuekea kidole chake cha gumba katika mdomo wake na kunyonya kiasi
kinachomtosha kwa siku mbili au tatu.
Hapa tunjiuliza maswali je ni sahihi kuwa mtume alikuwa anaweza kukataa jambo alilobashiriwa na mwenyezimungu? Na je
Fatma nae alikuwa anaweza kukataa jambo lilopitishwa na mwenyezi Mungu na kumbashiria , kweli anaweza kufanya hivyo kwa
kusema sina haja nalo?na je alibeba mimba ya Husein akiwa amemchukia, na kumzaa
huku amemchukia, na je alikataa kumnyonyosha
mpaka ikafikia aletwe kwa Mtume(s.a.w)
na kumyonyesha kwa kidole chake cha gumba kiasi cha kumtosha siku mbili ua
tatu?.
Hakika
bwana wetu shahidi Husein (a.s) kwa upande wake yeye haifai kusemwa maneno kama
haya wala kwa upande wa mama yake kusemwa kuwa yeye alichukia kubeba mimba yake na kumzaa..kwani wanawake wote wa dunia hii wanatamani lau
kila mmoja wao angezaa watoto kumi mfano
wa imam Al Husein(a.s), vipi itawezekana
kwa Bi Fatma
kuchukia kubeba mimba ya Husein na
kuchukia kumzaa, na kuacha kumnyonyesha?
Katika kikao
kilicho kusanya idadi kubwa ya waheshimiwa na wanafunzi wa hapa chuoni
imamu ALKHUIY alizungumzia mauudhui
mbalimbali kisha akamaliza maneno yake: kwa
kusema Mwenyezi Mungu awalaani makafiri,tukasema ni akina nani hao?
Akasema:ni wale maadui zetu ( AHLU
SUNNA), wanamtukana Husein(a.s)
vilevile wanawatukana Ahlu bait!!
Nitasema nini kumwambia imam AL KHUIY!
Alipo muozesha
Amirul muuminin binti Yake Ummukulthum
kwa Omari bin Al khatab,alisema Abuu Jaafar al khulainiy akimnukuu
Abii Abdillah(a.s) kuwa Omari alisema kuhusu ndoa hiyo:{hakika huo ni utupu tulio
upora!!!!}FURU’UL- KAFIY 2/141.
Hapa tumuulize
msemaji wa maneno haya: je Omari alimuoa Ummukulthum ndoa ya kisheria au alimchukua kwa nguvu ? Maneno
aliyonasibishwa kwa Assaadiq(a.s) yapo wazi je anawezaje Abuu Abdillah
kusema maneno kama yakimuhusu
mtoto wa Ally(a.s)?
lau ingekua kweli Omari alimpora
Ummukulthum basi ingewezekana
vipi baba yake simba
wa Mwenyezi Mungu,na mwenye ukali pia ni kijana wa
kiquraishi kuridhia unyonge huu?!
Basi tunaposoma kitabu kiitwacho ARRAUDHA -MINAL KAFI 8/101. katika mazungumzo ya Abii BASAYR pamoja na mwanamke ambae alikuja kwa
Abii Abdillah akiuliza juu ya (Abii Bakar na Omari) akasema kumwabia unawapenda,akasema:nikikutana na
mola wangu nimwambie kuwa wewe unaniamrisha kuwapenda (Omar na
Abiibakar)akasema ndio.
.
Basi mtu aneamrisha kumpenda Omari vipi atamtuhumu
kuwa alimpora mwanamke katika Ahlul-baiti?
Nilipo muuliza
imam Al khuiyu kuhusu maneno ya Abii Abdillah aliyomuambia yule mwanamke kuhusu
kuwapenda Abibakar na Omari,akajibu kwa kusema :hakika
alimuambia vile
kwa Taqiya!! (kutamka au kufanya tafauti na unavyo amini kwa kuogopa)
Basi na mimi namwambia Al
imam Khuiy:
hakika yule mwanamke ni katika mshia wa Ahlul bait,na Abu Basiyr ni katika jamaa wa karibu waAssadiq (a.s)(kiongozi mkubwa wa kishia) kwa hiyo hapakuwa na haja
yakutumia taqiyya, kama ingekuwa sahihi kufanya hivyo,lakini maneno haya ya
Abul-qassim Alkhuuiy, ni kujitetea kusiko sahihi ,
Kuhusu Hassan
ameeleza Al Mufidi katika kitabu kiitwacho AL- irshad akiwaelezea watu wa
kuufa kuwa:{waliizingira
nyumba yake na wakamkamata kwa nguvu na wakamnyang’nya mswala wake aliokua
amekalia akabaki ameshika upanga wake akiwa uchi (kwa maana kua walimvuwa
nguo)uk190. Je atabakije Hasan(a.s) akiwa hana nguo mbele ya watu?Je kusema maneno haya ndio
mapenzi kwa
Hassan au kashfa?
Na
aliingia Sufian bin Abii laila kwa Hasan(a.s) nae akiwa ndani mwake na
kumwambia imam Hasan:{Amani iwe juu yako ewe mdhalilishaji wa waumini!akasema
“una ushahidi gani juu ya
hilo”?
akasema :umekabidhiwa jukumu la kuongoza umma ukajivuwa na kumuachia huyu muovo
anawahukumu watu kwa sheria isiyo ya mwenyezi mungu!}RIJALUL KUSHIY uk 103.
Je kweli Hasan(a.s)alikuwa ni
mdhalilishaji wa waumini?au alikuwa ni mwenye kuwatukuza kwa kuzihifadhi damu
zao,na kuwaunganisha kwa hekima zake,na kwa mtazamo wake ulio
madhubuti?
Lau kama Hasan(a.s) agepigana na Muawiya kwa kugombea
ukhalifa(uongozi) basi
Ingemwagika damu nyingi ya
waislamu,na wangelikufa watu wengi isinge weza
Kuijuwa idadi yao,isipokua Mwenyezi Mungu,(s.w)na ungegawanyika umma makundi makundi,na
usingewezakusimamisha jambo lolote wakati huo.
Namasikitiko makubwa ni kua maneno haya yamenasibisha kwa Abii Abdillah(a.s) nina apa kwa Mwenyezi Mungu kuwa yeye yuko mbali na
maneno haya na mfano wake.
Ama imam Assaadiq
yameshampata kutoka kwa mashia maudhui mengi na kumsingizia kila aina ya uovu,tunasoma pamoja maelezo haya yafuatayo:
Imepokewa
kutoka kwa Zurara kuwa alisema:{nilimuuliza
Abaa Abdillah(a.s) kuhusu Tashahhud nikasema “Attahiyyaatu
wa ssalawaatu”
nae aksema kama nilivyo sema mimi basi nilipo toka nikamjambia kwenye ndevu
zake, na kusema hatofaulu milele .}RJALUL KUSHIYI uk 142.
Ni haki yetu
kumlilia kwa machozi ya damu Imam
Asadiq, anawezaje mtu kutoa maneno machafu
kama haya kwa kiongozi mkubwa kama imam Abii Abdillah??Je inawezekana je kwa Zurara kumjambia Abii Abdillah (a.s) katika ndevu zake?! na kumwabia kuwa hatofaulu milele?
Hakika zimepita karne kumi toka kuandikwa kitabu cha
ALKUSHIYI,na kimepita katika mikono ya wanazuoni wa
mkundi mbalimbali ya kishia , sikuona yoyote kuyarudi maneno haya au
kuyapinga Mpaka imamu Alkhuuiy wakati alipo kuwa akiandika
kitabu chake kikubwa(MUUJAMU
RIJALUL-HADITH) na mimi nilikua
mmoja wa waliomsaiidia kuandika kitabu hiki, na katika kukusanya
riwaya mbalimbali kutoka katika vitabu vikubwa, na tulipomsomea riwaya hii alinyamaza kidogo,kisha akasema:kila kizuri kina kasoro
na kila mjuzi anamakosa,hakuzidisha zaidi ya maneno hayo,lakini sisi tunabaki tukijiuliza ewe imam mtukufu,hakika makosa huja kwa
kughafilika,au kukosea bila kukusudia,lakini kwa sababu ya uhusiano uliopo kati
yangu mimi na wewe kiasi nimekuwa kama mtoto wako na umekuwa kama baba yangu ,
nalazimika kuyachukua maneno yako kwa nia njema lau si hivyo nisinge ridhia
kunyamaza kwako juu ya udhalilishaji huu
aliofanyiwa imamu Assaadiq (a.s)
Na amesema sheikh
AL KULAINIYI(amenieleza Hisham bin hakami na Hammadu
kutoka kwa Zurara kuwa alisema:
Nikajisemea nafsini mwangu:sheikh hajuwi
ugomvi-akimkusudia imam wake-)
Na wameandika katika sherhe ya hadith hii: Hakika sheikh
huyu ni mzee asie na akili,wala hawezi kuzungumza na
maadui. Basi je imam Al Sadiq(hana akili?)
Hakika moyo wangu
umepata uchungu na huzuni kwa
sababu ya matusi haya na shutma hizi
Na uovu huu haustahiki kwa Ahlul bait,inatakiwa
kuwaheshimu.
Ama Al-abas na mtoto wake
Abdillah, na mtoto wake mwingine Ubaidillah na Aqiil(a.s)
wote hawakusalimika na matusi na kubezwa
na kusengenywa, soma nami maelezo haya: ameeleza AL-kushiyi kuwa aya isemayo(لبئس
المولى ولبئس
العشير):{Ni
rafiki mbaya alioje na jamaa mbaya alioje} imeteremka kumlaumu AbasI (R.A).( RIJALUL KUSHIYI)54,
na
neno lake Mwenyezi Mungu lisemalo (ومن كان
في هذه أعمى
فهو في الآخرة
أعمى وأضل سبيلا)
{Na mwenyekua kipofu katika dunia hii na
akhera atakua kipofu na mwenye kupotea njia} na
neno lake Mwenyezi Mungu mtukufu
lisemalo:(ولا
ينفعكم نصحي
إن أردت أن
أنصح لكم){nawala hazitowafaa nasaha zangu nitapo wanasihi}zimeteremka
kwake(52-53).
Na pia amepokea Al kushiyi kwamba Amirul
muuminin(a.s) aliwaombea dua mbaya Abdilla bin Abbas na ndugu yake
Ubaidullah akisema: (Ewe Mwenyezi Mungu
walaani watoto wawili wa
Fulani akikusudia Abdullahi na Ubaydullah, na wapofoe
macho
Zao, na ujaalie kupofoka macho
Na amepokea tegemeo la uislamu Abuu Jafar Al kulainiy katika kitabu cha
Alfurui kutoka
Kwa imam Al- baqir kuwa aliesema kuhusu Amirul muuminin: (akabakia pamoja nae watu
wawili Wanyonge madhalili wageni katika uislamu,Abasu na Aqiilu)
Hakika aya tatu ambazo Al kushiyi amedai
kuwa zimeteremka kwa ajili ya
Abbas maana yake
Nikua anamuhukumu kua ni kafiri na atakaa
milele motoni siku ya Qiyama, na
Ama kuhusu Amirulul muuminin(a.s)
kwamba aliwaombea vibaya watoto wawili
wa Abasi-Abdillah na Ubaydullah, kwa
kuwaombea laani na upofu wa macho na moyo basi hii inatosha kuwa ni
kuwakufurisha pia.
. Hakika ya
Abdillahi bin Abbas, Ahlu-ssunna wamembandika jina la :
mafasiri wa qur-an na mwanachuoni wa ummah,iweje sisi mashia tumlaani na huku
tukidai kuwapenda Ahlul –baiti?(jamaa zake mtume).
Na ama Aqiilu(a.s)
yeye ni ndugu wa amirul muuminin(a.s), Je yeye ni mdhalilifu,na ni mgeni
Katika uislam?
Ama kuhusu imam Ziyyinul abidina Ali bin Husein amepokea Al kulainiyi kwamba yazidu
mtoto wa muawiya alimuomba kua mtumwa wake,akaridhika(zaynul-abidin)(a.s)kuwa
mtumwa wa
Yazidu
alipomuambia( nimekubali uliyo yaomba, mimi ni mtumwa nilie
lazimishwa kuwa mtumwa ukipenda nitumie au niuze)AL RAUDHA MINAL KAFI –8/235.
Angalia neno lake
(zainul-abidina)na maana yake:{Nimekubali kuwa mimi ni mtumwa kwako,na mimi ni mtumwa alie lazimishwa kuwa
mtumwa kwa hiyo ukipenda nibakishe niwe
mtumwa wako,na ukitaka kuniuza niuze}hivi inawezekana imam zainul-abidina (a.s)
kuwa mtumwa wa Yazidu amuuze anavyotaka au amtumie anavyo taka?
Tukitaka kueleza
maneno yote yaliyosemwa kuhusu Ahlul bait basi maneno yatakua marefu
kwa sababu hakuna alie salimka na maneno makali na machafu au vitendo viovu
wamesingiziwa vitendo vingi vichafu,na
hayo yanapatikana katika vitabu vyetu
vinavyo tegemewa, tutakuletea baadhi ya mneno hayo katika sehemu ijao.
Soma nami riwaya hii ifuatayo:-
Imepokewa kutoka kwa Abi bdillah (a.s) (Kwamba Mtume(s.a.w) alikuwa halali mpaka aubusu uso wa Fatma)
BIHARUL-ANWAR 42/44
Na imepokew kuwa: (alikua(mtume)
anaweka uso wake mtukufu katikati ya chuchu mbili za Fatma(a.s)BIHARUL-ANWAR 43/78.
Hakika
Fatma (a.s) ni mwanamke aliye balehe-kufikia umri wa ukubwa-
(wakati huo) basi je inaingia akilini kuweka Mtume (s.a.w) uso wake kati ya
chuchu zake? Na ikiwa mtume na mwanawe (Aisha)wamefikiswha hapa na watu hawa
(mashia) je mtu mwengine watamfikishwapi?piawamemtilia shaka imamu Mohammad Al Qaani,Je yeye ni mtoto wa imamu
Ridha au ni mtoto wa( …….)
soma nami maelezo haya:
imepokewa kutoka kwa Ali bin Jafar AL baaqir kuwa aliulizwa imamu
Ridhwaa (a.s)
{Hatujawahi kua na imamu mwenye mbadiliko ya rangi
iliyochanganyika na weusi akawaambia imamu Aridhaa(a.s) Je ni mtoto wangu,
wakasema : hakika Mtume (s.a.w)
alipitisha hukumu kwa kutumia mtaalamu
wa kufuatilia nyayo na koo za watu basi
na sisi tumtumie mtaalamu huyo akasema imamu Ridhwaa nendeni mkamwite
nyinyi lakini mimi hapana,na wala msiwafahamishe
mnalo waitia na iwe mjumbani kwenu.
walipokuja walitukalisha bustanini na wakawapanga mstari
shangazi zake na ndugu zake wa kiume na wa kike, kisha wakamchukuwa Arridhwaa (a.s) wakamvisha juba la sufi na kofia yake, kisha wakamuekea
kwanye shingo yake futi za kupimia kisha wakamuambia ingia kwenye bustani
ujifanye kama unafanya kazi, kisha wakamleta Abu jaafari (a.s) wakamuambia
mkutanishe huyu mtoto na baba yake, akasema hayupo hapa babayake isipokuwa huyu
ni ammi wa baba yake, (ammi ni ndugu yake baba)na huyu ni ammi yake na huyu ni
shangazi yake , na kama kutakuwa na baba yake hapa basi ni huyu mwenye
bustani,kwa sababu miguu yao inafanana , alipo rudi ABUL-HASSAN wakasema huyu
ndie baba yake. USULKAF1/322.
Hii ina maana kuwa walikuwa na wasiwasi yakuwa Muhammad
Alqaaniu (AMANI YA MUNGU IMSHUKIE) alikuwa ni mtoto wa Arridhwa,wakati wa kuwa
Arridhwa mwenyewe anasisitiza kuwa ni mtoto wake ,lakini watu wengine
wanalipinga hilo na kwa sababu hiyo walisema (hatujawahi kuwa kiongozi mwenye
mchanganyiko wa rangi) bila shaka hii ni kumtukana na kumvunjia heshima
Arridhwa (a.s) na kumtuhumu mkewe na zinaa na kuutilia mashaka uaminifu wake
kwa sababu hiyo walikwenda kumleta mtaalamu wa kufananisha na kufuatilia nyayo
na kutambua koo za watu,lakini mtaalamu huyo alihukumu kuwa Muhammad Al-qaaniu
ni mtoto wa Arridhwa wa kumzaa , hapo waliridhika na wakanyamaza.
Inawezekana kutuhumiwa watu wengine
mfano wa tuhuma hizi na hayo wanaweza wakayaamini watu , ama kuwatuhumu Ahlul
bait(a.s),hilo ni miongoni mwa maovu makubwa,lakusikitisha ni kuwa
vitabu vyetu vikubwa ambavyo tunadai kuwa
vimenakili elimu ya Ahlul bait,vimejaa upotevu
mfano wa upotevu huu,-hakuna ujanja wala nguvu isipokuwa kwa msada wa
Mwenyezi mungu- tuliposoma maelezo haya wakati tukiendelea na masomo chuoni
,wanazuoni wetu waliyapitia harakaharaka , bado nakumbuka sababu alizozitowa
imamu Al-khuuiy pale alipo yapitia maelezo haya, alisema akimnukuu bwana
Aal-kaashiful-ghitwai : walifanya hivyo kwa kutaka kuubakisha ukoo wao ukiwa
safi.
Pia
walimtuhumu Arridhwa(a.s) kua alikuwa akimpenda binti ya ammi
yake maamuni nae pia alikua akimpenda.(angalia UYUNI AKHBAR ARIDHA )
Wakambandika Ja’far, nakumuita
Ja’far muongo,wakamtukana na kumtusi pamoja na kuwa ni
Ndugu yake Al hassanil- askariyi, amesema Al
kulainiyi:(jaafari ni mwenye kudhihirisha matendo maovu, mlevi,ndie mwanamme
duni kuliko wote nilio waona,ni mwenye kujivunjia heshima pia ni mtu duni sana.
(USULULKAFI)1/504
Basi tujiulize ni kweli katika Ahlul-baiti kuna walevi , au mafasiqi au watu waovu?
Na tunapotaka
kupata ufafanuzi zaidi,
ni juu yetu kusoma vitabu vinavyo tegemewa na Sisi
(Mashia) ili tueze kujua nini kilicho semwa kuhusu Ahlul-baiti wengine walio bakia amani ya mungu iwashukie,
ili tujue ni vipi waliuawa watoto wao
walio twaharika na wapi waliuliwa?na ni akina nani waliowaua?
Wengi wao waliuawa
ndani ya miji ya Fursi kwa mikono
ya watu walio katika miji hiyo lau kama
siogopi kurefusha zaidi ya hapa basi ningetaja majina ya watu nilio
wahifadhi miongonimwao na majina ya watu walio waua ,lakini ninamuomba msomaji mtukufu kukiendea kitabu kiitwacho: MAQATILU ATALIBYNA cha AL-ASFAHANI, kwani kinatosha kubainisha hayo.
Na ujue kuwa walio
kumbana na matusi mengi zaidi na kubezwa na kusengenywa ni maimamu wawili:
Muhammadul- baagir na mtoto wake Jaafar Asadiq amani ya mungu iwashukie wao na
baba zao , hakika wameegemezewa mambo mengi ,kutumia taqiyyah, kufanya mut’a
kuwalawiti wana wake , kuazimana wanawake,na mengi mengine. Ingawa wenyewe wako
mbali na hayo yote.
Nilikuwa nataka kuweka anuani ya
sehemu hii kua ni{MWANAMKE KATIKA USHIA}lakini nikaibadilisha anuani hiyo kwa sababu nimeona mapokezi yote
yanayopatikana katika vitabu vyetu yananasibishwa(yanaegemezwa) kwa
mtume(s.a.w) na kwa Amiril muiminina na kwa Abii abdillah(a.s) na wengineo
miungoni mwawanazuoni.
Na mimi sikutaka wana zuoni hao wapatwe na lawama za aina
yeyote ile kwani katika riwaya hizo kuna maneno machafu ambayo mtu yeyote
hawezi kuyaridhia katika nafsi yake, vipi mtu atayaridhia maneno hayo kwa mtume
(s.a.w) au atawezaje kuyaridhia kwa Ali wa mtume au kwa maimamu watukufu (amani
ya mungu iwashukie)
Hakika mut’a imetumika vibaya sana
na mwanamke amedhalilishwa (kwa
sababu ya dhana ya uhalali wa mut’a) udhalilishaji mbaya sana,watu wengi
wakawa wanakidhi matamanio yao ya
kimwili chini ya pazia ya mut’a,na kutumia jina la dini,wakilitumia neno lake
Mwenyezi mungu lisemalo: {....فما
استمتعتم به
منهن فآتوهن
أجورهن
فريضة....}{mtakapostarehe nao baada ya kufunga
nao ndowa basi wapeni mahari yao kwani ni lazima kuwapa.{Annisaai 24.
zimepokewa riwaya nyingi kutoka kwa mashia
zinahimiza mut’a mpaka wakafikia kuweka thawabu kwa mwenye kufanya mut’a na
madhambi kwa mwenye kuacha mut’a,na inazingatiwa kila asiefanya si
muislamu(kwa mtazamo wamashia)
Soma pamoja namimi ushahidi huu:
1-Amesema Mtume (s.a.w):{Atakae starehe(kufanya
mut’a) na mwanamke muumin atakua sawa na aliyezuru Al-kaaba mara sabini}
inawezekanaje mtu alie strehe na mwnamke awe ni
2-Amepokea Asuduq kutoka kwa Asadiq
amesema{Hakika mut’a ni dini yangu na dini ya baba zangu atakaeifanya
(mut’a)atakuwa amefanya hivyo kwa
kufuata dini yetu na atakae pinga(mut’a)atakuwa ameipinga dini yetu na atakuwa
na imani tofauti na imani yetu,}MANLA YAHDHURUHU AL-FAQIYH 3/366 , na huku ni kumkufurisha yule asiye kubali mut’a.
3-Aliulizwa Abu Abdillah(a.s) je mwenye kufanya mut’a anapata thawabu?akasema:{ikiwa
anafanya hivyo kwa kutaka kupata radhi za Mwenyezi Mungu basi kila neno
atakalomsemesha (huyo mwanamke aliyefanya nae mut’a) Mwenyezi Mungu
atamuandikia jema moja, atamkaribia, mwenyezi mungu atamsamehe dhambi moja, na
atakapooga husamehewa madhambi kiasi cha maji yaliyopita katika nywele
zake}MANLA YAHDHURUHUL AL-FAQIYH 3/366.
4-Na amesema Mtume(s.a.w):{atakaejistarehesha(kufanya mut’a) mara moja
atsalimika na hasira za Mwenyezi Mungu,
na atakae fanya(mut’a) mara mbili atafufuliwa pamoja na watu wema, na atakae
fanya(mut’a) mara tatu atakua pamoja
nami peponi}MANLA YAHDHURUHUL AL-FAQIYH 3/366.
ninasema: kwa ajili ya kupata
thawabu hizi (za mut’a) walimu wote wa
hapa chuoni na viongozi pamoja na wanawake wazuri waliopo hapa chuoni wote
wanafaya mut’a kwa wingi sana,na nakusudia
kutaja miongoni mwao bwana ALSADRU-NA AL-BAROO JARDY-NA ASHIRAZY-NA
ALQAZ’WAYN, NA ALTABTABAI,NA ASSAYID AL MADANIY, bila kumsahau kijana anae
nyanyukia , ABDUL HARITH AL-YASIRIYI,na wengineo, hakika hao (waliotajwa)
wanafanya mut’a kwa wingi na kila siku
kwa hamu yakupata thawabu hizo(zilizo tajwa) na kutaka kua pamoja na mtume peponi .
na amepokea bwana FAT-HULLAHI ALKASHAANIY,katika
kitabu : TAFSIR MINHAJI ALSADIQIYNA kutoka kwa Mtume(s.a.w) amesema:
“atakae fanya mut’a mara moja atapata
daraja ya Husain(a.s),na atakae fanya
mara mbili atapata daraja ya Hassan(a.s),na takae fanya mara tatu
atapata daraja ya Alli Bin Abii
Talib(a.s),na atakae fanya mara nne atapata daraja yangu”
Tuchukulie mtu mmoja mchafu ataamua kufanya mut’a mara mmoja hivi kweli
ataweza kupata kama ya Husain?au akafanya mara
mara mbili au tatu au nne ataweza kuwa na daraja (cheo) kama Hassan au
Ally au Mtume(s.a.w)?je cheo cha
Mtume(s.a.w)na vyeo vya maimamu wetu ni duni kiasi hiki?
Hata kama mtu anaefanya mut’a atakuwa amefikia
ngazi ya ya juu katika imani hivi kweli ana weza kufikia cheo cha Hussein au
Hassan au Ally au Mtume (s.a.w)?!
Hakika daraja ya Husein ni ya juu
Wameiruhusu mut’a mpaka kwa wanawake wa familia ya
mtume (s.a.w)
Basi ninasema kuwa jamaa zake mtume
ni watukufu hawafanani kufanyiwa kitendo kama hicho (mut’a) kwa sababu wao ni
kizazi cha mtume (s.a.w)na watu wa nyumbani kwake wanawezaje kufanyiwa kitendo
kama hivho, na nitawatajia sababu ya hilo inshaa Allah.
amebainisha
kulainiyi kuwa mut’a inafaa japo kwa tendo moja la ndoa , kati ya mwanaume na
mwanamke,na suala hili limeelezewa katika kitabu FURUL-AL-KAFI 10/460.
Na si lazima mtu utakae fanya nae
mut’a awe mkubwa bali inawezekana kufanya mut’a na mtoto wa miaka kumi , na kwa kuthibitisha hili ,amepokea Al-kulainiy katika
kitabu AL-FURUI juzuu ya 5
Na hoja zote hizi zitapatiwa majibu Mwenyezi Mungu akipenda,lakini ninasema: yote yaliyo nasibishwa kwa Abii Abdillah
yanaonyesha kuruhusu mut’a kwa msichana
mwenye miaka kumi,lakini baadhi
Alipokuwa imamu AL KHOMEINIYU akiishi Iraq tulikua tunaenda kwake kupata Elimu
mpaka ukawa uhusiano wetu na yeye ni mkubwa sana ,na ilitokea siku moja
kukubali mwito wa kuutembelea mji
TAL-AFAR,(tal-afar ni mji ulio magharibi mwa mji wa AL-MUUSWAL)kiasi cha mwendo
wa saa moja na
nusu kwa gari, akaniomba nisafiri nae,nikasafiri nae,wakatupokea na
wakatukirimu takrima iliyo kubwa kwa muda tuliokuwa kwenye familiya moja ya
kishia yenye kukaa huko na walikubaliana
kueneza ushia sehemu hiyo,wanaendelea kuzihifadhi picha za ukumbusho tulizo
piga nao nyumbani kwao.
Na ulipo malizika muda wa safari tulirudi,na tulipokua tuna rudi tukipitia
Baghdadi alitaka imamu tupumzike kutoka na na uchovu wa safari, akaamrisha
tuelekee katika mji wa Al-atafiya anapokaa mtu mmoja mwenye asili ya kiirani
aitwae Sayid Swahib ambae alikuwa
akifahamiana sana na imamu Khomeiny.
Akafurahi sana Sayid Swahib kwa
kuja kwetu,na tulifika kwake wakati wa Adhuhuri,akatuandalia chakula cha
fakhari,akawasiliana na jama zake wakahudhuria, na wakajaa katika nyumba ile
kwa kutukirimu sisi,na akatutaka Sayid Swahib usiku ule tulale kwake,na
akakubali imamu khomeniy hilo,na ilipofika wakati wa isha tuliletewa chakula
cha usiku,wakawa walio hudhuria wanaubusu mkono wa imamu,na kumuuliza mas-ala
na akiwajibu mas-ala yao, na ulipokaribia wakati wa kulala na waliohudhuria
wameshaondoka,isipokua wenye nyumba , imamu
KHOMENEI alimuona binti wa umri wa miaka minne au mitano,mzuri sana
imamu akamuomba baba yake mtoto (sayd
swahib) amlete ili afanye nae mut’a baba
yake mtoto akakubali kwa furaha kubwa, basi akalala imamu khomeni na yule
msichana akiwa mapajani kwake, huku tukisikia kilio chake na kelele zake!!
Usiku ule ulipita,ilipofika wakati
waasubuhi,tulikaa na kunywa chai, akaniangalia imamu khomeniy na akakuta alama
ya kulipinga lile jambo waziwazi katika
uso wangu,kwasababu vipi atafanya mut’a
na mtoto mdogo huyu wakati katika
nyumba ile kuna wasichana wakubwa wazuri anaoweza kufanya nao mut’a , kwa nini
asifanye nao badala yake afanye na mtoto mdogo ?
Akaniambia : Sayid Husein umesema
nini kuhusu kufanya mut’a na mtoto mdogo?nikamwabia : bwana wangu kusema ni
kwako, na kitendo chako ndio sahihi , kwa sababu wewe ni imamu mwenye kujitahidi,haiwezekani kwa mtu mfano wangu
mimi kuona au kusema isipokua ulivyoona
wewe au ulivyosema,(nilisema hivyo kwa sababu wakati huo nisingeweza kupinga
chochote)
Akasema : “ sikia Sayid Husein,hakika kufanya
mut’a na mtoto mdogo inafaa lakini kwa
kucheza nae na kum’busu na kumpitishia dhakari katika mapaja yake, kwa sababu
tendo la ndoa haliwezi.
Na alikua Imamu Khomeiny akiona inafaa kufanya
mut’a mtoto hata ane nyonya, akisema:{
si vibaya kustarehe na mtoto anae nyonya kwa kumkumbatia na kuichezesha dhakari
kati ya mapaja yake na kum’busu} tazama kitabu chake ATAHRIRU_ALWASILA
2/24/MLANGO, NAMBA 12.
Nilikaa katika ofisi ya imamu ALKHUUIY,wakaingia
vijana wawili yaonekana kuwa wametufautiana katika mas-ala Fulani waka afikiana
kumuuliza imamu AL KHUNIY,ili awafahamishe jawabu, akauliza mmoja wao,unasemaje
imamu kuhusu mut’a? je nihalali au ni haramu?
Akamuangalia imamu AL KHAUNIY yule
kijana huku akiwa amehisi jambo katika
swali lake,kisha akamwambia wapi unaishi?akasema yule kijana naishi Al
mauswil,lakini sasa hivi niko hapa
Annajaaf inapata miezi miwili,imamu akamuuliza yule kijana : je wewe ni
Ahlu sunna?akasema kijana ndiyo, imamu akasema: mut’a kwetu sisi(mashia) ni
halali lakini kwenu(Ahl-ssunna) ni
haramu,yule kijana akasema mimi nipo hapa yapata miezi miwili nikiwa mgeni
katika mji huu,basi utaniozesha binti yako ili ni starehe nae mpaka nitapo rudi
kwetu? imamu akanyamaza kidogo kisha akamwambia: mimi ni mtukufu na hili jambo
ni haramu kwa watukufu,na ni halali kwa mashia wa kawaida
Kijana akamwaangalia Asayid AL
KHUUIY huku akitabasamu na mtazamo wake unaonyesha kuwa kijana kafahamu
kwamba imamu AL khuuiy ametumia taqiya kisha wakasimama na kuondoka, nikamtaka
rukhsa imamu AL khuuiy ya kutoka,
nikakutana na wale vijana wawili,nikaelewa kuwa mwenye kuuliza ni Ahlu sunna na
mwenzake ni shia wametofautiana juu ya mut’a je ni halali au haramu? Wakaafikiana juu ya kuuliza marejeo ya dini ya AL imamu AL
khuuiy,nilipo wazungumzisha vijana wawili hao, yule wa kishia alipandisha
hasira na kusema :Enyi watu waovu,mnaruhusu kustarehe na wasichana wetu ,na
mnatueleza kua ni halali na inawakurubisha,kwa Mwenyezi Mungu na mnatuharamisha kustarehe na mabinti zenu? yule
kijana akaondoka na huku akitukana na
kushutumu na akiapa kuingia katika madhehebu ya Ahlu sunna,nikawa namtuliza
yule kijana na kumuapia kwa mungu kuwa mut’a ni haramu na nikampa ushahidi wa
hilo.
Hakika mut’a ilikua inafaa zama za
ujinga, uislamu ulipo kuja uliibakisha
mut’a kwa muda,kisha ikaharamishwa
katika vita vya Khaibara,lakini
lililozoeleka kwa mashia na wasomi wao ni kwamba Omar bin Khatab ndie aliye iharamisha, na haya ndiyo
yaliyoelezwa na baadhi ya wanazuoni wetu.
Na ukweli
ni kwamba mut’a iliharimishwa katika vita vya khaibar.
Amesema Amirul
Muuminin (a.s) {aliharamisha mtume (s.a.w) siku ya khaibar kula nyama ya punda wakufugwa na ndoa ya
mut’a} tazama (ATTAHDHB 2/186)(AL-ISTIBAR 3/142),(WASAILU AL SHIA 14/441).
Na akaulizwa
Abuu Abdillah (a.s):{Je walikuwa waislamu katika zama za mtume(s.a.w) wakiona
bila ya kutangaza? Akasema:hapana}(tazama ATTAHDYB
2/189).
Amesema tausi akifafanua maneno hayo; hakika Abu abdillahi
hakukusudia kwa maneno yake hayo ndoa ya kudumu isipokuwa alikusudia mut’a ndio maana
ameyaleta maelezo haya katika mlango unaohusu
mut’a .
Hakuna shaka
kwamba hoja mbili hizi ni zenye kuifuta
mut’a na kuibatilisha .
Amiril-muuminin (a.s) ameelezea kuharamishwa
mut’a kutoka kwa mtume (s.a.w) na hii ina maana kuwa Amirul muuminin (a.s) amesema
kwamba mut’a iliharamishwa tokea siku ya
khaibara na bila shaka viongozi wengine
baada yake walijua hukumu ya mut’a baada
ya kuja kwao kuwa imeharamishwa
. Na hapa tuko mbele ya habari aina mbili : zilizo pokewa zinazoeleza waziwazi kuhusu uharamu wa
mut’a ,Na zile zinazo nasibishwa kwa maimamu zinazo himiza kufanya mut’a, Na hili ni tatizo muislamu anachanganyikiwa
afanye mut’a au asifanye?
Usawa ni
kuacha mut’a kwasababu
ni haramu kama zilivyothibiti habari zake kutoka kwa Amirul muuminin(a.s) ama maelezo yaliyo
nasibishwa kwa maimamu bila shaka si
sahihi, bali ni habari za uzushi wamesingiziwa maimamu,(a.s)kwani
hawawezi kwenda kinyume na jambo alilo
liharamisha mtume(s.a.w),na Amiril-muminina akawa na msimamo huohuo baada ya
mtume (s.a.w) ukizingatia wao ndio walio chukua elemu kutoka kwa mababu na
mababu kwa sababu wao ni familia moja,
Alipo ulizwa Abuu Abdillah(a.s):(Je walikuwa waislamu katika zama za
mtume(s.a.w) wakioa bila ya kutangaza? Akasema:hapana, haikua hivyo)kama asingekua
anajua kuwa mut’a ni haramu asingejibu kwa kusema hapana, hasa ukizingatia
swali liliulizwa kuhusu mut’a na kwamba
Abu jaafar alieipokea habari hii ameika katika mlango wa mut’a kama tulivuo
sema.
Na haikuwa inawezekana kwa Abii Abdillah(a.s) wala maimamu walikuwa
kabla yake na baada yake kwenda kinyume
na amri ya mtume(s.a.w) au kuuhalalisha jambo aliloharamisha au kuzua jambo lisilo julikana katika zama zake (a.s).
Kwahayo inakua wazi kuwa habari
zilizokuja kuhimiza mut’a si maneno ya maimamu , isipokuwa nimaneno yaliyosemwa
na watu kisha wakawasingizia maimamu kwa
kutaka kuwatusi AHLIL-BAITI,na kuwakosea adabu , na kama si hivyo
itatafsiriwaje kuhalalisha kwao kufanya mut’a na familia ya mtume na kuwaita
makafiri wasiofanya mut’a?
Pamoja na kuwa maimamu wote (a.s) haikupatikana habari sahihi kuwa mmoja wao,aliwahi kufanya mut’a
wala kuihalalisha mut’a, je watakua
wameishi katika dini isiyo kuwa ya
kiislamu?
Likiwa wazi kwetu
Kulainy amepokea kutoka kwa Abii Abdillahi(a.s) kwamba mwanamke mmoja alikuja kwa Omar ibn
Khatab akasema :hakika mimi nimezini akaamrisha kupingwa mawe,akaelezewa
Amirul-muumini(a.s) akamuuliza: vipi umezini? Akasema: nilipita kijijini
ikanipata kiu kali sana nikamuomba maji bedui mmoja akakataa isipokua
nitakapojitolea nafsi yangu kwake(kukubali kuzini nae), ilipo nizidi kiu, nikahofia
kufa akaninywesha maji nami nikamwachia nafsi yangu, akasema Amirul
muumini(a.s) hiyo ni ndoa na apa kwa bwana wa Al kaaba,(AL FURU’U 2/193).
Hakika ya mut’a kama
inavyojulikana inakuwa kwa
kuridhiana pande mbili na kuwa na hamu
baina yao, ama katika upokezi huu
mwanamke aliyetajwa alikuwa na shida, mwenye kulazimishwa,akajitolea nafsi yake
ili apate kunywa maji, hii haichukuliwi ni zinaa kwa hiyo kulikuwa hakuna haja
ya kutaka kutwaharishwa na Omar , zaidi
ya hayo -ni muhimu kuzingatia - kuwa Amirul
muuminin ndie ambae amepokea uharamu wa mut’a kwa kunakili toka kwa
mtume(s.a.w) katika vita vya Khaibar,vipi atatoa fatwa hapa kuwa hii ni ndoa ya
mut’a?! na fatwa yake inaonyesha kuhalalisha kukubali
na kuridhika kwa kitendo cha mme na
mke?!
Hakika fatwa hii lau angalisema mmoja wa wanafunzi
ingehesabiwa kwake ni kosa ambalo
anstahiki lawama juu yake basi iweje kosa hili linasibishwe na
Amiril-muminin(a.s)ambae anafahamika ni nani katika elimu na fatwa?
Hakika yule aliyeinasibisha fatwa
hii kwa Amirul muuminina ama ni mwenye chuki anayetaka kumtukana , au ni mwenye
lengo jengine kwa hiyo akazusha kisa hiki na kukinasbisha kwa Amirul-muminin
ili aifanye mut’a iruhusike kisheria ili yeye na wenzake kama yeye waweze
kujihalalisha zinaa kwa jina la dini, hata kwa gharama ya kuwasingizia maimamu
bali hata kumsingizia mtume (s.a.w).
Na hakika uharibifu unaopatikana katika ndoa ya mut’a ni
makubwa kwa pande tofauti:
1-Inapingana nasi (maelezo) ya kisheria kwa sababu ni kuhalalisha alicho kiharamisha Allah.
2-Hakika limesababisha jambo hili (la kuhalalisha
mut’a) kutengeneza riwaya za uongo na kuzinasibisha
kwa maimamu (a.s) pamoja na matusi machafu yaliyomo ndani yake ambayo hawezi
kuyaridhia yoyote yule mwenye imani japo chembe ndogo tu.
3-
Na
miongoni mwa uharibifu wa mut’a
ni kuruhusu kufanya mut’a na
mwanamke aliye jihifadhi,aliyeolewa hata kama
yupo kwa mwanamme bila ya mmewe kujua, na katika hali hii wanaume hawatakua na imani kwa wake
zao,kwasababu inawezekana mwanamke kuolewa kwa mut’a bila mumewe wa
kisheria kufahamu na bila ridhaa yake;na
huu ni uharibifu hakuna uharibifu zaidi ya huu.
Tazama(FURU’IAL KAFIY 5/463),(TAHDIYBUL-AL
AHKAMI 7/554)-(AL- ISTIBSAAR 3/145).
Yatakuaje mawazo yake tu na hisia zake siku atakapogundua kuwa
mkewe ambae yupo katika himaya yake ameshaolewa
na mwanamume mwingine ndoa ya mut’a?!
4- Na wazazi vilevile hawatakuwa na imani na mabinti
zao wadogo kwa sababu wanaweza kuolewa ndoa ya mut’a bila wao kujua, ni anaweza baba kustukizwa na uja uzito wa mwanae
mdogo , …kwa nini …..imekuaje…? hajui…..ni
ya nani ?hajui pia ,aliolewa na mtu?ni nani? Hakuna anae juwa, kwa sababu alimuacha akaondoka zake.
5-Watu wengi wanaofanya mut’a wanajiruhusu wao kufanya mut’a na mabinti za
watu,lakini wao watakapoendewa na mtu kwa ajili ya kuposa binti zao, au jamaa
zao akitaka kuoa mut’a hawakubali na hawaridhiki ,kwa sababu wao wanaona ndoa ya aina hii inafanana sana na zinaa, na
kwa hiyo ni aibu kwao nao wanalihisi hilo
pale wanapo fanya mut’a na na
bint za watu, basi hakuna shaka yakuwa
wao wanajizuia kuwaozesha mabinti zao
kwa wengine ndoa ya mut’a maana yake ni
kuwa wana jihalalishia kufanya mut’a na mabinti za watu wakati wao
wanawaharmishia watu kufanya mut’a na mabinti zao.
Ikiwa mut’a imeruhusiwa ki sheria au ni jambo la mubaha basi kwa nini kuna uzito wa kuwaruhusu wageni
kufanya mut’a na mabinti zao au jamaa zao?!
6-Hakika ndoa ya mut’a haina kushuhudiza wala
kutangaza , wala kuridhia walii wa mke
wala hakuna kuridhiana , isipokuwa mut’a ni mkodisho tu,kama inavyo semekana
kua Abuu abdillahi kasema hivyo, basi iweje jambo lenye picha kama hii
litangazwe na kuenezwa kwa watu?
7-Hakika ndoa ya mut’a imewafungulia mlango wanaume na
wanawake wasiokuwa na maadili hasa vijana katika kuuengemeza uchafu wao kwa
jina la dini , na limepelekea hilo kuiharibu sura ya dini na watu wake , kwa
hiyo yanabainika madhara ya mut’a kidini kijamii na kitabia , na kwa sababu
hiyo iliharamishwa mut’a, na kama mut’a ingekuwa na faida isinge haramishwa
,lakini ilipokuwa madhara yake ni makubwa mtume aliiharamisha na Amiril-muminin
pia akawa na msimamo huo.
Nilimuuliza imamu Al khuiy kuhusu maneno ya Amirl muuminin ya
kuharamishwa mut’a siku ya khaibara na kuhusu na maneno ya Abii Abdilah
ya kumjibu muulizaji wa ndoa isiyo tangazwa,je ilikuwepo katika zama za
Mtume(s.a.w)?akasema: maneno ya Amirl muuminin kuhuau kuharamishwa mut’a siku
ya khaibara, uharamu huo ni kuwa hiyo ya khaibar tu, baada ya hapo haikuendelea
tena
Uharamu huo.
Na
amma usemi wa Abii abdillah akijibu swali alilo ulizwa , imamu
Alkhuuiy anasema kuwa Abii abdillahi
alisema hivyo kwa taqiyya (kudhihirisha
kinyume na unavyo amini),na suala hili wamelikubali wamnazuoni wetu.
Mimi nasema:kwa kweli maneno ya
wanazuoni wetu hayakua sahihi, kwa sababu kuharamishwa mut’a siku ya
khaibar kuliambatana na kuharamishwa
punda wa kufugwa na uharamishwaji wa punda wa kufugwa,umeendelea kufanyiwa kazi toka siku
hiyo ya khaibar mpaka leo hii,na itaendelea mpaka siku ya Qiama.
Kwa hiyo madai ya kuwa mut’a
iliharimshwa siku ya khaibar tu nimadai matupu yasiyo kuwa na
ushahidi, hasa ukizingatia kuwa uharamu wa punda ambao ndio mwenza wa mut’a
uliendelea mpaka leo hii.
Na zaidi
ya hayo ingekua kuharamishwa mut’a ni kwa ajili ya sku ya khaibari tu ,basi yangepatikana maelezo ya wazi kutoka kwa mtume
(s.a.w) ya kufuta uharamu huo,muhimu ni kwamba tusisahau
ya kua sababu ya kuhalalishw mut’a ilikua ni safari na vita , basi iweje
iharamishwe katika vita hiyo na wenye
kupigana wana haja zaidi na kitu hicho (mut’a)hasa ukizingatia wako
mbali na wake zao na wajakazi wao,halafu tena ije ihalalishwe wakiwa nyumbani
katika hali ya amani?!
Hakika
maana ya Amiril-muminina (a.s)kwamba mut’a
iliharamishwa siku ya khaibara maana yake ni kwamba mwanzo wa kuharamishwa
mut’a ilikua ni siku ya khaibar, lakini maneno ya wanazuoni wetu ni kuchezea
maelezo ya kisheri si vinginevyo.
Ukweli ni kwamba kuharamishwa mut’a na punda wa
kufuga ni vitu vinavyokwenda pamoja iliteremka hukumu ya kuharamishwa kwake
siku ya khaibar na itaendelea hivyo mpaka Qiama wala hakuna sababu ya kuleta
maelezo ya mbali katika maneno ya Amiril-muminina (a.s)kwa sababu ya kutaka
kushibisha matamanio ya nafsi na kutafuta wanawake wazuri ili kustarehe nao kwa
jina la dini.
Ama maneno ya Abii Abdillah, katika kumjibu yule muulizaji kua ni taqiyya, mimi nasema kujibu hoja hiyo kwamba muulizaji
alikuwa nikatika wapambe wa Abii abdillahi kwa hiyo hapakuwa na sababu ya
kuleta Taqiyya kwa hiyo maneno yake hayakua ya taqiyya hasa ukizingatia maneno
yenyewe yanakubaliana na maneno yaliyo nukuliwa kutoka kwa miril-muminina (a.s)
kwamba mut’a iliharamishwa siku ya khaibar.
Hakika ya mut’a ambayo wameiruhusu
wanazuoni wetu, inampa haki mwanamume kustarehe na idadi kubwa ya wanawake
isiyo wezwa kudhibitiwa,hata
Watu wengi waliofanya mut’a wamesha
wakusanya mtu na mama yake mtu na mtoto wake mtu na shangazi yake au na mama
yake mdogo,nae hajui .
Alinijia mwanamke akinisimulia tukio
lilomfikia alinieleza kuwa mmoja wa
wa mabwana wakubwa ,naye ni assayed Huseini Al sadri alikua amefanya nae
mut’a kabla ya miaka ishirini na kupata mimba na alipo maliza haja yake
alimuacha, na baada ya muda akapata mtoto wa kike,na aliapa kua mimba hiyo ni
ya huyo bwana mkubwa , kwa sababu
hakufanya na mtu yoyote wakati huo isipokuwa bwana mkubwa huyo.
Baada ya kukua yule binti na kuwa
msichana mzuri anae faa kuolewa ,mama aligundua
kuwa binti yake ana mimba,basi alipo muuliza mimba kaipata wapi , binti
akamueleza mama yake kuwa ni ya yule
bwana mkubwa alie tajwa alifanya nae mut’a na akapata mimba, mama akapata
mshutoko na akachanganyikiwa ,na akamueleza binti yake kuwa huyo mtu (alie mpa
mimba)ndie baba yake, na kumueleza kisa chote . vipi
mtu anafanya mut’a na mama kisha inakuja siku nyingine anafanya mut’a na mtoto
wake mwenyewe?
Kisha akanijia
mwana mke huyo akinisimulia kuhusu msimamo wa bwana mkubwa huyo alietajwa
kuhusiana na huyo mwanamke na binti yake.
Matukio ya aina hii ni mengi
Hakuna anayeweza kueleza matukio yote ya aina hii yaliyo tokea kwa sababu ya mut’a na sisi tumeyashudia wenyewe.
Mwenyezi Mungu(s.w)anasema
(وليستعفف
الذين
لايجدون
نكاحا حتى
يغنيهم الله
من فضله){ Nawajizuie na machafu wale wasipate cha kuolea, mpaka Mwenyezi
Mungu atakapo watajirisha kwa fadhila zake} Surat An Nuur, Aya:33.
Aya inatufundisha kwamba asiyeweza
kuoa ndoa ya sheria
kwa sababu ya kutokuwa na uwezo basi ni wajbu wake kujizuia mpaka Mwenyezi Mungu atakapo mruzuku kwa
fadhila zake ili aweze kuoa.
Basi ingelikuwa mut’a ni halali mtu asingeliamrishwa kujizuia na kusubiri mpaka atakapopata wepesi wa kuoa, badala yake angeelekezwa
kufanya mut’a kwa ajili ya kuondoa haja
yake badala ya kuumia na matamanio,
na Mwenyezi Mungu(s.w) amesema:(ومن لم
يستطع منكم
طولا أن ينكح
المحصنات المؤمنات
فمن ما ملكت
أيمانكم من
فتياتكم
المؤمنات)-
إلى قوله- (ذلك
لمن خشي العنت
منكم وأن تصبروا خير لكم
والله غفور
الرحيم){Na asie weza miongoni mwenu kupata mali ya kuolea wanawake
waungwana,waislamu, na aoe katika wajakazi wenu waislamu ,na Mwenyezi Mugnu
anajua sana imani zenu ninyi kwa ninyi ,……..
endelea mpaka mwenyezimungu aliposema….
mwenyezi mungu anawaelekeza wale ambao hawawezi kuoa kwa kutokua na uezo
wawaoe wajakazi wao na mwenye kushindwa kuoa mjakazi pia basi na avumilie,kama mut’a ingekuwa halali
angemuelekeza kufanya hivyo ,asinge muamrisha kusuburi.
Tumeona ni lazima kunukuu hoja
nyingine kutoka kwa maimamu(a.s) zinazo thibitisha
kuharamishwa kwa mut’a!
Na alikua (a.s) akiwakejeli jamaa zake na
kuwatahadharisha na mut’a akisema:basi haioni haya
mmoja wenu kuona mahali amepewa mimba
mtu mwema katika ndugu zake au jamaa zake? (Al-Furuu 2/43, Al Wasaail 14/450)
3-Na alipomuuliza Aly bin Yaqtin Abal Hasan (a.s)
kuhusu mut’a akamjibu{unaitakia nini Mwenyezi Mungu
amekutosheleza na
Ni kweli kabisa kwamba Mwenyezi Mungu(s.w)
amewatosheleza watu na mut’a kwa
kuwaikea ndoa ya kudumu ya kisheria.
Na kwa sababu hiyo haikupokewa kuwa kuna mtu yeyote aliwahi kufanya mut’a na mwanamke
katika Ahlul-baiti(a.s) basi lau ingelikua ni halali wangelifanya hivyo, na hilo linatiwa nguvu na habari
isemayo kwamba Abdallah bin Umair aliesema kumwambia abii
Jafar(a.s){inakufurahisha kuwaona wake zako na binti zako na dada na mabinti
wa Maami zako wakifanya hivyo? Abuu Jafar(a.s)
akampuuza wakati alipo taja wanawake zake na mabinti wa ammi zake(Al-Furuui
2/42, Atahdhiyb 2/186)
Na kutokana na haya inathibitika kwa kila
muislamu alie na akili kuwa mut’a ni haramu,kwa kwenda kwake kinyume na Qur-an na sunna na maneno ya wanazuoni (a.s) .
Na atakayezitazama aya
za Qur-an tukufu na hoja nyingne zilizotangulia katika kuharamisha mut’a akiwa
ni mwenye kutafuta haki na kuipenda basi
hatukuwa na hukumu zaidi yakuona kuwa maelezo yote yalio kuja kuthibitisha
mut’a ni batili, kwa sababu ya kupingana kwake na Qur-an na sunna
zilizopokelewa kutoka kwa Ahlul-bait (a.s) na kwa sababu ya uharibifu mkubwa
unaopatikana katika ndoa hiyo kama tulivyo eleza hapo nyuma.
Inalojulikana Kuwa dini ya kiislamu imekuja kuhimiza maadili mema na
kukataza yaliyo maovu,na imekuja
kuwahakikishia mambo mazuri yatakayo
wasimamishia maisha yao,na hapana shaka kua mut’a si katika mambo yaliyo na
maslahi katika maisha ya watu, na
tukichukulia kwamba mut’a ina maslahi basi ni maslahi ya mtu mmoja, kwa sababu
inasababisha madhra mengi kama tulivyo yataja
huko nyuma.
Hakika
kuenea kwa mut’a imeleta tabia yakuazimana tupu (maana yake ni kumtoa mtu mkewe
au mjakazi wake kumpa mwenzake afanye nae mut’a au afanye vyovyote apendavyo,mtu akita kusafiri anamuacha mke wake kwa jirani yake au
rafiki yake au yeyote amtakae,
anamruhusu afanye naye chochote apendacho muda wote wa safari na sababu
ya kufanya hivyo inaeleweka nayo nikuwa mume anataka atulizane kwa mke wake
hatozini wakati yeye hayupo!!
Pi kuna njia nyingine ya kuazimana tupu
,pindi anapofika mgeni kwa watu, na wakataka kumkirimu basi mwenye
nyumba atamuazima mgeni mke wake katika muda wote wa kukaa pale,
Atamuhalalishia kila kitu , la kusikitisha
nikwamba wanatowa riwaya nyingi katika kuthibitisha hayo wakidai kwamba
zimepokewa kutoka kwa imamu Al-ssaadiq na baba yake abii jaafar amani ya mungu
iwe juu
Amepokea Al
Tausiyi toka kwa Mohammed Bin Abii Jafar(a.s)
amesema,niliuliza:{ je mtu anaweza akamhalalishia nduguye kulala na mjakazi
wake? Akasema ndio si vibaya ni halali kwake kile
alicho halalishiwa.}(Al Istibsaar 3/136.).
Amepokea AL- KULAINIY na Al- tausiy kutoka kwa Mohammed bin Mudharib
amesema aliniambia Abuu Abdillah(a.s):( ewe Mohamed mchukue mjakazi huyu akuhudumie na umuingilie utapoondoka
turejeshee) Al Kafiy, Al Furuu 2/200,Al Istibsaar 3/136).
Nikasema : lau wangekusanyika watu wote wakaapa kuwa maimamu wawili Al sadiq na Al
Baaqir(a.s) kwa wamesema mneno haya nisinge kubali.
Hakika
maimamu wawili hawa(a.s) haifanani kusema
maneno maovu
Hawawezi
kuruhusu kitendo kiovu kinachopingana na tabia tukufu za kiislamu ,
kitendo kama hiki ni udayuthi (kutokua na wivu)
hapana shaka kuwa viongozi(a.s) wameirithi elimu hii tangu na tangu
yakinasibishwa maneno haya na matendo haya kwao,ina maana kuwa yamenasibishwa
Mtume(s.a.w) na yakinasibishwa na mtume basi itakuwa ni sheria ya Allah (jambo
ambalo haliwezekani)
Tulipo
itembelea India na huko tukakutana na viongozi wa kishia kama bwana Al Naqwiyu
na wengineo tukapita katika kundi la
Mahindus na wanaoabudu N’gombe na ibada za kipuuzi na wengineo
wanaofuata dini za kijahili, na tukasoma sana kuhusu dini zao
lakini hatukukuta dini yoyote kati ya dini zao inayo halalisha kitendo hicho
kwa wafuasi wake.
Itawezekana
vipi kwa kidini ya kiislamu ihalalishe kitu kichafu
Tulitembelea
chuo kimoja cha kiislamu kilichopo
Iran tukawakuta mabwana wakubwa
wakihalalisha kuazimana tupu , na miongoni waliotoa fatwa ya kuruhusu jambo hilo ni Asayyid Lutfillahi
Asaafiy na wengineo,kwa hiyo suala la kuazimana tupu
limeenea Iran yote,na likaendelea kufanyika tendo hilo mpaka baada
ya kuangushwa Shaha Mohammad Ridha
Bahlawiy nakuja kwa Ayatullahi Al udhma Al imam al Khomainiyu , Al muusawiy na
baada ya kufa Al imam Al Khomaniyu tendo
hilo liliendelea na hii ikawa moja ya sababu ambazo zilipelekea kufeli dola ya
kwanza ya kishia katika zama hizi,mashia katika ulimwengu mzima walikua
wakiiangalia kwa makini dola hiyo, kufeli kwa dola hiyo ni katika mambo yaliyo
changia mabwana wakubwa wengi kujitenga nayo na kuuipiga vita , huyu hapa rafiki yetu mwanazuoni Assayid Musa
Al muusawiy aliyaita mapinduzi ya Irani kuwa ni mapinduzi yasiyo na
matumaini na akatunga vitabu na akaeneza maqala nyingi katika
kuipiga vita hiyo na kubainisha makosa yake.
Anasema bwana Jawad Al muusawiy hakika mapinduzi ya
kiislamu ya Ira si kwa ajili ya uislamu hata kidogo
isipokua ni jina tu.
Na alikua Ayatullahi al udhma Asayid Mohamed Kadhim
Shari Ya’tamidariy ni miungoni mwa wapiganaji wakubwa wa mapinduzi hayo
kwa upotokaji wa wazi aliouona unaenda kinyume na misingi ya uislamu.
Pia kuna mabwana wakubwa wengi ninao wajua mimi mwenyewe waliilaumu serekali ya imamu khomeyniy na
kuiasi.
Na yanayo
sikitisha sana ni kwamba mabwana wakubwa wametoa fatwa ya kuruhusu kuazimana wanawake , kuna familia nyingi kusini mwa iraki na Baghdadi
pia katika maeneo ya mapinduzi
zinaendelea kufanya jambo hili kwa kufuata fatwa za mabwana wakubwa
wengi kama vile: Asaysatani na Asadri na
Ashyrazy na Al tabatabaiy na Al
burujardy na wengineo,na wengi wao wakiwa wageni sehemu kwa mtu basi wana
muazima mke wake wakimuona ni mzuri ataendelea kukaa nae hivyo mpaka aondoke!!.
Hakika
wajibu wetu ni kuwatahadharisha watu juu ya kitendo hiki kibaya na wala wasikubali fatwa za
mabwana wanao ruhusu tendo hili baya ambalo nguvu zilizo jificha nyuma ya pzia
zina mchango mkubwa
Mambo hayakuishia hapo bali wali halalisha tendo la
Qaumu luti kwa wanawake na zikapokewa riwaya nyingi zilizonasibishwa kwa
viongozi(a.s) amepokea Atuusiy kutoka kwa Abdillah bin Abii Al Ya’fur akisema :
( nilimuuliza Abaa
Abdillah(a.s)kuhusu mtu anaye muingilia
mkewe nyuma, akasema: si vibaya kama ataridhika,nikasema likowapi neno la Allah(s.w)lisemalo(فأتوهن
من حيث أمركم
الله){Waendeeni
katika njia aliyowamrisha Allah(s.w) basi akasema hii ni
kwa kutafuta mtoto,basi tafuteni
watoto kwa njia aliyowaamrisha Mwenyezi Mungu,kwani Allah(s.w) amesema:(نساؤكم
حرث لكم فأتوا
حرثكم أنى
شئتم){
wanawake wenu ni mashamba yenu yaendeeni
mashamba yenu mpendavyo} Al-Istibsaar 3/243.
Pia Atausiy
kapokea kutoka kwa Musa bin Abdillahi kutoka kwa mtu mmoja akisema:(
nilimuuliza Abal- Hassan Aridhaa(a.s) mtu kumuingilia mkewe nyuma,akasema:
imehalalishwa na aya katika kitabu cha Mwenyezi Mungu, aliposema Lut(a.s)(هـؤلاء
بناتي هن أطهر
لكم)(
mabinti zangu hawa kwenu ni tahara) alijua kuwa wao hawataki njia ya kawaida ya
kimaumbile,Al-Istibsaar 3/243.
Na amepokea Atuusiy kutoka kwa Ally bin Hakam
amesema, nilimsikia Safwani akisema :nilimuambia Alridha(a.s) (hakika ya mtu
mmoja wa karibu yako ameniamrisha nikuulize mas-ala anakuogopa na
anakuonea haya kukuuliza,akasema ni yapi hayo? Akasema:je
mtu anaruhusiwa kumuendea mkewe nyuma? Akasema :ndiyo inafaa kufanya hivyo.) Al Masdar Al Sabiq.
Hakuna shaka
kuwa habari hizi zimepingwa na Qur-an kwani mwenyezi mungu(s.w) anasema(يسألونك
عن المحيض قل
هو أذى
فاعتزلوا
النساء في
المحيض
ولاتقربوهن
حتى يطهرن)البقرة :222 { na wanakuuliza kuhusu hedhi,waambie ni
uchafu basi jitengeni nao wakiwa katika hedhi na wala msiwangilie mpaka
wataharike} Sura 2 Aya 222.
Lau kama
kumuingilia nyuma kunaruhusiwa angaliamrisha kuacha
utupu wa mbele tu. Na (angesema jitengeni na
utupu wa mbele wakiwa katika hedhi).lakini kwa sababu kumuingilia mwanamke
nyuma ni haramu imeamrishwa kuziepuka sehemu zote mbele na nyuma ndio maana
akasema (msiwa karibie)>
kisha akabainisha
Mwenyezi Mugnu baada ya hayo sehemu ya kuingiliwa mwanamke,akasema
Allah(s.w)(فإذا
تطهرن فأتوهن
من حيث أمركم
الله)البقرة:222{ wakishataharika basi waingilieni sehemu
aliyo waamrisha Mwenyezi Mungu} Sura 2 Aya 222.
Na Allah(s.w) ameamrisha
kuwaingilia wanawake katika sehemu ya mbele aliposema:(نساءكم
حرث لكم فأتوا
حرثكم أنى
شئتم)البقرة:322{wanawake ni mashamba yenu yaingilieni
mashamba yenu mpendavyo} Sura 2 Aya 223, na shamba ni sehemu ya kutafutia mtoto
. Hakika riwaya ya Abii Al Ya’fur kutoka kwa Abii
Abdillah maana yake nikua
kutafuta mtoto inakua
katika tupu za mbele kwa maneno yake Allah(s.w)(نساءكم
حرث لكم فأتوا
حرثكم أنى
شئتم)
wanawake wenu ni mashamba yenu} basi hii ni katika katafuta mtoto, maana ya
riwaya hii nikuifanya tupu ya mbele ni kwajili ya kutafuta mtoto tu, ama
kukidhi haja za kimwili ni kwa utupu wa nyuma na maelezo ya riwaya hii yako
wazi katika kuleta ufahamu huu.
Na hili ni kosa kwasababu utupu
wa mbele siyo maalum kwa kutafutia mtoto tu bali pia kwa kukidhi haja na
matamanio ya kimwili. na hiyo ndio hali halisi ya
maisha ya ndowa tangu enzi za Adamu (a.s)mpaka qiama na Abuu Abdillah hafanani kusema maneno maovu
Lakini ilipokua moja ya sehemu mbili hizi si
halali haifai kuiendea na nyingine ni
halali basi ulihitajika ufafanuzi ni ipi sehemu inayofaa kuiendea ikawa amri ya Allah(s.w) ni kuiendea sehemu
ya kuotesha( shamba), na shamba ni ile sehemu ya kutafutia mtoto,na sehemu hii ndiyo sehemu inayoendewa kwa kutafuta
mtoto na kukidhi haja za kimwili pia,
Ama riwaya
iliyonasibishwa kwa Al-ridha (a.s) katika kuruhusu kuliwatiwa wanawake na kutoa hoja ya maneno ya nabii Luti (a.s)
Basi mimi ninasema :hakika tafsiri ya maneno ya Allah
(s.w)(هــؤلاء
بناتي هن أطهر
لكم)هود:78 { mabinti zangu hawa kwenu ni tahara)Sura Huud Aya:78 imepatikana
katika aya nyingine usemi wake Allah(s.w)(ولوطا
إذ قال لقومه
إنكم لتأتون
الفاحشة ما
سبقكم بها من
أحد من
العالمين*أئنكم
لتأتون
الرجال
وتقطعون
السبيل)العنكبوت
:28{ Na Lut alipowaambia watu
wake kuwa ninyi mnaleta uchafu haukufanywa na yeyote katika viumbe walio kabla
yenu, Ninyi mna waingilia wanaume na kukata nasab}Al Ankabuut 28-29. kukata nji
haina maana yale yanayo fanywa na majambazi peke yao laa sihivyo ina maana pia ya kukata kizazi kwa kuingilia sehemu isiyo kua ya kutafutia
mtoto,yaani sehemu ya nyuma,basi lau kama watu wangeendelea
kuingilia nyuma za wanaume na wanawake na wakaacha kutafuta watoto watu wangelimalizika na
kizazi kingelikoma .
Aya hii tukufu
pia inatupa maana hiyo hiyo na khasa
tunapoangalia kwa makini mtririko wa aya iliyo nyuma yake ,hakuna shaka kuwa
haya hayakujificha kwa Imamu Al-ridha(a.s), hivyo inathibitika uongo
wa kuinasibisha habari hii kwake.
Hakika
kuingilia nyuma wanawake halikusemwa
Jua kwamba mabwana wakubwa katika chuo cha kishia cha
Annjaf na vyuo vyote vya kishia na kila mahali walipo wanakifanya kitendo hicho(kuwainglia wanawake nyuma)!!.
Na alikua rafiki yetu Al Hujatu Asyidu Ahmad Al
wailiyu akisema tangu alipo ziona riwaya hizi alianza kukifanya kitendo hicho na ni mara chache ambazo anamuingilia mwanamke katika sehemu
ya mbele.
Nakila
nilipokutana na mmoja kati ya hao mabwana wakubwa na katika kila sehemu ninauliza uharamu na
uharamu wa mwanamke kuingiliwa nyuma basi hunijibu kuwa ni halali na kutaja riwaya mbali mbali zinazoruhusu jambo hilo nyengine
ni hizi tulizo zitaja hapo nyuma.
Hawakutosheka
kuruhusu kulawitiwa wanawake tu
bali pia wengi kati
Siku moja tukiwa chuoni zilipatikana habari kuwa
mtukufu Asayid Abdul Hussain Sharafu ddiyn
Al Muusawiy amefika Baghdad, na atafika chuoni ili akutane na
mtukufu Al Imamu Alu Kashifu Al Ghataa,
na alikua Asayid Sharafu Ddiyn amepata umaarufu kwa mashia wote. Khasa baada ya kutoka vitabu vyake
alivyoviandika
ü
Alipo fika Annajaf allitembelea
chuoni makaribisho yake yakawa makubwa kutoka kwa wana chuo walimu na wanafunzi na
katika kikao chao kilichofanyika katika ofisi ya al sayid Al Khashif Al
Ghataa, kilicho kusanya idadi kubwa ya
mabwana wakubwa na baadhi ya wanafunzi ,
nami nilikua ni mmoja ya
waliohudhuria, katikati ya kikao aliingia kijana mmoja akatoa salamu kisha
akasema kumwambia Asayid Al Khashif Al Ghataa: bwana nina swali,bwana Al kashiful-ghataa
akamwambia: uliza swali lako kwa Asayid Sharaf Adiyn akalirusha swali kwa mgeni wake Asayid Sharaf Adiyn kwa kumtukuza
na kumuheshimu.
Muulizaji akasema:bwana
mkubwa, mimi ninasoma
Yule mtu akasema ni
vigumu kwangu kuishi na mwanake kutoka kwetu katika nchi hiyo.
Asayd Sharaf Adyin,akaelewa lengo lake,na akasema kwahivyo unataka kuoa
mwanamke mwingereza? Yule mtu akasema ndio, akamwambia Sharaf Adyin:
Yule mtu
akasema: nimetafuta
Ama zinaa niko
mbali nayo kwakua ni haramu na ndoa
haiwezekani kama ulivyoona nami nakaa huko mwaka mzima au zaidi, kisha narudi
likizo kwa muda wa mwezi mmoja ,na kama ujuavyo safari ni ndefu nifanyeje?
Alinyamaza Asyid
Sharaf Adyin kidogo na akasema :hakika tatizo lako
hili ni zito, lakini usijali kwani
niliwahi kusoma riwaya kutoka Imamu Jafar Al Sadiq(a.s)
wakati alipojiwa na mtu anayesafiri sana na akamtolea shida na ikawa vigumu
kuongozana na mke wake na ni vigumu kufanya mut’a katika mji anao safiri kiasi
akawa anapata shida kama wewe , basi Abu Abdillahi akamwambia safari ikiwa
ndefu kwako basi juu yako kumuoa mwanamume,hili ndilo jawabu la suala lako.
Aliondoka yule
mtu akiwa na
alama ya shaka kutokana na jibu hili,ama wale waliohudhuria akiwemo bwana
mkubwa mkuu wa chuo hakutamka mmoja wao
chochote.
Alikamatwa bwana mkubwa mmoja hapa chuoni akimlawiti
mvulana mmoja mdogo katika wana funzi wa hapa chuoni, Habari zikawafikia watu
wengi, siku iliyofuata alipokua bwana
mkubwa huyo akitembea katika bustani ,alimkaribia bwana mkubwa mwingine miongoni mwa wanazuoni
wa chuo ,na alikuwa amezipata habari , akasema
kwa lugha fasaha huku akimfanyia
mzaha:bwana unsema nini kuhusu kulawiti?yule mwengine akamjibu kwa mzaha zaidi akisema
kumwambia na kwa ufasaha tena.
Imependekezwa kuingiza kichwa cha dhakari tu,kisha
wakajikohoza kwa nguvu wote wawili!!.
Na yuko
bwana mwingine miongoni mwa wanazuoni wa Hoza (chuo)anajulikana kw kulawiti ,
alimuona mtoto mdogo akitembea pamoja na bwana mkubwa wengine miongoni mwa wanazuoni wa
Hoza(chuo) vilevile,akaamuuliza,ni mtoto gani huyu uliye nae? Akamjibu:huyu
mtoto wangu Fulani.(akamtaja jina) Akamwambia :kwanini hakumleta kwetu ili tumsomeshe na kumpatia
elimu ili awe mwanazuoni kama wewe?
Akamjibu kwa dharau :ewe mwanachuoni muovu mpuuzi
unataka nikuletee ili umfanyie (hivi na
vile)?! Na tukio amenizungumzia mtu muaminifu miongoni mwa waalimu wa Hoza.(chuo)
Tumeona matukio mengi kama haya, na tuliyoyasikia ni mengi
zaidi mpaka imefikia rafiki yetu mpemzi bwana Abasu amekusanya matukio mengi
sana, na kuyaandika kwa upana na kwa tarehe zake majina ya wahusika. Nae anakusudia kuyatoa
katika kitabu anachotaka kukiita (FADHAIHU AL-HOZATI AL-ILMIYAT FI
AL-NAJAF)(habari za kufedhehesha za chuo cha kishia cha najaf) kwa sababu ni
wajibu kuuweka wazi ukweli kwa mashia wa kawaida masikini wasiojui yanayo pita nyuma ya pazia, na wala hawayajui wanayoyafanya mabwana wakubwa wa
kishia , mpaka inafikia , mmoja wao
anampeleka mkewe au binti yake au dada yake,kwa ajili ya ziara au
kutafuta mtoto au kupeleka zawadi kwa ajili ya
Hussain) basi wanampokea mabwana wakubwa
hasa akiwa mzuri na kufanya nae machafu na kumfanyia kila uovu ,hakuna
hila wala nguvu isipokua kwa msaada wa Allah(s.w).
Hakika ya khumusu ni kitu kingine kilichotumika
vibaya na wanazuoni na
mujtahidina(wakishia),ikawa ni njia ya kuwaingizia mabwana wakubwa ikawa
inawaingizia mali nyingi sana.
Ingawa
maelezo yakisheria yanaonyesha kwa mashia wa kawaida hawalazimishwi khumusu. Bali ni nkhiari yao kufanya
hivyo , ispokuwa wao wanaruhusiwa kuitumia khumsi kama wanavyo tumia mali
zao, Bali anazingatiwa yule anayetoa khumus kuwapa mabwana wakubwa kuwa anapata
madhambi kwa anapingana na maelezo ya Amirl muuminin na viongozi wa Ahlul
Bait(a.s).
Na ili
aufahamu vizuri msomaji uhakika wa
khumus na jinsi ya kutumika kwake tutaielezea
maudhui ya khumus na kushamiri kwake katika historia, na tutayatia nguvu
maneno yetu hayo kwa maelezo ya kisheria na maneni ya maimamu na fat’wa za
wanazuoni wanaotegemewa na kukubalika maneno yao.
1.
Inasimuliwa na Dharis Al Kinaniy kua aliuliza Abuu Abdillah (a.s): zina
imengizwa kwa watu kutoka wapi? Nikasema sijui najitoa muhanga kwa ajili
yako ,akasema, nikutoka katika khumus zetu Ahlul Bait
isipokua mashia wetu watakasifu hiyo imehalalishwa kwao tangu kuzaliwa
kwao(Usulu Al Kaafiy 2/205)sherehe ya Al
Shaykh Mustafa.
2. Inasimuliwa na hakimu
Muudhin bin Issa amesema: nilimuuliza baba Abdillah(a.s) kuhusu kauli yake Mwenyezi Mungu(s.w)[8:41](واعلموا
أنما غنمتم من
شيئ فإن لله
خمسه وللرسول
ولذي
القربى)الأنفال41{ Na jueni ya
kwamba chochote mnachokiteka( mnacho kipata ngawira) , basi sehemu yake ya tano
ni kwa ajili ya Mwenyezi Mungu na Mtume
na jamaa zake Mtume(Al Anfal 41).akasema Abuu Abdillah(a.s) kwa kueka
mikono yake juu ya magoti yake,kisha akaashiria kwa mikono yake akasema {hivyo
na apaa kwa Allah(s.w) nifaida inayopatikana siku hadi siku, isipokua baba
yangu amejaalia shia wake kuwahalalishia ili
wajitakase}(Al Kaf 2/499)
3-Inasimuliwa na Omar bin Yazid amesema: nilimuona
masmaa kwenye mji wa madina amechukua mali kumpelekea Abii Abdillah mwaka
huo,Abuu Abdilah akairudisha….ikafikia kusema:ewe Abaa Sayyara tumekuchagulia
wewe na tukakuhalalishia kwa hiyo chukua
mali yako na kila kilichopo mikononi
mwa mashia wetu hapa duniani wao
wamehalalishiwa hilo mpaka atakapo kuja mahdi Al-muntadhar (Usulul Kaafi 2/268).
4-Imepokewa kwa Muhamad bin
muslim kutoka kwa mmoja wao(a.s) hakika hali mbaya watakayo kuwa nayo watu siku
ya Qiyama ni pale atakapo simama mwenye khumsi nakusema :ewe mola khumus
yangu,na sisi tumeitowa kwa ajili yako kuwapa
mashia wetu ili wawaweke vizuri watoto wao na
kwa ajili ya kuwatakasa watoto wao(Usulul Kaaf 2/501.
5- Imepokewa kutoka kwa Abii Abdillaha (a.s) amesema:
hakika watu wote wanaishi chini ya
vivuli vyetu isipokuwa sisi
tumewahalalishia mashia wetu hilo.[Manla Yahdhuruhu Al Faqiyhu 2/243].
5-Imepokewa kutoka kwa yunus bin Ya’qub amesema: nilikuwa kwa Abii
Abdillah(a.s) mara akaingia mtu mmoja kutoka katika mji unaoitwa Qanatin
akasema: (nimejitolea muhanga kwako, zinaingia mikononi mwetu faida nyingi
na mali nyingi na biashara na tunajua kuwa kuna haki yenu
ndani yake nasi hatukulitekeleza hilo ipasavyo ,akasema(a.s) hatujawatendea
haki pale tulipowalazimisha jambo hilo,)[Manla Yahdhuruhu Al Faqiyhu 2/23].
6-Imepokewa
kutoka kwa Ally bin Mahziyar,kuwa amesema nimesoma katika kitabu cha
Abii Jaafar(a.s) nikakuta kuwa alikuwa na mtu mmoja na kumuomba, amruhusu apate
chakula chake na kinywaji chake katika khumus,basi akaandika(a.s) kwa mkono
wake ( ninaye mpatia kitu katika haki yangu basi yupo katika uhalali)[Manla
Yahdhuruhu Al Faqiyhu 2/23].
7-Alikuja mtu kwa Amiril muumini(a.s),akasema: nimepata
basi riwaya hizi na nyinginezo nyingi ziko wazi
katika kuwasamehe mashia khumus kwani wao wameruhusiwa wasitowe basi anayetaka kuitumia yeye mwenyewe,au
kuila wala asiwape Ahlul Bait chochote basi hiyo ni halali yake kufanya atakavyo na wala hakuna dhambi juu yake, bali pia haiwapaswi
wao kutoa mpaka atakapo kuja mahdi anaesuniriwa, kama ilivyopokewa katika
riwaya ya tatu.
Na hatakama
angekuwepo Imamu (kiongozi wa kishia) asingepewa mpaka asimame kiongozi wa Ahlu
Bait,basi itawezekana vipi kupewa wanazuoni na mafaqihi ?.
Fatwa za
mafaqih na wanazuoni wanao tegemewa katika kuwazuia
mashia kutowa khumsi.
Kufuatana na hoja zilizo tangulia na nyinginezo nyingi
zilizoweka wazi kusamehewa mashia kutowa
kuhums zilitolewa fatwa nyingi kutoka kwa wanazuoni wakubwa na mujtahidin
miongoni mwa wale wenye upeo mkubwa wa elimu na ambao wana nafasi kubwa kati ya
wanazuoni wetu, zinazo halalisha khumsi kwa mashia na kutompa mtu yoyote mpaka
atakapo kuja kiongozi wa AhlulBait:-
1.
Almuhaqaqu Al –Hiliyunajmu-ddiyn Jafar
bin Al Hassan aliefariki[676 H] alisisitiza kuwepo uhalali wa manufaa na majengo na sehemu za biashara kwa siri na
kusema: haipasi kuitoa hisa inayo patikana katika kuwapa watu wa khumus ,
Tazama kitabu Sharaiu Al-Islam
182-183 Kitabul Khumus.
2.
Yahya bin Said Al- hiliyu
aliyefariki[690H] alipendelea mtazamo wa
kuruhusu khumus na nyinginezo kwa mashia ikiwa ni takrima na fadhila kutoka
kwa maimamu wa Ahlul-baiti.
3.
Al hassan bin Almut-har A hiliyu ambae
aliishi katika karne ya nane,alitoa fatwa ya kuruhusu
khumus kwa mashia na kuwazuia kutowa
4.
Ashahidu Athaniy aliofariki [966 H] amesema katika (Majmai Al
Faaida wal Burhan 4/355-358) : alionelea kuruhusu khumus bila sharti na akasema: hakika huo ndio usahihi
kama ilivyo katika kitabu(Masaliki Al Afhamu,68).
5.
Al Muqadas Al Ardabiyliyu
aliyefariki[993H] nae ni faqih katika
mafaqih wakubwa wa zama zake
mpaka wakambandika jina la (Al
Muqadas) amesema kwa kuruhusu moja kwa moja kutumia mali za wasiokuwepo kwa
ajili ya mashia khasa wakati wa shida,na akasema:habari zote hizi zinajulisha
kuondoka wajibu wa khumusi moja kwa moja
zama ghiba ya imamu na kuridi kwake , kwa maana ya kukosekana ulazima na
kukosekana ushahidi wa nguvu wa faida na machumo na kutokuwepo ngawira.
Ninasema:neno
6.
Al-Allama Salar amesema: hakika viongozi
wameruhusu khumus katika zama za ughaiba kwa kuwatukuza na kuwakirimu mashia tu
. tazama
kitabu(Al-Marasiym 633).
7.
Asayid Mohammad Ally Tabtabaiy
aliyefariki mwanzoni mwa karne ya kumi na moja amesema :
kauli sahihi ni kuruhusu(Madariku Al
Afham 344).
8.
Mohammad Baqir Asabzawariyu aliyefariki
mwishoni mwa karne ya kumi na moja amesema: faida inayopatika katika
habari nyingi,katika uchunguzi wa kuruhusu khumusi kama vile sahihi al harith
bin Mughira,na sahihi Al Fudhalaa na riwaya ya Muhammad bin Muslim,na riwaya ya
Daudi bin Kathiyr na riwaya ya Sinan na sahihi ya Zurara na sahihi yaAlly bin
mahziyaar na ya Kurayb: ni kuhalalisha khumus kwa mashia.
Na akaingia
katika kuzijibu baadhi ya hojjah zinazo pingana na rai hii akasema : hakika
hojjah zinazo ruhusu ni sahihi zaidi
kuliko nyengine kwa hiyo hana nafasi mtu kuziacha kwa ajili ya hojjah
nyingi , kwa ujumla ni kwamba kauli ya kuhalalisha khumusi wakati wa ghaiba ina
nguvu sana (Tazama kitabu Dhukaira Al Maadi
292).
9.
Mohammad Hassan al Faydhu Al-Kashaaniy
katika kitabu chake ( Mafatihu
Al-sharia(229)(Miftahu 260) amechagua msimamo unaoonelea kuanguka yote yanayo
mstahiki Al-mahdi,akasema:kwa kulihalalisha hilo viongozi wetu kwa ajili ya mashia.
10. Jaafar Kashifi Al Ghatai aliyefariki(1227 H) katika
kitabu Kashif Al Ghatai(364):
ametaja uhalali wa khumusi kwa maimamu na kutokuwa wajibu kuitowa kuwapa.
.
11. Mohammad Hassan Al Najafiy aliefariki (1226 H) katika kitabu Jawahiru Al Kalaami ,6/141 ameamua kuruhusu
kuchukua khumus mashia katika zama za ghaiba bali na zama za kurudi , na
kubainisha kuwa maelezo haya yana
karibia kuwa mutawaatir (habari iliyo pokewa na watu wengi ambayo haina
wasiwasi ukweli wake)
.
12. Ninamalizia kwa sheikh Ridha Al
Hamdaniy aliefariki(1310 H) katika kitabu chake Misbahu Al faqiyh(155): basi ameruhusu khumus
katika hali ya ghaiba . na
Shaikh Al Hamdaniy huyu ni mtu wa karibuni
Kama hivyo tunaona yakwamba kauli ya kuhalalisha
khumus kwa mashia,na kuwasamehe wao
kutowa kauli hiyo ndio inayojulikana kwa wanazuoni wote wazamani na wa
sasa na ndio kauli iliyofanyiwa kazi
mpaka mwanzo wa karne ya kumi na nne, achilia mbali kuwa ndiyo yenye ushahidi
wa uhalali wake, ,basi itawezekana vipi na ili hali ni hii kutowa khumsi na
kuwapa wanazuoni ? Pamoja na kuwa
maimamu(a.s) waliikataa khumus na wakairudisha kwa wenyewe na wakawasamehe kutowa hiyo khumusi
, je inawezekana kuwa wanazuoni ni bora kuliko maimamu?(a.s)?
Hakika fat’wa za kuhalalisha khumus kuwapa mashia haiishii kwa hawa tulio
wataja peke yao miongoni mwa
wanazuoni bali pia kuna zaidi ya idadi
hii tulio itaja na kwa kupita karne hizi
,lakini tumechagua katika kila karne moja katika mafaqihi na wanaosema kwamba si halali
kuwalazimisha watu kutowa khumsi , na kauli hii ndiyo waliyo isema wanazuoni
wengi kwa nyakati tofauti kwani ndio kauli inayo tegemewa katika mas’ala
haya,na kwa sababu ya kukubaliana kwake na maelezo ya kisheria na vitendo vya
maimamu(a.s).
Na tutachukua fatwa mbili za wanazuoni wawili miongoni mwa wanazuoni
wa kishia nao ni: sheikh Al mufidu na sheikh Al Tuusiy,amesema sheikh Al mufid: wamekhitalifiana watu
miongoni mwetu kwa hilo yaani khumus
wakati wa ghaibah kila kundi na msimamo wake.( kisha anataja idadi ya
kauli hizo) miongoni mwa wanazuoni kuna wano iondosha kauli ya kutowa khumsi
wakati wa ghaiba na kwa sababu ya hojjah zilizo tangulia , na wengine kuna
wanaolazimisha izikwe na wanaitafsiri iliyo pokewa isemayo: ( hakika ardhi itatoa
hazina zake wakati atapo dhihiri Al
imamu na kua yeye (a.s) atapo simama,
Mwenyezi Mungu atamjulisha hazina zake na atazichukua kutoka kila sehemu)
kisha akachagua kauli moja katika hizo,
kuindosha
khumus kwa mwenye mamlaka yaani
Al Mahdiy,ikiwa ana wasiwasi wa kufikwa na umauti kabla ya kuja kwake atamuusia
anae muamini katika akili yake na dini yake,kwa sharti hili mpaka aje amkabidhi
imamu, akikuwahi kuja kwake asipowahi atamuusia mtu atakaye isimamia mwenye
sifa kama zake kwa uaminifu na dini kisha
wataendelea kuusiana kwa kufuata sharti hili mpaka atakapo kuja imamu ,
nakauli hii kwangu iko wazi zaidi kuliko zote zilizotazngulia, kwa sababu
khumusi ni haki ya imamu aliyejificha na hayakutuka maelekezo yoyote kabla ya
kujificha kwake ambayo yanaweza kufuatwa.
kisha akasema na khumsi inakwenda
kama vile zakka ambayo hutolewa pale anapopatikana anaye stahiki kwa hiyo
haipasi kuanguka wakati huo , kisha akasema atakapo fuata mtu msimamo huo tulio
utaja wa kwamba nusu ya khumsi ni fungu la imamu kisha akaifanya nusu nyingine
ni kwa ajili ya familia ya Muhammad (s.a.w) wasafiri wao masikini wao kama
ilivyo kuja katika Qur-an.
Amesema atakaye fanya hivi
hayupo mbali na kuipata haki katika
Na amesema Al shaikh Al Tuusiy
aliyefariki (460H) ambae ni muasisi wa chuo cha kishia
cha Al Najaf na ndiye kiongozi wake wa kwanza baada ya kutaja
hukumu za khumus akasema: hii itakuwa katika muda atakao kuja imamu, kisha
akasema:ama katika hali ya kutokuwepo
wamewaruhusu mashia wao kufanya katika
haki zao ndoa, biashara na makzi..ama
isiyo kuwa hayo haifai mtu kujifanyia
atakavyo kwa hali yoyote ama kile wanacho stahiki katika khumusi zilizo
hifadhiwa wakati wa ghaiba , wamekhitalifiana watu wetu kwa hilo na hakuna hoja
maalum isipokuwa kila mmoja kati yao
mafaqihi wa shia amesema usemi wa kuondowa shaka .
Kisha Al
Tuusiy akazidhibiti
hoja hizi katika sehemu nne:-
1.
Baadhi
.
2.
Wanasema watu inapasa kuhifadhi au
kuhifadhiwa khumusi madamu mtu yuko hai yatakapomkaribia mauti basi amuusie mtu
anayemuamini katika ndugu zake ili aikabidhi kwa kiongozi atakapofika
, au na ausie
3.
Na
watu wengine wanasema:inapasa kugawanywa khumusi
mafungu sita , matatu ya kiongozi
yatazikwa au yatawekwa kwa mtu muaminifu , na kauli hii ndiyo
aliyoichaguwa Al-tuusiy.
. Na mafungu matatu mengine yatagawanywa kwa wanao
stahiki miongoni mwa mayatima wa familia ya Mohammad na masikini wao na wakatikiwa na njia wao, na haya ni miongoni mwa yanayotakiwa kufanyiwa kazi,
na kauli hii inalingana na fat’wa ya
mufidu katika kuifananisha khumusi na zaka.
Kisha anasema ( na lau wangekuwa watu ni mwenye kutumia njia ya kutoa
wasiwasi kwa kuifanyia kazi njia mojawapo kati ya hizi zilizotajwa asinge pata
madhambi ).
Shaeikh Al- tuusiy ameyadhibiti matumizi ya
khumusi katika kauli nne hizi zilizo tangulia , na yeye mwenyewe amechaguwa
kauli ya nne , lakini akaweka wazi kuwa mtu akichagua kauli yoyote kati ya hizi
hana madhambi.
Nasi tunaziona
kauli hizi nne ,ingawa zimekhitalifiana katika baadhi ya maelezo lakini tunaziona
zimekubaliana katika kitu kimoja, ambacho ndicho tunachokielezea , nacho ni
kwamba
Na pamoja
nakuwa kauli nne hizi zilizotangulia zimekhitalafiana katika namna ya ugawaji wa
Hakika kauli ya nne ambayo ndiyo aliyo ichagua Al
shaikh al tuusiy ndiyo waliyokuwa nayo
mashia wote , na Al Tuusiy. Kama inavyofahamika
ndiye muasisi wa chuo cha kishia cha Annajaf nae ndie shaikh wa kikundi , je hivi unadhani
sheikh huyu na mashia wote wa zama zake na wa nyuma yake walikuwa wanakosea .
Basi hii ndiyo
fatwa ya kiongozi wa
kwanza wa chuo cha Annajaf.
Basi sasa tuone fatwa nyingine ya kiongozi mwingine wa
chuo hicho maulana al imamu aliyeaga
dunia Abil- Qasim Al khuuiy ili itupambanukie tofauti iliyopo kati ya
fatwa ya kiongozi wa kwanza wa chuo hiki na fat’wa ya kiongozi mwengine wa chuo
hicho hicho.
Amesema al
imamu al khuuiy katika kubainisha anayestahiki kupewa khumus.
Khumus katika zama zetu hugawanywa ,katika sehemu
mbili: nusu ni kwajili ya imamu wa zama hizi Al Hujatu Al Muntadhir mwenyezimungu azifanye fidia roho
zetu kwake . Na nusu ni kwa ajili ya banii Hashimu Mayatima wa na masikini wao
na walio katikiwa na njia…..mpaka aliposema: nusu ambayo inatolewa kwa imamu (a.s) inarejea katika zama za kujificha
kwa naibu wake nae ni Al faqihi mwanazuoni mwenye kuaminika anae jua matumizi
yake,ima kwa kumpa au kumuomba ruhusa…… Angalia kitabu (Dhiyau Al Salihina
Mas’ala 1259,Uk:347) hakika fatwa ya imamu Al khuuiy ina khitalifiana na
fatwa ya Al shaik Al Tuusiy, sheikh
Atausiy hakusema khumus apewe
mwanazuoni,na wamefuata maelezo ya fatwa
yake mashia wote wa zama zake,ili hali tunaona fatwa ya maulana aliyefariki Al
imamu Al khuuiy inatoa hoja ya kuitoa khumus au sehemu yake kupewa faqih na
mujatahidin.(wanazuoni)
KAULI YA
KWANZA: baada ya kukatika mfululizo wa maimamu na kupotea kwa imamu mahdi ni kuwa
khumus ni haki ya imamu asiye kuwepo,na wala
si ya fakihi wala mtukufu yoyote
na wala ya mujtahidina na kwa haya basi wengi wanadai zaidi ya watu
ishirini kuwa wao ni manaibu wa imamu
aliyejificha kwa ajili ya kuchukua
khumus na wakasema: sisi tunakutana nae imamu aliye jificha, tunaweza kumpa khums zote za vitega uchumi ambazo zina
tujia.
Na lilikua hili katika nyakati za ghaiba ndogo (kujificha kudogo) na
ikaendelea baada yake muda wa karne moja au mbili kipindi chote hicho
haikutolewa khumus kupewa mujtahidin au mtukufu yoyote na katika kipindi hiki vilionekana vitabu vine
maarufu kwa jina la Assihahil-arbaai, na vyote hivi vimenakili kutoka kwa
viongozi habari ya kuhalalisha khumus kupewa mashia na kuwaondolea mzigo wa
kutowa ,,na hapa kuwepo na fatwa yeyote inayoruhusu kuwapa khumus watukufu na mujtahidina.
KAULI YA PILI: kisha likashamiri
jambo la khumusi baada yakuwa mashia wameruhusiwa kutotowa khumsi wakati wa ghaiba , ikapatikana habari ya ulazima wa kutowa khumsi ,
ikiwa watu wenye
KAULI YA TATU: kisha likaendelea jambo la khumusi wakasema ni wajibu kuiweka kwa mtu muaminifu ,na walio bora kuchaguliwa kubeba
amana hii ni wanazuoni wa madhehebu ya kishia, lakini inafaa kusisitiza kuwa
uchaguzi huu ni bora tu na wala si lazima , na huyo mwanazuoni akipewa khumusi
si ruhusa kuitumia bali kuiweka mpaka hapo atakapoifikisha kwa imamu Al-mahdi.
Na hapa kuna dokezo muhimu nalo ni kwamba ni
nani kati ya wanazuoni wetu aliyehifadhi
Bila shaka jawabu sahihi hapa ni kuwa :hakujapatikana
mtu wa aina hii , wala hatujasikia wala kusoma habari za mtu
Na
sahihi ni kwamba : kila aliyekewa amana ya mali wamekuja warithi wake nakugawana
mali hiyo wakidai kua ni yao walirithi kutoka kwa baba zao ,kwahiyo khumusi ya
imamu imekwenda kwa warithi wa mwanazuoni muaminifu , hali hii inajitokeza pale
anapokuwa mwanazuoni huyo ni muaminifu na ile mali hakujifanya kuwa ni yake ,
je akiwa si muaminifu hali itakuaje?!!!
Na
inafaa kukumbuka zaidi kuwa Qadhi ibn
Bahraji au Baraji ndi aliyeliendeleza jambo la khumusi kutoka kwenye sunna na
kufikia wajibu , kwa hiyo ndiye
aliyekuwa wa kwanza kusema ni dharura kuiweka shea ya imamu kwa anayeaminika
miongoni mwa mafakihi na mujtahidina ili waikabidhi kwa imamu aliejificha ikiwa watamkuta au
ausiwe anaeaminika miongoni atakayekuja baada yake ili aikabidhi kwa imamu. Na hili limeelezwa katika kitabu
(AL-MUHADHAB 8/80)
na hatua hii ni muhimu
KAULI
YA NNE: kisha wakaja maulamaa wa
mwishoni mwishoni, wa kayaendeleza mas-ala ya khumsi kidogo kidogo mpaka
iakafikia kusema kuwa niwajibu kutolewa khumsi
kupewa maulamaa wazigawanye kwa
wanao stahiki miongoni mwa mayatima na masikini wa ahlulu Bait,na habari yenye
nguvu ni kuwa fakihi bin Hamza ndie wa
kwanza aliyevutika na kauli hii katika
karne ya sita kama alivyotoa ushahidi katika kaitabu cha(Al-Wasilatu Fii Nayli Al –
Fadhilat uk:182) na akaliona hil;I la
kuitowa khumsi kumpa mwanazuoni ni bora kuliko
kusimama mwenye khumus na kuigawa mwenyewe khasa ,ikiwa hajui kuigawa
vizuri.
KAULI YA TANO: yakaendelea mageuzi
kidogo kidogo katika zama hizi na imekua kabla ya karne moja mpaka ukafikia
uamuzi wa mwisho,baadhi ya mafuqahi wakasema kuwa inaruhusiwa kutumia
shea ya imamu katika baadhi ya mambo ambayo anayaona mwanazuoni kuwa ni muhimu
kama kuwasaidia wanafunzi , na kusimamisha vituo vya dini, na mengeniyo kama
alivyotoa fatwa Asayiud Muhsin Al Hakim katika Mustamsik( AL-Urwatu Al Uthqa
9/584).
Kauli hii inaambatana na kauli ya kwamba hapana haja ya kurudi kwa mwanazuoni
kutaka ushauri katika kuitumia sehemu ya imamu katika khumsi
Na hii maana yake ni kuwa kule
kutumia shea ya imamu katika khumusi ni
jambo lililojitokeza katika zama hizi za
mwishoni sana basi wao wanaiangalia hali yao ilivyo na kuona mashule yao ,na vituo vyao uchapishaji na
vitu vinavyo hitajika ni katika mambo yanayo faa kutolewa khumsi kwa ajili
yake.
Na vilevile wanaziangalia haja
zao binafsi, basi vipi itawezekana kukidhi haja zote hizi , hasa
ukizingatia kuwa mambo yote haya yanahitaji pesa nyingi .
Ukawa mtazamo wao kwa khumusi njia nzuri ya
kuwaingizia kiasi kitakacho kidhi haja zao zote na itakayowahakikishia manufaa
Hakika kadhia ya khumsi imepitia
duru nyingi na mabadiliko mengi mpaka mwisho ikatulia kuwa ni wajibu kuwapa
khumus za vitega uchumi mafakihi na mujtahidina (wanazuoni). Na kwa
haya yanatubainishia sisi kua khumus haina hoja katika kitabu(Qur-ani) wala
Sunnah wala kauli ya imamu bali hiyo ni kauli iliyodhihiri katika zama za
mwishoni,wameisema baadhi ya mujtahidina, nayo ni yenye kupingana na
Qur-an na sunnah na viongozi wa ahlul
Bait na maneno ya wanazuoni na fatwa za mafakih na mujtahidina na wenye
kutegemewa.
Nami na
nawaomba ndugu
zangu na wanangu mashia wajizuie kutoa
khumus za vitega uchumi vyao na faida zao kwa watukufu wa
mujtahidina,kwa sababu hiyo ni halali yao na wala si haki ya bwana mkubwa
yoyote au mwanazuoni yoyote, Na wenye kutoa khumus kwa mwanazuoni au
bwanamkubwa yoyote basi ajuwe ameingia katika madhambi kwa sababu ya kupingana
na maneno ya maimamu kwa sababu khumsi si wajibu kwa mashia mpaka atakaporudi
imamu mahdi .
Na ninaona muhimu kautaja usemi
wa Ayatulah Al Udhmaa Al Imamu A Khomeiniyu katika mas-ala haya, kwani
alizungumza kuhusu khumusi katika mihadhara aliyoitowa tukimsikia sote katika
chuo cha cha Najaf
mwaka [1389 H]Kisha akakusanya katika kitabu Al-Hukumatul Al Islamiya au Walayatul Al Faqih: miongoni mwa aliyokuwa ameyasema: tutakuwa
tuna uoni mfupi tukisema kwamba khumusi imeletwa kwa ajili kulinda maisha ya
watoto wa mtume (s.a.w) peke yao.
Akendelea kusema kuwa inawatosha wao na kubaki sehemu ndogo tu ya maelfu ya
mali yote ya khumusi bali wanatoshwa na
khumsi ya soko moja tu kama vile soko la Iraki kwa mfano miongoni mwa masoko
mengi makubwa kama vile masoko ya Irani Sirya na Islama bad na mfano wa hayo ,
sasa mali inayo baki itakuwaje?
Kisha akasema :
hakika mimi ninaona hukumu ya kiislamu ya uadilifu, haitaki kufanyiwa takhlifi kubwa katika mambo ya upuuzi au kinyume na
maslahi ya wote.
Kisha anasema: haikuwa kodi ya khumus ni kwa ajili ya
kudhamini maisha ya mabwana wakubwa katika familia ya mtume (s.a.w) tu wala
zaka si kwa ajili kwatenganisha mafakiri na masikini isipokuwa khumsi na zaka
zinakuwa zaidi ya hajja za hao waliotajwa ,
Basi je
baada ya hayo uislamu utaacha
kuzuia kitendo hicho cha khumus na zaka
na yanayo fanana na mtazamo wa kuizibia
haja watukufu na masikini au itakuwa marejeo yao zaidi chakula cha bahari au
kuzikwa chini au mfano wake?.
Walikuwa watukufu wengi miongoni
mwa wanao ruhusu kupata ruzuku katika
khumus siku hizo,yaani mwanzo mwanzoni mwa uislamu, hawavuki mia moja na lau tungekisia idadi yao kuwa ni nusu
milioni,je ingekuwa inaingia akilini kuwa uislamu unajishughulisha kwa
kufaradhisha khumsi ambayo ni mali nyingi sana na zinazidi siku hadi siku yote
hayo kwa ajili ya kushibisha familia ya mtume (s.a.w).
Yote hayo angalia kitabu chake
kilichotajwa,[1/39-40-42] chapa ya Al Adab Annajaf.
Hakika
imamu Al Khomeniyu anaweka wazi kuwa
mali ya khumus ni nyingi sana,hii ilikua
wakati huo pindi alipo kuwa ni muhadhiri wa chuo cha najaf basi je ni wingi wa mali ulioje ukizingatia katika
zama zetu hizi?.
Na
imamau pia ameweka wazi kua sehemu moja
katika maelfu ya sehemu ya mali hii kubwa inatosha kwa Ahlul, Bait wa
Mtume(a.s.w) na ahli zake, basi je wataifanyeje sehemu kubwa
ya mali iliyo bakia?. Imamu khomeni ana maana kwamba ni lazima
kuzigawa
Kwa sababu hii imamu khomeni
alikua na utajiri mkubwa
Hakika
uharibifu wa mtu unakuja kwa njia mbili :- kwa njia ya
kijinsia na mali na vyote hivyo vinapatikana kwa watukufu, upande wa kijinsia
wanaupata kwa njia ya mut’a na isiyokuwa mut’a , mali wanazipata kwa njia ya
khumusi na zile zinazotupwa makaburini , ni nani kati yao atakayeweza kupambana
na vishawishi hivi , ukizingatia wengi wao wameifuata njia hii kwa ajili ya
kushibisha matamanio yao ya ngono na mali ?!!
Ulianza ushindani baina ya watukufu na mujtahidina kwa ajili ya
kupata khumus, na kwa ajili hii alianza
kila mmoja kati yao kupunguza kiasi
kinachotakiwa kuchukuliwa kutoka watu mpaka
watu wawe wengi kwake kuliko mwezake, wakajiwekea njia za kishetani, mtu mmoja alikuja kwa Asayid Asaysataniy akasema kumwambia :-
Hakika haki ya khumus ninayo takiwa
kutowa ni milioni tano .nami nataka
kutoa nusu ya kiwango hicho yani milioni mbili na nusu,akamwambia Asayid Asasystaniy: lete hiyo milioni mbili
na nusu, akampa Asaystaniy akazipokea,
kisha akamwambia : nimekupa wewe - yaani
syyid Asaystani akampa yule bwana alieleta zile hela - yule
mtu akaichukua kisha, akasema
asasystaniy: rejesha tena kwangu hizo hela
yule mtu akampa tena,Asaystaniy akamwambia sasa imekua mkusanyiko wake
milioni tano dhima yako imeishaondoka katika khumsi, mabwana wakubwa wengine
walipoyaona hayo wakafanya hivyo hivyo bali
wakavumbua njia nyingine,ili watu waende kutowa khumsi kwao na yakawa ni
mashindano kati ya mabwana wakubwa kwa ajili ya kupata khumsi , na ikawa
kiwango cha khumus kinafanana na biashara ya kupunguziana ,matajiri wengi
wakawa wanaitowa khumsi kwa anae chukua kiasi kidogo .
Na mkuu wachuo cha najaf
alipoona kuwa mashindano yamekuwa makubwa na
kiwango kinacho ingia kwake ni kidogo, alitowa fatwa yake inayokataza
kupewa khumsi mtu yoyote kati ya
watukufu, bali haitolewi isipokua
kwa watu maalumu, nae anafungu kubwa au mawakala wake alio wasambaza
maeneo mbalimbali.
Na baada ya kuzipokea
Amesema Amirl muuminin(a.s)L
wema ulioje kwa wenye kujitenga na dunia
na wakiwa na raghba ya akhera, basi hao ndio walioifanya ardhi vitanda
na mchanga wake kuwa ni godoro na maji yake kuwa ndio manukato na Qur-an ni
alama yao , na dua ndio nguo yao,
kisha wakaikopa dunia kwa mfumo wa
masihi……. Hakika Daudi (a.s) alisimama
mfano wa saa hii ya usiku , na akasema hakika ya saa hiii
hatoomba mja isipokua hujibiwa ,
isipokuwa awe
Ahara u ayfa au Shartiya .[ Nahajul Balagha 4/24] hebu linganisha kati ya maneno ya Amirilul muuminin na hali za watukufu wa
kishia na hukumu wewe mwenyewe , hakika
maelezo haya na mengineyo ni katika maelezo matukufu ambayo hayana
kasoro yoyote mbele ya mabwana wakubwa na wanazuoni wa kishia , lakini
maisha ya fahari na raha na yafahari ambayo wanayaishi yamewasahaulisha juhudi ya amiril-mumini na
yakawafanya vipofu wasiweze kuzingatia
maneno yake na kushikamana na maana ya
maneno hayo.
Hakika asshar ni yule anayechukua
kodi ya sehemu ya kumi katika mali ,huyu dua yake haipokelewi kama alivyosema(a.s) basi itakuaje kwa mtu
anaechukuwa khumus? Ambae anaechukua
khumus kwa watu? Hakika anae chukuwa khumsi anasababu
ya msingi ya kutokubaliwa duwa yake ,kwa sababu anacho
kichuwa yeye ni zaidi ya kile anacho chukwa mtoza kodi . tunamuomba
Mwenyezi Mungu afya.
Kutokana na hayo yaliyo tangulia tumekwisha fahamu ya kuwa khumsi haitolewi
kwa mashehe wala wanazuoni ,na limekuwa wazi jambo hili kwetu kufuatia maelezo
ya maudhui hii tuliyo yatowa kwa pande zake zote ,na ni vizuri kwetu
kuzindua kua mafakihi na marejeo ya kidini(wanazuoni) wanadai kuwa wao ni katika
Ahlu Bait, utamuona moja wao akikuonesha
mtiririko wa nasaba yake mpaka kwa kadhim (a.s), jua kwamba ni jambo lisilo
wezekana kwa idadi kubwa hii yote ya wanazuoni wa Iraqi Irani sirya Lebanon
nchi za ghuba na Pakistan na nyenginezo kua ni katika Ahlul-baiti , na kuhesabu
wanazuoni wa Iraqi tu ataona kua ni jambo lisilo wezekana kuwa idadi yote hiyo
ya wanazuoni wa Iraqi ni katika Ahlul-baiti , vipi itawezekana tukichanganya na
wanazuoni wa miji mingine?bila shaka idadi yao ni kubwa sanasana je itawezekana
vipi wote hawa wawe ni katika Ahlul-baiti ???
Na zaidi ya hayo mti wa nasabu ya mtume unauzwa na kununuliwa hapa
chuoni , anaetaka kuupata utukufu wa nasabu ya Ahlul Bait ni juu yake kuja na dada yake au mke wake kwa sharti
awe mzuri kwa mtukufu mmoja wapo ili
astarehe nae,au aje na kiwango cha mali
na atapata utukufu kwa moja kati ya njia mbili hizi:- na hili ni jambo maarufu hapa chuoni kwetu (CHUO CHA KISHIA CH
ANNAJAF).
kwa ajili hiyo ninasema yasiwahadae yale ambayo wanayafanya
baadhi ya watukufu,na waandishi wakati
anapoweka mmoja wao mti wa nasaba
yake katika ukurasa wa mbele wa kitabu
chake ni kwa ajili ya kuwahadaa watu
wepesiwepesi matajiri na masikini ,ili wampelekee khumsi za mali zao.
Na
mwisho wa utafiti wa khumus sitosahau kuitaja kauli ya rafiki yangu
mpenzi mshairi hodari Ahmad Al Safy Al Najafiy(r.a) ambae nilifahamiana nae
baada yakupata shahada ya Ijtihadi tukawa marafiki wapenzi achilia mbali
tofauti ya umri ilopo kati yetu , kwani alikuwa akinizidi kwa miaka takriban
thelathini au zaidi ,nakumbuka alipo niambia mwanangu usiichafuwe nafsi yako
kwa mali ya khumsi kwani ni mali ya haramu , na akanidadisi kuhusu khumsi mpaka
akanikinaisha kua ni haramu , kisha akanitajia beti za shairi alilokuwa
amelitunga kwa ajili hii, ambazo nilizihifadhi kwenye mfuko wangu wa kumbukumbu
, na hapa ninazinukuu kwa kwa faida ya wasomaji watukufu kama zilivyo, anasema
(r.a),
“Nina washangaa watu, kuomba
omba kwa kutumia dini
Basi ikiwa kupata elimu ndio sababu
ya kuomba omba basi itakuwa ujinga ni
bora kuliko elimu, na je katika zama za Mtume(s.a.w) kulikuwa na watu wanaoishi
kutegemea mali za watu kwa jina hilo? Na hata kama Mwenyezi Mungu
ameifaradhisha zaka basi hakuna kuchukuliwa kwa udhalilishaji basi kwa malengo,
wametuletea watoto wa sasa ni kazi,na haikua kwa watoto ni geni
hilo toka zamani.
Bila shaka wislamu wote wanaamini kuwa Qur-ani ni kitabu cha mbinguni
kilicho teremswa kutoka kwa Allah (a.w)kuja kwa nabii
wake Muhammad bin Abdillah,(s.a.w).
Lakini nilipatwa na mshangao mkubwa sana baada ya kusoma kwangu na
kuvipitia vitabu vyetu vya kishia ambavyo ndivyo vinavyo tegemewa kama marejeo yanayotegemewa , nilikuta majina ya vitabu vingine ambavyo
vinazingatiwa kwa itikadi ya kishia kuwa navyo ni vitabu vitukufu ,na wana
zuoni wetu wakubwa wa kishia wanadai kwamba vitabu hivyo pia viliteremshwa kwa
mtume (s.a.w)ikiwa ni pamoja na Qur-an, na vitabu hivyo alibaki navyo Amiril-muuminina
Ally bin Abi talib.
Wala hakuvibainisha kwa watu yeye Ally wala mtume
na huu ni uzushi wa mashia wanaomzushia Ally.
Na vitabu vyenyewe ni hivi:
1-ALJAAMIA: (Mkusanyiko wa elimu)
Imepokewa kutoka kwa Abi
buswair kutoka kwa Abii Abdallah alisema: mimi na Muhammad ,
sisi tuna kitabu kinachoitwa Aljaamia, je, ni jambo gani litakalowafahamisha
wao ni nini hiyo Aljaamia? Akasema kumuambia mtume nimejitowa muhanga kwa ajili yako ,
nifahamishe ni nini hiyo Aljaamia?
Akasema ni sahifa kitabu chenye urefu dhiraa sabini kwa dhiraa za mtume
(s.a.w) na kitabu hiki ni maneno yatokayo mdomoni mwa mtume (s.a.w)na kuandikwa
na Ally bin Abitalib kwa mkono wake, ndani ya kitabu hicho kumebainishwa halali
na haramu na kila kitu wanacho kihitajia watu katika maisha yao ya kila siku,
hata wadudu walio chini ya ardhi. kwa kuthibisha hayo angalia 1- Alkaaf juzuu ya kwanza
uku.239.
2- biharul-an-warar juzuu ya 26 uku.22.
na
kuna riwaya nyingi
Hakika sisi tumefupisha habari
hizi kwa kuwaleteeni riwaya moja kwa ajili ya kufupisha.
Mimi mpaka leo sifahamu wala sina uhakika iwapo
kitabu hiki (AL-JAMEA) kina ukweli wowote ule ama vipi jambo hilo bado limo nje
ya fahamu zangu.na sijui kama ni kweli kwamba kitabu hicho kuna kila kitu ambacho wanakihitaji watu mpaka siku ya
Qimaya?ikiwa ni kweli basi ni kwa mimi kimefishwa? Na tukanyimwa sisi
tusikipate ni hali ya kuwa kitabu hicho kimebainisha kila jambo la halali na haramu pamoja na hukumu
zote mpaka siku ya Qiyama,Je huku sikuficha elimu?hali ya kuwa kuficha elimu ni
mambo yaliyo katazwa.Je kufanya hivyo sikatika kuficha elimu?jambo ambalo ni
kinyume cha dini?!
2. SAHIFA YA AN-NAMUUSI.
Imepokewa kutoka kwa AL-RIDHAA(a.s) katika hadithi inayosimulia alama za
imamu.Alisema-na Sahifa itakayo kuwa kwa imamu atakua na majina ya
kishia(wafuasi) wao wote mpaka siku ya kiama.Na sahifa hiyo hiyo itakuwa
imeandikwa na majina ya maadui zao wote mpaka siku ya kiyama.
Kwa ufafanuzi zaidi angalia:
Na
utakuta riwaya nyingi zaidi.
Na mimi
nikawa najiuliza uliza , ni kitabu cha aina gani hicho ambacho kinaweza kuandikwa majina ya mashia wote mpaka siku ya kiyama!!!!. Na
lau tungeweza kuya sajili majina ya washia wa IRAQ peke yake basi ingetulazimu
kuhitaji volume mia moja kwa uchache.na
ingekuaje kama tungesajili majina ya mashia
wa IRAN na BARAHINDI na mashia wa PAKISTAN, SYRIA na LEBANON na DOLA ZA
BARA ARABU na nchi nyinginezo?
Na
tungalihitaji vitabu vingapi vya kusajili majina ya mashia wetu katika karne
zijazo mpaka siku ya kiyama ? na
tungalihitaji vitabu vingapi vya
kusajili majina ya mahasimu wao kuanzia kudhihiri hiyo sahifa AN-NUUMAS hadi
siku ya kiyama. Lau hata
Na hatakama tungeweza
kuzikusanya Computer
zote za duniani pamoja na akili zote za
ELECTRONICS za kisasa vyote hivyo visingeweza kuhifadhi na kudhibiti
majina hayo kutokana na wingi wake. Hata wale wajinga wasiokuwa na elimu,Akili zao haziwezi kukubali riwaya hizi(habari hizi)na
mfano wake iweje watu wenye elimu na akili
timamu wawe wajinga kiasi hiki?!
Hakika ni
muhali mno na jambo lisilowezekana kwa maimamu watukufu kusema mfano wa maneno haya ya kipuuzi na
uwenda wazimu,kwani jambo hili halikubaliki kiakili na kimantik. Na lau
Imepokewa kutoka kwa Amir-al
muuminin(a.s) amesema,Ninaapa kwa jina la Allah, hakika mimi ninazo sahifa
nyingi ambazo zimetoka kwa Mtume(s.a.w).na kuna ndani ya sahifa hizo,sahifa
inayoitwa(AL-UBAITAN) na sahifa hiyo ina habari mbaya sana zinazo husu waarabu.
Na mna habari za makabila
sitini ya kiarabu ambayo yameangamizwa wala hayana fungu lolote
katika dini(yaani ni makafiri) Angalia
BIHAAR AL ANWAR- Juzuu 26 Uk.27.
Hakika
riwaya hizi
hazikubaliki wala haziingii akilini, iwapo idadi yote hii ya
makabila itakuwa haina chembe ya dini
mbele ya Allah,kwa maana hiyo ni kwamba hakupatikana hata muislamu mmoja ambaye
atakuwa ana dini mbele ya Allah. Halafu kuhusisha haya makabila kiaarabu kwa hukumu hii mbaya hapa inapatikana harufu
ya ubaguzi wa kitaifa. Na ufafanuzi zaidi
utakuja katika mlango unaokuja
Imepokewa kutoka kwa Abi Buswaira kutoka kwa Abi Abdillah(a.s),anasema
kwamba kulikuwa kwa Dhuaba SAIF RASSULI kuna sahifa ndogo ndani ya sahfa hiyo
kuna herufi nyingi na kila herufi moja katika herufi hizo hufunguliwa kwa
herufi elfu moja.. na amesema Abu Buswaira , alisema
Abu Abdillah na hazikutoka katika herufi hizo elfu moja ila herufi mbili tu,na
itabaki hivyo hadi siku ya Qiyama. Angalia BIHARU AL- ANWAR Juzuu .26
Mimi ni kasema na kujiuliza, na hizo herufi nyingine zilizobaki
ziko wapi? Na kwa nini zisitolewe iliwafaidi mashia wa Ahlul bait?,kwa herufi hizo? Au
zitabaki kuendelea kufichwa mpaka hapo atakapo simama AL QAIMU(mahd).
5.SAHIFA YA ALIA NAYO NI SAHIFA NYINGINE ILIYOPATIKANA
KWA DHUABA
AL-SEIFU.
Imepokewa
kutoka kwa Abi Abdallah alisema ilipatikana kwa Dhuaba Saifu Rasul,sahifa
ambayo imeandikwa ndani yake,BISMILLAHI RAHMAN RAHIM,hakika dhalimu mkubwa
mbele ya Allah siku ya kiyama ni yule aliyeuwa asiyemuua, na yule aliyempiga
asiye mpiga, na yule aliyetawala asiyestahiki kutawala.basi mtu huyo atakuwa ni
kafiri aliye kufuru yale yote aliyoyateremsha Allah kwa Mtume wake
Muhammad(s.a.w). na mwenye kuzusha uzushi katika dini
na yule aliyempa makazi kila mzushi mtu huyo, Allah hatamkubali siku ya kiyama
kumkombolea hata fidia yoyote. Angalia BIHARU AL ANWAAR Juzuu.27
Uk:65-104,na
6. AL-JAFAR: NA AL- JAFAR NI AINA MBILI :-JAFAR
NYEUPE NA JAFAR NYEKUNDU.
Imepokewa kutoka kwa Abi
Al-alaa alisema nilisikia Aba Abdillah(a.s) akisema
hakika mimi ninayo AL-Jafar Nyeupe, na akasema Abi Al-alaa kumuuliza Abi
Abdillah,kwani mna nini ndani ya AL Jafar hiyo? Akasema Abi Abdillah: mna
zaburi ya nabii Dauud mna Taurat ya nabii Musa na mna injil ya nabii Issa na Suhfu ya nabii Ibrahim
na mna upambanuzi kati ya mambo ya halali na haramu,na akaongeza kusema kwamba
vilevile ninayo Al Jafar Nyekundu,na akaniuliza na mna nini ndani ya Jafar Nyekundu akasema na kumjibu
kwamba ndani yake mna silaha,na silaha hiyo ni mtu mwenye upanga kwa ajili ya
kuuwa,na akasema Abdillah Bin Abii Yaafuur kumwambia Abi Abdilah kumwambia kwa kumuombea dua;Allah akuweke katika afya
njema. Je haya watakuwa wanayajua Banuu Al Hssan(kizazi
cha Al Hassan) akamjibu ee!! Ndio wallahi wanayajua haya kama wanavyoujua usiku
kwamba ni usiku na mchana kwamba ni mchana lakini wao wamepatwa na hasadi na
kuitafuta dunia kwa kukanusha na kupinga haki, lau kama wangekua wanaitafuta
haki kwa haki hilo lingekuwa bora kwao. Angaliaa USUULU AL KAAF Juzuu 1
Nilimuuliza maulana imamu Al Khaui
ambaye sasa ni marehemu,kuhusu Al jafar Nyekundu.ni nani atakaye ifungua?na ni damu
ya nani itakayomwagwa?.akanijibu na kusema kwamba atakayeifungua ni huyu bwana
wa zama(Mwenyezi Mungu amfanyie haraka faraja yake)na watakao mwaga damu hiyo
ni Ahlu Sunnati,kwa maana kwamba
watakuja kuuliwa Ahlul Sunnat
wote kwa pamoja na huyo bwana wa wakati
huo,na ataitawanya damu yao na itakuwa
nyingi sana na itakuwa inatiririka na kupita mto Dajital na Furat iliyoko IRAQ.
Na vilevile atakuja kulipizia
kisasi kwa masanamu wawili wa kikuraish(anakusudia
maswahaba wa Mtume ambao ni makhalifa waongofu naye ni Abubakar na Omar pamoja
na Aisha Bint Abibakar na Bi Hafsa Bint Omar ambao ni wake zake Mtume,pamoja na
Uthman Bin Affan ambaye ni mkwe wake Mtume pamoja na Bani Umaya na Bani
Abbas.na hatimaye atakwenda kuyafukua makaburi yao na kuyawacha wazi.
Nikasema hakika kauli ya Imamu
Al-Khaui nichafu na inachukiza mno,kwani Ahlul Bait ni
watu watukufu na wenye heshima kwani haiwezekani kwao kwenda kufukua makaburi
ya maiti waliokufa kwa karne nyingi zilizopita(kwani watapata faida gani kwa
hatua
Kwahiyo haingii akilini kwa
maimamu wenye sifa kama hii kuweza kuyafukua makaburi na kuwatoa hao maiti ili
waweze kuwaadhibu na kulipizia kisasi na kuwasimamishia hadi(kuwahukumu)kwani
maiti hawasimamishiwi hadi(kuhukumiwa hapa duniani)kwani Ahlul Bait wote
wanajulikana kwa sifa za usamehevu na kwamba ni watu wazuri wenye roho
nzuri,kwani wao walikuwa ni watu wenye tabia njema walikuwa wavumilivu
walibarikiwa tabia nzuri na hiyo ni nguzo madhubuti kabisa.
7. MAS-HAFU WA FATMAT
1.imepokelewa kutoka kwa Ally Bin
said kutoka kwa Abi Abdilah,alisema: wallah tunao msahafu wa BIFATMAT ambao una sura zote za kitabu cha
Allah na msahafu huo ni maneno aliyoyasema Mtume na Ally akayaandika kwa mkono wake. Tazama,
2. imepokewa kutoka kwa Muhammad ibn Muslim
kutoka kwa mmoja kati ya hao maimamu wawili.Bi Ftma aliacha msahafu siyo
Qur-ani kama tuliyokuwa nayo,lakini msahafu huo ni maneno ya Mwenyezi Mungu
ambayo aliyomteremshia Bi Fatmat khaswa , na mtu akasema maneno haya na Ally
akayaandika kwa mkono wake. Tazame: BIHARU AL ANWAAR;Juzuu
26
3. imepokewa kutoka kwa Ally Bin
Abii Hamza kutoka kwa Abii Abdillah(a.s)
alisema kwamba,sisi tunao msahafu wa Fatma,ama wallah ndani ya msahafu huo hamna hata herufi moja ya Qur-ani, lakini
msahafu huo ni maneno ya Mtume aliyo yatamka kisha akayandika kwa mkono
wake.Angalia AL BIHAAR Juzuu 20
Uk:48.
Kisha nikasema na
kujiuliza,ikiwa hiki kitabu ni maneno yanayotoka kwa Mtume na akayaandika Ally
ni kwa nini basi akifiche kitabu hicho kwa Ummati wake kwani Mwenyezi Mungu
akimuamrisha Mtume wake afikishe kila kitu alichoteremshiwa na Allah kwa Ummati
wake kwani amesema Mwenyezi Mungu mtukufu katika surat Al-maadil: Aya;67.
Vipi inawezekana kwa Mtume wa
Allah kuweza kuwaficha waislamu wote Qur-an hii.na vipi inawezekana kwa Amir Al
muuminina na maimamu wote waliokuja baadae kuificha Qur-an hiyo kwa
mashia(wafuasi) wao.hilo ni jambo lisilowezekana hata kidogo.
8. TAURAT NA INJIL NA ZABUR.
Imepokewa kutoka kwa Abi Abdillah(a.s) kwamba yeye alikuwa akisoma INJIL na TAURAT na
ZABUR kwa lugha ya kiisoiraniah. Tazama AL HUJAJ MINALKAAP, Juzuu 1
9. AL QUR-AN.
Kuthibiti kwa Qur-an kwamba ni
kitabu cha Allah kisicho na shaka ndani yake hakuhitaji nasuu(ushahidi).lakini utaona vitabu wa
wanavyuoni wetu na kauli za mujitahidina( wanavyuoni wakubwa)wote vinaelezea kwamba Qur-an hii imebadilishwa na
sivyo ilivyo. Na hiyo Qur-an ndicho kitabu peke yake kilicho kumbwa na mabadiliko kati ya vitabu vyote vilivyoteremshwa kutoka
nbinguni na Allah.
Na hakika hivyo Al-muhadith
Annuury Atwabrisiy alitunga kitabu kikubwa
Kwani wanazouni wote wa kishia na mafukaha
wao wote kuanzia waliotangulia mpaka leo hii wanaamini na kusema kwamba hakika ya Qur-an iliyopo hivi
sasa kwa waislamu imebadilishwa
Amesema Syid Hashimu Al Bahraaniy: mimi ninao
ushahidi wa kutosha juu ya kauli ya kwamba kubadilishwa kwa Qur-an, na hayo ni
baada ya kufuatilia habari hizi kwa undani kabisa,kwa kiasi ambacho inawezekana kutoa hukumu kwamba
msimamo huu na itikadi hii ni katika jambo la dharura na yalazima katika madhehebu ya kishia kuamini hivyo. Na hakika
Na amesema Al Sayyid Niimatu Allah
Al-Jazaairy,akiwajibu wale wanaosema kwamba Qur-an haikubadilishwa. Hakika kukubali ,na kuamini kwamba
Qur-an,upokewaji wake,watu wake , una daraja ya Tawatur(upokeaji uliosahihi).na
ni wahyi uliotoka kwa Allah na kwamba
Qur-an yote aliteremka nayo Jibril
kwa amri ya Allah kutoka
mbinguni,basi jambo hili linapelekea
kuweza kuzitupilia mbali habari ambazo zina ukweli na uhakika zaidi.pamoja na
kwamba wenzetu Ahlul Sunnat
wamekubaliana kwa pamoja juu ya kusihi jambo hili na kuliamini moja kwa
moja.Angalia AL-ANWAR ANNUUMANIYA . (Juzuu .2- Uk:357.)
Na kwa habiri hizi amesema Abu Jaafar
Bila shaka hii ni uthibitisho wa wazi kabisa
unaothibitisha kubadilishwa Qur-an ambayo wanyo waislamu hivi sasa. Na Qur-an
ya kweli ni ile ambayo iko kwa Ally na maimamu waliomfuatia baada yake yeye
mpaka ikamfikia, ikawa huyo(AL QAAIM).
Na kutokana na hali hiyo ndipo aliposema AL-Imam Al- Khaui katika
wasia wake kwetu sisi wakati akiwa anakurubia kufa alisema:Shikamaneni na
Qur-an hii (ambayo imebadilishwa)mpaka itakapo dhihiri Qur-an ya Fatmah. Na
Qur-an ya Fatmah anayoikusudia huyu Imam, ni ule msahafu ambao alioukusanya
Ally
Hakika ni jambo la kushangaza na kuchukiza kwamba vitabu vyote hivyo
vimeteremka kutoka kwa Allah halafu vitabu hivyo viwe vimemhusu Amirl muumini na maimamu wake baada
yake.na vitabu hivyo vikasalia ni vyenye kufichwa kwa umma,na hasa kwa shia wa
Ahlul bait isipokua Qur-an ndogo ambayo watu waliweza kuongeza wanachoongeza na
kupunguza wanachopunguza. Haya ni kutokana na maneno ya wazuoni wetu
wakishia.
Chakushangaza ni kwamba iwapo vitabu hivi vyote ni kweli
vimeteremka kutoka kwa Allah na Amirl muuminina kuwa amekusanya na kuhifadhi
Qur-an hii,sasa ina maana gani yeye
Amirl muuminin kuwafichia ummah. Na hali
yakuwa huo umma unahaja
Na wanazuoni (mafuqahaa) wetu
wengi wamelielezea jambo hili na kuliletea kwa kila hali kwa ajili ya kuwaogopea upinzani. Na niwajibu wetu sisi
kuuliza,Je inawezekana akawa amirul muuminin ambaye
pia ni simba wa Banu Hashim kuwa muoga
kiasi cha kushindwa kutetea jambo
hili? Je anaweza kuficha habari zake na kuunyima ummah kwa ajili ya kuogopa
wapinzani wake. La
sivyo ninaapa kwa yule
aliyeziinua mbingu pasi na nguzo. Haikuwa kwa Ibn
AbiTwalib akimuogopa yoyote isipokuwa Allah peke yake. Na pindi tunapouliza atafanya nini
Amirl muuminin na maimamu watakao kuja baada yake kwa Zabur na Taurat na
Injil mpaka iwafikie watu wote na halafu waisome vitabu vyote hivyo kwa siri.
Na ikiwakuna nasi(hoja)
zilizodai kwamba Amirl muuminin ni yeye peke yake aliyehifadhi Qur-an yote, na
akavihifadhi vitabu vyote vya mbinguni na sahifu nyinginezo. Sasa kuna haja gani tena kuwa ni Zaburi,
Taurat na Injil? Na hasa tunajua ya kwamba vitabu vyote hivyo vimefutwa kwa kuteremka Qur-an?.
Hakika mimi ninaona kwamba kuna mikono ya watu wanaotumbukiza sumu mbaya
katika Riwaya hizi,na wakawasingizia
maimamu watukufu uongo huu,( na utakuja uthibitisho wa habari hizi katika mlango maalum)
Sisi sote tunajuwa ya kwamba
uislamu hauna kitabu isipokuwa kimoja nacho ni Qur-an
tukufu. Ama kuwa na mfano wa
vitabu vingi jambo hili ni
maalumu kwa mayahudi na manasara kama ilivyokuwa wazi kwenye vitabu
vyao,ama kauli inayosema kwamba Amirl
muuminin amevihifadhi jamii ya vitabu vyote na kwamba vitabu vyote hivyo
vinatoka kwa Allah,na kwamba vitabu vyote hivyo vimekusanya mambo yote ya
kishia kauli hiyo ni batil,imeingizwa kwetu na baadhi ya mayahudi ambao
walijipenyeza kwenye ushia.
Wakati tunaporejea
na kuvisoma vitabu vyetu vya kishia vinavyotegemewa kuwa ndivyo sahihi na rejea
za msingi pamoja na kauli za wanazuoni wetu wakubwa na mujtahidina
wetu,tunakuta kwamba adui peke wamashia ni Ahl Sunnah ,kushinda mayahudi
na wanasara kutokana na uadui huo mashia
waliwapachika Ahlul sunnah kwa kuwaita kwamba wao ni wajinga na wasiojua kitu
na wakawaita pia kwamba ni weru na madhalimu.
Na itikadi ya mashia mpaka leo hii
wanamchukulia kila Ahlul Sunnah ni kama mkia ulioko nyuma [yaani ni uchafu
najsi] na shia yoyote yule kama anataka kumtukana mwenzake na anapotaka
kulifanya tusi hilo kuwa ni lenye kuchukiza na kutia hasira moyoni humwambia
mwenzake kwa kutumia usemi huu[ mwili wa sumu upo kaburini kwa baba yako] kwa
sababu Sunni ni najsi kuliko nguruwe na
huo ndio mtazamo wa shia wanavyowachukulia Ahlul Sunnah .
Na imefikia mashia kiwango cha kusema kwamba lau
Na ndani ya mazungumzo
yetu,niligundua kwamba huyu mgeni ni msuni
na anatoka sehemu inayoitwa Saamaraa na alikuja hapa Najifu kwa haja maalumu na kulipokucha
tulimpeleka mgeni wetu mlo wa asubihi na
akala. Hata mgeni wetu alituaga kurudi anakotoka. Na
hapo mzazi wangu akampa yule
mgeni kiasi Fulani cha
Yule mgeni akatoa shukrani zake
kwetu kw amakaribisho mema aliyoyapata kutoka kwetu.
Na baada ya yule mgeni kuondoka tu,mzazi wangu
aliamuru kuchomwa kile kitanda alicholalia yule mgeni,na pia kuvitwaharisha
vyombo vyote alivyotumia kula yule mgeni.kwasababu mashia wote
wanaitikadi(wanaamini) kwamba wasunni wote ni najsi na hii ndiyo itikadi ya
mashia wote,kwani wanazuoni wetu wote wa kishia wamemnasibisha kuwa ni kafiri
na na ni sawa na nguruwe na ndipo
walipomuweka kwamba yeye msuni ni miongoni mwa
najsi. Na kutokana na haya.:
Na Al
Ridha akanijibu huyu bwaba kwamba hapa mjini yupo mwanazuoni mkubwa nenda
ukamuulize kuhusu
Na
imepokewa kwa Al Hussain ibn Khalid kutoka kwa Al Ridhaa kwamba alisema : mashia (wafuasi)wetu ni wale wenye kutii amri
zetu, wanaozipokea kauli na kuzifanyia kazi. Na wafuasi wetu wa kweli ni wale
wanaozikhalifu kauli za maaduii zetu japo kuwa ni za kweli.na yeyote katika
mashia(wafuasi wetu) asiyefanya hivyo hayupo na sisi,bali na yeye ni adui wetu.
[Al Fusuul Al Muhimat
Na
imepokewa na Al Mufadhal ibn Umar na imepokewa na Jaafar kwamba alisema
,atakuwa amesema uongo yeyote yule
atakaedai kwamba yeye ni katika
mashia (wafuasi) wetu na hali ya kuwa
anafungana na wasiokuwa sisi(mashia).[A fusuulu Al Muhimat Uk:225.
Na
amesema tena: Wallahi ninaapa kwa Allah,ya kwamba Mwenyezi Mungu hakujaalia ubora kwa yeyote yule anaewafuata
wasio kuwa sisi (mashia) yule anaeafikiana na sisi ni yule ambae anaewakhallifu
maadui zetu, lakini yule anaewaafiki
maadui zetu kwa maneno au kwa matendo basi yeye sikatika sisi wala sisi
sikatika wao.
Na amesema Al Abdu
Asswaleh (a.s) katika hadithi mbili tofauti, chukua yale yote ambayo
yamewakhalifu jamaa Ahlul Sunnah na muyaache yale ambayo yaliyowaafiki jamaa. Katika kauli ya Ridhaa(a.s) pindi zitakapo wafikia habari
mbili zenye kugongana basi zichunguzeni kwa makini mtakapo kuta moja yake ya khabari hizo
zinazowakhalifu hao jamaa Ahlul Sunnah
zichukueni na zile zinazowakhalifu hao Asswadiq (a.s) wallah hakuna haki
yeyote iliyobaki kwetu isipokuwa kuelekea kibla tu .Angalia Alfusulu Al
Muhimat 325-326.
Na
ameandaa Fasul hii Asswadiq na
akasema imepokewa na abdii Ishaaq Al Arjaaiy alisema , amesema
Abu Abdiillah(a.s) je unajuwa ni kwanini mmeamrishwa kuyachukua(kuyafuata )
yale ambayo yako kinyume na yale
wanayosema jamaa (Ahlulusunnah) ni
kasema kumwambia sijui bwana. Akasema hakika
Sayidina Ally(a.s) hakuwa akifanya ibada yeyote ya Allah isipokua umma ulikuwa
uko kinyume yake kwa ajili ya kubatilisha amri zake.
Na walipokua
wakimuuliza Amirili muuminin juu ya jambo lolote wasilolijua, na pindi anapowajibu
wao huenda kinyume na yeye ili kuwachanganya watu wasifuate ukweli wa mambo.
Hapa tunajiwa maswali
mengi
Hapo akamjibu,Assayid Mohammad Baaqir Asswadir akasema ,ndio inatupasa
kulichukulia jambo
Na kwa hali
Lau
tungeliwauliza mayahudi , ni nani mbora wa watu katika
mila yetu(dini) Wallahi wangesema ni wale maswahaba wa mussa. Na hata
tungeliwauliza maswahaba, ninani mbora wa watu katika
mila yenu? Wangesema wanafunzi wa Issa.
Na lau
Hakika
maswahab wa Mtume Muhammad (s.a.w) ndio watu wa kwanza wanaokimbiwa na matusi
ya mashia na kulaaniwa na kuvunjia
heshima zao hasa Abubakar na Umar na Uthmani, pamoja na wake zake Mtume (s.aw)
hawa wawili Bi Aisha bint Abibakar na
Hfsa bint Umar, kutokana na hali hii imekuja katika dua za mashia dua inayoitwa
dua ya masamu mawili ya kiquraish dua yenye kusema hivi[ Ewe mola wetu wa jaalani haya masanamu mawili ya
kiquraish(Abubkar na Umar) waovu wawili hawa na matwaghuti(mashetani) mawili
haya na pia uwalaani mabinti zao hawa
wawili(Aisha na Hafsa]. Na dua hiii imo kwneye vitabu
vyao zinavyotegemewa. Na alikuwa Imama Khomein
akiisoma kila siku baada ya swala ya Asubuhi.
Na imepokewa
kutoka kwa Hamza bin Muhammad Atwayyaar alisema siku moja tulimtaja Muhammad bin
Abibakar mbele ya Abii Abdillah akasema[Mungu amrehemu Muhammad bin Abibakar]
kisha akasema siku moja Muhaamad bin Abubakar alisema kumwambia amirl muuminin
nyoosha mkono wako ni kubaii(kukubali
Ama kuhusu
Umar amesema Niimatu Allah Al Jazairy,
hakika Umar bin al Khatabu alikuwa
amepatwa na maradhi katika Duburi(njia ya haja kubwa) yake na alikuwa hayatulii
maumivu yake isipokuwa kwa maji ya wanaume(yaani manii) kwa maana kwamba yeye
alikuwa akilawitiwa na wanaume
wenzake Angalia Al Answaar anuumaaniyat-
Juzuu 1 Uk:63.
Ningependa
ufahamu ya kwamba katika mji wa Kashan uliopo katika jimbo linaloitwa(Baghiy fiin) kuna
sehemu inakaburi ambayo inadhaniwa kwamba ni ya
Abii Luulula Feyruzi Al Farsiy)
ambaye ndiye aliyemuuwa khalifa wa pili Bwana Ummar bin Al khatab.
Na sehemu
hiyo wakaipachikia jina
na kuiita [Mapumziko ya shujaa wa diini] na jina hili walimpachikia huyu jamaa kwa sababu ya
kumuuwa Umar bin al khatab. Na isitoshe pia waandika katika kuta za sehemu hizo
kwa lugha za kifarsy zenye maana[ Hapa ni mahala
pakifo cha Abubakar na Umar na Uthman].
Na sehemu hizi wairan
huenda wakazizuru mara kwa mara na hutoa sadaka nyingi na michango ya kila aina na sehemu hiyo
nimeshaizuru mimi mwenyewe binafsi. Na nikajionea mwenyewe hali halisi ya mambo.
Na wizara ya
ir-shad[ uwongofu] ya Iran ilikuwa imeshaanza kupanua
sehemu hiyo na kuifanyia ukarabati pamoja na yote hayo wizara hiyo ilikuwa imshachapishwa
Card amabazo hutumika kwa kutumia barua.
Na imepokea al
kulainiy kutoka kwa abi jafar. Hakika ya hawa masheikh wawili yaani[ abubakar na Umar] walifariki dunia na wal hawakutubia
kwa Allah. [ Walikufa hali yakuwa ni makafiri] na wala amirl muuminin hakuweza kuwakumbuka kwa jema lolote
lile walilolifanya basi ni juu yao laana
ya Mwenyezi Mungu pamoja na laana ya malaika na ya watu wote.Angalia Raudha Al
Kaafiy Juzuu 7 Uk: 246.
Ama kuhusu
Uthman imepokewa kutoka kwa Ally bin Yunus Al Bayaadhiy anasema kwamba, hakika
Uthman alikuwa ni miongoni mwa watu waliokuwa wakichezewa[
akilawitiwa] na alikuwa si mwanamume sawasawa[hafai]. Angalia Al-Swirat Al- Mustaqiim Juzuu
1 Uk: 30].
Na kuhusu Bi Aisha(r.a) amesema ibn Rajab Al Barsiy hakika BI Aisha
alikusanya dinar arubaini kutokana
khiana yake. Angalia Mashaarifu Anwaar Al
Yaqin Uk:86.]mpaka hapa mimi
ninajiulizauliza, ikiwa makhalifa hawa watatu wanasifa kama hizi ,basi ni
kwanini Amirl muuminin aliwabaii na ni kwanini walikubali kuwa mmoja wa mwazi
wa makhalifa hawa kwa kipindi chote hicho cha ukhalifa wao? Je
alikuwa akiwaogopa wao? Haikuwa.
Na isitoshe
ikiwa khalifa wa pili Umar alikuwa na ugonjwa katika njia ya haja kubwa na
ugonjwa huo hautulii isipokuwa kwa maji
ya wanaume[manii] kama alivyodai Asayid
Al jazaairiy na vipi angeweza Amir Al
muuminin kumuozesha binti yake Ummukulthmu kwa mtu kama huyu mwenye sifa mbaya
kama hizi?.
Je ugonjwa
huu ulikuwa umejificha haukujulikana bali aliutambua
huyu Al Jazaairy peke yake? Habari hizi hazihitaji jambo lolote zaidi ya
kutumia akili tu
sivyenginevyo. Na imepokewa na Al Kulainiy amesema
hakika watu wote ni watoto wa zinaa isipokuwa mashia wetu tu. Angalia-Al
Raudhat- Juzuu 7
Na imepokewa
kutoka kwa Dawud bin Farqad alisema nilimuuliza Abii Abdullah unasema kuhusu kuumuuwa dhalimu[Ahlulu
Sunnah] akamjibu na kusema kwamba, damu yake ni halali, lakini mimi ninakuhofia wewe lakini kama utaweza kumwangushia AhlulSunnaht ukuta ua
ukamgharikisha kwenye maji ili usionekane na watu kwamba umefanya hivyo basi
fanya simbaya huna dhambi. Angalia
Bihaar Al Anwaar. Juzuu 27- Uk: 231.
Na maneno haya
ameyatilia nguvu na kuyafafanua zaidi al Imama Khumein
kwa kusema kwamba. Na
Na amesema
Syyid niimat Allah al Jazairy, aliyekuwa waziri wa Al rashid bwana Ally bin
Yaqtin siku moja aliamuru vijana [wafanyakazi]wake kuvunja dari ya
mahabusu[jela] yake ambaye siku hiyo
ilisheheni watuhumiwa wapatao
watu mia tano,wakaangukiw na dari hiyo wote wakafariki dunia[na hao watuhumiwa
walikuwa Ahlul Sunnah] Angalia Al Anwar Al Nuuman/3/308.
Na vitabu vya
historia vinatusimulia kwa undani zaidi kuhusu
vitendo viovu vilivyopita katika mji wa
Kutokana na
mauaji hayo ya kumwaga damu tupu kutokana
na wingi wa vifo vya watu ambao ndio Ahlul Sunnah damu zao zilimiminika katika mto huo na mto ukabadilika
ukawa damu tupu.
Na hali
hiyo haikutosha bali ukafanywa uonevu na
unyama mwengine pale vilipotupwa vitabu vya Ahlul Sunnah ndani ya mto huo kiasi
ambacho mto nao ukabadilika rangi yake na
kuwa rangi ya bluu kutokana na
wingi wa vitabu hivyo haya ni maonevu
waliyotendewa Ahlul Sunnah wa mashia.
Na mauaji
yote yalifanywa na mawaziri wawili
katika utawala wa Al Abasiyat kwani mawaziri hawa walikuwa ni mashia nao ni annuswair Attuusiy na Muhaamd Al Qami. Na
vilevile walikuwa na uhusiano wa karibu na huyu
Hoolakoo muuaji mkubwa.
Hawa hawa
ndio waliomsaidia Hoolako kuingia Baghadad na
kuuangusha utawala wa Al Abasiyat ambao wao walikuwa ni mawaziri kwenye utawala
huo. Pamoja na kwamba wao walikuwa na sauti katika utawala huo lakini hakuiiridhiya
hali hiyo pamoja na vyeo vyao hivyo walivyopewa kwani walikuwa na chuki za
ndani kwasababu utawala wa Al Abbasiyat ulikuwa
unatafuta madhhabu ya ahlul Sunnah .
Na baada ya
kuingia Hoolako Baghadad na kuuangusha utawala huo wa Al Abasiyat muda mfupi tu
hawa mabwana wawili wakapewa vyeo vya
uwaziri tena katika utawala wa Hoolako
pamoja na kwamba Hoolako mwenyewe alikuwa ni mtu wathaniy[asiyekuwa na dini]
lakini bali tatizo ni kuwamaliza ahlul
Sunna.
Pamoja na hayo yote tunamuona imam khomein anaridhisha na vitendo
vya mauaji ya hawa watu Ally Yaqtin na Attusiy na Al Al Qamiy na anayazingatia
yale waliyoyafanya hawa mabwana ni katika moja ya hujuma kubwa
Ninahitimisha
mlango huu kwa neno la mwisho ambalo ni neno la Al Sayyid Niimatu Allah Al
Jazairy linalohusu hukumu ya Annawaasibu[Ahlul Sunnah] Alisema kwamba hakika ya
Ahlulusunnah wote ni makafiri na ni najisi kwa ijmaa[itikafi]ya wanazuoni
wakishia wote,wanaitikadi kwamba mwanasuni yeyote ni kafiri na ni najisi. Na
vilevile Ahlu Sunnah ni waovu kuliko mayahudi na maanswaru,na miongoni wa alama na dalili za watatu Abubakar,Umar,
Uthman(r.a) badala ya Ally(r.a) katika uimamu. Angalia- Al Anwar Annuumania
Juzuu-2,
Hivyo ndivyo
tunavyoona kwamba hukumu ya shia kwa Ahlul Sunnah
inachambulika
Ahlulu Sunnah
wote ni makafiri na ni najisi kuliko nguruwe na ni watu waovu kuliko mayahudi na manaswara na ni
watoto wa zinaa,na inawajibika kuwaua na inafaa kuchukua mali zao. Yaani shia kuchukua
Na wala
haiwezekani kwa mashia na Ahlul Sunnat kuungana kwa jambo lolote lile,
hawawezi kuungana hata wa bwana wa viumbe[Allah] yaani mashia wana Mungu wao na
Ahlul Sunnah wana Mungu wao] wala haungani kwa nabii wala Imamu , yaani kila
mmoja wao ana nabii wake na wala haijuzu kwa mashia kuwaafiki AhlulSunnah kwa
kauli yoyote na kwa tendo lolote lile ni lazima kila mmoja awe kinyume na
mwenzake.
Na vile vile
ni wajibu kwa kila shia kuwalaani masuni na kuwatukana hasa wale watu
waliotutangulia maswahaba ambao Allah aliwasifu katika Qur-ani tukufu,ambao walisimama bega kwa bega na mtume (s.a.w) katika
daawa yake na jihad yake. Hapo niambie ni nani hasa ambaye alikuwa pamoja na
mtume katika mapambano[vita] yake yote ambayo
alipambana nayo na makafiri.
Kwahiyo
kushiriki hawa mabwana watukufu katika vita vyote hivyo pamoja na mtume ni
dalili ya wazi kwamba nao walikuwa na imani madhubuti na ya kweli kweli isiyo
shaka kwa hiyo mtu hana haja ya kuyaangalia yale wanayosema wanazuoni wetu wa
kishia kuhusu maswahaba wa Mtume.
Na
ulipokwisha utawala wa al-bah-lawiy hapo
Mimi
nilikuwa na wajibu wa kupongeza zaidi kuliko yoyote yule kutokana na
mafungamano yangu makubwa na imamu khomein, na niliizuru
Na moja kati
ya kikao chetu maalum mimi na imam
Khomein alisema kuniambia kwamba Sayyid Hussein, sasa hivi umefika ule wakati
wa kutekeleza wosia wa maimamu (s.a.w)
hivi sasa tutamwaga damu za wanaaswib[ahlulssunnat] na tutawauwa watoto wao na
tutawaacha hai wake zao wawe vijakazi
wetu.
Na wala
hatutamwacha yoyote yule aweze kunusurika na mateso yetu,na mali zao zote
zitakuwa ni milki ya mashia wetu, na mali zao zote zitakuwa ni milki ya mashia
wa Ahlul bait, na tutafuta Makka na Madina isiwepo hapa juu ya mgongo wa ardhi
yaani wataziangamiza hizi[Haram mbili] watazibomoa na kuziteketeza kabisa.
Kwasababu miji miwili hii Makkah na Madina ndio kitovu cha mawahabi.
Lengo letu kuu
ni kuwa kar-balaa iwe ndiyo ardhi tukufu iliyobarikiwa na iwe ndicho kibla cha
watu wote wakati wa swala zao badala ya makkah.na njia hiyo tutakuwa
tumezifikia fikra za maimamu wetu(a.s) nahapo itakuwa ile dola yetu ambayo
tuliyokuwa tunaipigania kwa muda mrefu imesimama wima na kutoa kilichobakia
sasa hivi isipokuwa ni kutekeleza wasia
huu tu!!.
Ningependa ufahamu ewe ndugu yangu kwamba chuki za
mashia kwa Ahlussunat,ni chuki ambazo zisizokuwa na mfano kabisa.kutokana na
chuki hizo ndiyo maana wanazuoni wetu wamejuzisha kuwasingizia uongo
Ahlulsunnat na kuwapandikiza kila aina ya tuhuma za uongo na kuwasingizia kwa
kila ubaya na kuwapa sifa za kila machafu.
Nasasa hivi
mashia wote wanawaangalia ahlul sunnat kwa jicho la chuki na ubaya hayo
yanatokana na maelekezo aliyotolewa na baraza kuu la kishia.na vilevile
yametolewa maelekezo kwa watu mmoja mmoja kwa jamii yote ya kishia,kwamba ni
wajibu kwa kila shia kujiingiza na kujipenyeza kuleta vurugu katika vyombo vya
dola na katika taasisi zote sawa ziwe za kiserikali au za kibinafsi na hasa
katika sehemu nyeti kama vile jeshini na vyombo vya usalama na ulinzi na sehemu
nyingine zote hasa ukizingatia kujiingiza katika mkondo wa vyama vya kisiasa.
Na mashia wote wanasubiri wakati wa kutangazwa jihad na kuwaangamiza ahlul sunnat, mashia wote wanadhania kwamba kufanya hivyo wao wanakuwa wanawahudumia na kuwatumikia AHLU BAITI (s,w,a) Na wanasahau ya kwamba wao wanasukumwa na watu walioko nyuma ya pazia kwa maslahi yao tu. Na wao hawayatambui hayo, na tutayaonyesha haya katika fasili inayokuja.