Hii
ndiyo itikadi sahihi ya Kiislamu
Imeandikwa na Shaykh Muhammad bin Uthaymiyn
Imetafsiriwa na Muhammad Faraj Salem
www.mawaidha.info www.alhidaaya.com
|
Mikono Yake |
|||||
|
Matunda ya kuiamini Qiyaamah na Qadar |
Shukrani
zote ni zake Mola wa uliwengu wote, na mwisho mwema ni
wa wamchao Mwenyezi Mungu, na hapana uadui isipokuwa kwa madhalimu.
Nashuhudia
kuwa hapana anayestahiki kuabudiwa isipokuwa Allah Peke yake Asiye na mshirika mwenye Ufalme na haki iliyo wazi. Na nashuhudia
kuwa Muhammad (Swalla Llaahu ‘alayhi wa sallam) ni
mjumbe wake na Mtume wake na mwisho wa wajumbe wake na ni kiongozi wa wacha
Mungu. Mola wetu mswalie na msalimie Mtume wako huyu
pamoja na Masahaba wake na kila atakayemfuata kwa wema na uongofu mpaka Siku ya
Qiyaamah.
Amma
baad,
Hakika
Mwenyezi Mungu amemtuma Mtume wake Muhammad (Swalla Llaahu ‘alayhi wa sallam)
awe dalili iliyo wazi juu ya waja wake,
na awabainishie yale aliyoteremshiwa katika Kitabu, na awe mfano mwema wa
kuigwa na walimwengu wote, na ili watu wapate kuwa na muongozo mwema katika
dini yao na dunia yao.
Ametumwa
kutufundisha itikadi sahihi pamoja na hekima kwa ajili ya kutengenea hali ya
umati wake, na pia kuwaweka juu ya njia safi na sahihi, ili watu wawe juu ya
kitanga cheupe, mchana wake sawa na usiku wake, na asiende kinyume na njia hiyo
isipokuwa mpotofu.
Wakaifuata
njia hiyo Maswahaba wake (Radhiya Llaahu ‘anhum) na
wale waliokuja baada
Kutokana
na umuhimu wa maudhui haya, na kutokana na tofauti
iliyokuja baadaye, baada ya kuingizwa matamanio ya watu ndani ya itikadi hii,
nilipenda kuiandika iwe kama ndiyo itikadi yetu. Itikadi ya Ahlus Sunnah wal Jama’ah,
nayo ni imani ya kuwepo kwa Mwenyezi Mungu na Malaika Wake na vitabu Vyake na
Mitume Yake na Siku ya Qiyaamah na Qadar (qudra) kheri yake na shari yake.
Namuomba
Mwenyezi Mungu Aijaalie kazi hii iwe halisi kwa ajili
yake, Aridhike nayo na iwe funzo kwa waja Wake.
Itikadi
yetu ni kumuamini Mwenyezi Mungu na Malaika Wake na Mitume Yake na Vitabu Vyake
na Siku ya Mwisho na kila kinachotokea au kutusibu (Qadar) kheri na shari,
vyote vinatoka kwa Mwenyezi Mungu.
Kwa
hivyo sisi tunaamini kuwa Yeye Subhaanahu wa Ta’ala
ndiye Aliyeumba na ndiye Mfalme Mwenye kukiendesha kila kitu, na ni Yeye peke
yake anayestahiki kuabudiwa, na kila kinachoabudiwa kisichokuwa Yeye ni batil.
Tunaamini
pia kuwa Mwenyezi Mungu Anayo majina mazuri mazuri na sifa nzuri nzuri na
njema, sifa za ukamilifu, na tunaamini kuwa Yeye ni mmoja Asiye na mshirika
katika kuumba Kwake na katika kuabudiwa Kwake na katika majina Yake mazuri na
katika sifa Zake njema.
Mwenyezi
Mungu Anasema:
ÑóÈøõ ÇáÓøóãóÇæóÇÊö æóÇáÃóÑúÖö æóãóÇ ÈóíúäóåõãóÇ ÝóÇÚúÈõÏúåõ
æóÇÕúØóÈöÑú áöÚöÈóÇÏóÊöåö åóáú ÊóÚúáóãõ áóåõ ÓóãöíøðÇ
"Mola wa mbingu na ardhi
na vilivyo baina yake. Basi muabudu Yeye tu, na udumu katika ibada yake. Je, mnamjua mwenye jina
Maryam
– 65
Na
tunaamini kuwa Yeye ndiye:
Çááøåõ áÇó ÅöáóÜåó ÅöáÇøó åõæó ÇáúÍóíøõ ÇáúÞóíøõæãõ áÇó ÊóÃúÎõÐõåõ
ÓöäóÉñ æóáÇó äóæúãñ áøóåõ ãóÇ Ýöí ÇáÓøóãóÇæóÇÊö æóãóÇ Ýöí ÇáÃóÑúÖö ãóä ÐóÇ
ÇáøóÐöí íóÔúÝóÚõ ÚöäúÏóåõ ÅöáÇøó ÈöÅöÐúäöåö íóÚúáóãõ ãóÇ Èóíúäó ÃóíúÏöíåöãú
æóãóÇ ÎóáúÝóåõãú æóáÇó íõÍöíØõæäó ÈöÔóíúÁò ãøöäú Úöáúãöåö ÅöáÇøó ÈöãóÇ ÔóÇÁ
æóÓöÚó ßõÑúÓöíøõåõ ÇáÓøóãóÇæóÇÊö æóÇáÃóÑúÖó æóáÇó íóÄõæÏõåõ ÍöÝúÙõåõãóÇ æóåõæó
ÇáúÚóáöíøõ ÇáúÚóÙöíãõ
"Mwenyezi
Mungu - hapana mungu ila Yeye, Aliye hai, Msimamiaji
wa mambo yote milele. Hashikwi na usingizi wala
kulala. Ni Vyake pekee vyote viliomo mbinguni na
duniani. Ni nani huyo awezaye kuombea mbele yake bila ya
idhini Yake? Anayajua yaliyo mbele
Al-Baqarah
– 255
Na
tunaamini kuwa:
åõæó Çááøóåõ ÇáúÎóÇáöÞõ ÇáúÈóÇÑöÆõ ÇáúãõÕóæøöÑõ áóåõ ÇáúÃóÓúãóÇÁ
ÇáúÍõÓúäóì íõÓóÈøöÍõ áóåõ ãóÇ Ýöí ÇáÓøóãóÇæóÇÊö æóÇáÃÑúÖö æóåõæó ÇáúÚóÒöíÒõ
ÇáúÍóßöíãõ
"Yeye ndiye Mwenyezi Mungu, Muumbaji, Mtengenezaji, Mtia
sura, Mwenye majina mazuri kabisa. Kila kilioko katika mbingu na ardhi kinamtakasa, naye ni Mwenye kushinda, Mwenye
hikima."
Al-Hashr
- 24
Na
tunaamini kuwa:
áöáøóåö ãõáúßõ ÇáÓøóãóÇæóÇÊö æóÇáúÃóÑúÖö íóÎúáõÞõ ãóÇ íóÔóÇÁ íóåóÈõ
áöãóäú íóÔóÇÁ ÅöäóÇËðÇ æóíóåóÈõ áöãóä íóÔóÇÁ ÇáÐøõßõæÑó. Ãóæú íõÒóæøöÌõåõãú
ÐõßúÑóÇäðÇ æóÅöäóÇËðÇ æóíóÌúÚóáõ ãóä íóÔóÇÁ ÚóÞöíãðÇ Åöäøóåõ Úóáöíãñ ÞóÏöíÑñ
"Ufalme wa mbingu na ardhi ni wa
Mwenyezi Mungu; Anaumba Apendavyo, Anamtunukia amtakaye watoto wa kike, na
Anamtunukia amtakaye watoto wa kiume.
Au huwachanganya wanaume na wanawake, na
akamfanya amtakaye tasa. Hakika Yeye ni Mjuzi Mwenye
uweza."
Ash-Shuuraa
– 49-50
Na
tunaamini kuwa:
ÝóÇØöÑõ ÇáÓøóãóÇæóÇÊö æóÇáÃÑúÖö ÌóÚóáó áóßõã ãøöäú ÃóäÝõÓößõãú
ÃóÒúæóÇÌðÇ æóãöäó ÇáúÃóäúÚóÇãö ÃóÒúæóÇÌðÇ íóÐúÑóÄõßõãú Ýöíåö áóíúÓó ßóãöËúáöåö
ÔóíúÁñ æóåõæó ÇáÓøóãöíÚõ ÇáÈóÕöíÑõ. áóåõ ãóÞóÇáöíÏõ ÇáÓøóãóÇæóÇÊö æóÇáÃÑúÖö
íóÈúÓõØõ ÇáÑøöÒúÞó áöãóä íóÔóÇÁ æóíóÞúÏöÑõ Åöäøóåõ Èößõáøö ÔóíúÁò Úóáöíãñ
"Yeye ndiye Muumba
mbingu na ardhi, Amekujaalieni mke na mume katika nafsi zenu, na katika wanyama
nao (Akawaumba) dume na jike, Anakuzidishieni namna hii. Hapana
kitu
Yeye ndiye Mwenye funguo za
mbingu na ardhi. Humkunjulia riziki Amtakaye, na humpimia Amtakaye. Hakika Yeye ni Mjuzi
wa kila kitu."
Ash-Shuuraa
– 11-12
Na
tunaamini kuwa:
æóãóÇ ãöä ÏóÂÈøóÉò Ýöí ÇáÃóÑúÖö ÅöáÇøó Úóáóì Çááøåö ÑöÒúÞõåóÇ
æóíóÚúáóãõ ãõÓúÊóÞóÑøóåóÇ æóãõÓúÊóæúÏóÚóåóÇ ßõáøñ Ýöí ßöÊóÇÈò ãøõÈöíäò
"NA HAKUNA mnyama yoyote katika ardhi ila
riziki yake iko kwa Mwenyezi Mungu. Naye Anajua makao yake na
mapitio yake. Yote yamo katika Kitabu chenye
kubainisha."
Huud
- 6
Na
tunaamini kuwa:
æóÚöäÏóåõ ãóÝóÇÊöÍõ ÇáúÛóíúÈö áÇó íóÚúáóãõåóÇ ÅöáÇøó åõæó æóíóÚúáóãõ
ãóÇ Ýöí ÇáúÈóÑøö æóÇáúÈóÍúÑö æóãóÇ ÊóÓúÞõØõ ãöä æóÑóÞóÉò ÅöáÇøó íóÚúáóãõåóÇ
æóáÇó ÍóÈøóÉò Ýöí ÙõáõãóÇÊö ÇáÃóÑúÖö æóáÇó ÑóØúÈò æóáÇó íóÇÈöÓò ÅöáÇøó Ýöí
ßöÊóÇÈò ãøõÈöíäò
"Na ziko kwake funguo za ghaibu; hakuna azijuaye ila Yeye tu. Na Yeye Anajua kilioko nchi kavu na baharini. Na halidondoki jani ila
Analijua. Wala punje katika
Al-An’aam
– 59
Na
tunaamini kuwa:
Åöäøó Çááøóåó ÚöäÏóåõ Úöáúãõ ÇáÓøóÇÚóÉö æóíõäóÒøöáõ ÇáúÛóíúËó
æóíóÚúáóãõ ãóÇ Ýöí ÇáÃóÑúÍóÇãö æóãóÇ ÊóÏúÑöí äóÝúÓñ ãøóÇÐóÇ ÊóßúÓöÈõ ÛóÏðÇ
æóãóÇ ÊóÏúÑöí äóÝúÓñ ÈöÃóíøö ÃóÑúÖò ÊóãõæÊõ Åöäøó Çááøóåó Úóáöíãñ ÎóÈöíÑñ
"Hakika kuijua Saa (ya Qiyaamah) kuko kwa
Mwenyezi Mungu. Na Yeye ndiye Anayeiteremsha mvua. Na Anavijua viliomo ndani ya matumbo ya uzazi. Na haijui nafsi yoyote itachuma nini kesho. Wala nafsi yoyote haijui itafia nchi gani. Hakika Mwenyezi Mungu ndiye Mwenye kujua, Mwenye khabari".
Luqmaan
– 34
Tunaamini
kuwa Mwenyezi Mungu Anasema wakati wowote Anapotaka na
kwa njia yoyote Anayotaka.
Mwenyezi
Mungu Anasema:
æóßóáøóãó Çááøåõ ãõæÓóì ÊóßúáöíãðÇ
"Na
Mwenyezi Mungu Akamsemeza Muusa."
An-Nisaa
– 164
Na
Akasema:
æóáóãøóÇ ÌóÇÁ ãõæÓóì áöãöíÞóÇÊöäóÇ æóßóáøóãóåõ ÑóÈøõåõ
"Na alipokuja Muusa
kwenye miadi yetu, na Mola wake Akamsemeza."
Al-A’araf
– 143
Na
Akasema:
æóäóÇÏóíúäóÇåõ ãöä ÌóÇäöÈö ÇáØøõæÑö ÇáÃíúãóäö æóÞóÑøóÈúäóÇåõ
äóÌöíøðÇ
"Na Tulimwita
upande wa kulia wa mlima na tukamsogeza kunong'ona naye."
Maryam
– 52
Na
tunaamini kuwa:
Þõá áøóæú ßóÇäó ÇáúÈóÍúÑõ ãöÏóÇÏðÇ áøößóáöãóÇÊö ÑóÈøöí áóäóÝöÏó
ÇáúÈóÍúÑõ ÞóÈúáó Ãóä ÊóäÝóÏó ßóáöãóÇÊõ ÑóÈøöí æóáóæú ÌöÆúäóÇ ÈöãöËúáöåö ãóÏóÏðÇ
"Lau kama
bahari ndio wino kwa maneno ya Mola wangu, basi bahari ingelimalizika kabla ya
kumalizika maneno ya Mola wangu, hata tungeliileta mfano wa hiyo
kuongezea."
Al-Kahf
– 109
Na
tunaamini kuwa:
æóáóæú ÃóäøóãóÇ Ýöí ÇáÃÑúÖö ãöä ÔóÌóÑóÉò ÃóÞúáóÇãñ æóÇáúÈóÍúÑõ
íóãõÏøõåõ ãöä ÈóÚúÏöåö ÓóÈúÚóÉõ ÃóÈúÍõÑò ãøóÇ äóÝöÏóÊú ßóáöãóÇÊõ Çááøóåö Åöäøó
Çááøóåó ÚóÒöíÒñ Íóßöíãñ
"Na lau kuwa miti yote
iliyomo duniani ikawa ni kalamu, na bahari (ikawa
wino), na ikaongezewa juu yake bahari nyengine saba, maneno ya Mwenyezi Mungu
yasingelikwisha. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye nguvu,
Mwenye hikima."
Luqmaan
– 27
Na
tunaamini kuwa maneno Yake ni ya ukamilifu
uliokamilika na ya ukweli uliokamilika na yenye uadilifu uliokamilika.
Mwenyezi
Mungu Anasema:
æóÊóãøóÊú ßóáöãóÊõ ÑóÈøößó ÕöÏúÞðÇ æóÚóÏúáÇð áÇøó ãõÈóÏøöáö
áößóáöãóÇÊöåö æóåõæó ÇáÓøóãöíÚõ ÇáúÚóáöíãõ
"Yametimia maneno ya
Mola wako kwa kweli na uadilifu. Hapana
awezaye kuyabadilisha maneno Yake. Na Yeye ndiye Mwenye kusikia na Mwenye kujua."
Al-An’aam
- 115
Na
Akasema:
æóãóäú
ÃóÕúÏóÞõ ãöäó Çááøåö ÍóÏöíËðÇ
"Na ni
nani msema kweli kuliko Mwenyezi Mungu?"
An-Nisaa
– 87
Na
tunaamini kuwa Qur-aan ni maneno ya Mwenyezi Mungu, aliyeyatamka
kwa uhakika kabisa kwa kumfundisha Jibriyl aliyeiteremsha ndani ya kifua cha
Mtume wa Mwenyezi Mungu Muhammad (Swalla Llaahu ‘alayhi wa sallam).
Mwenyezi
Mungu Anasema:
Þõáú äóÒøóáóåõ ÑõæÍõ ÇáúÞõÏõÓö ãöä ÑøóÈøößó ÈöÇáúÍóÞøö
"Sema: Ameiteremsha hii
(Qur-aan) Roho takatifu kutokana na Mola wako kwa haki."
An-Nahl
– 102
Na
Akasema:
æóÅöäøóåõ áóÊóäÒöíáõ ÑóÈøö ÇáúÚóÇáóãöíäó. äóÒóáó Èöåö ÇáÑøõæÍõ ÇáÃãöíäõ.
Úóáóì ÞóáúÈößó áöÊóßõæäó ãöäó ÇáúãõäÐöÑöíäó. ÈöáöÓóÇäò ÚóÑóÈöíøò ãøõÈöíäò.
"Na bila ya shaka hii ni Uteremsho wa Mola wa walimwengu wote.
Ameuteremsha
Roho muaminifu, Juu ya moyo wako, ili
uwe katika Waonyaji. Kwa ulimi wa
Kiarabu ulio wazi."
Ash-Shu’araa
– 192 – 195
Sifa Ya Kuwepo Kwake Juu ‘Al-Uluw’
Tunaamini
kuwa Mwenyezi Mungu yupo juu kabisa mbali na viumbe
vyake kwa dhati Yake na kwa sifa Zake, na hii inatokana na kauli Yake Subhaanahu
wa Ta’ala Aliposema:
æóåõæó ÇáúÚóáöíøõ ÇáúÚóÙöíãõ
"Na Yeye ndiye Aliye
juu, na ndiye Mkuu."
Al-Baqarah – 255
Na Akasema:
ÊóÚúÑõÌõ
ÇáúãóáóÇÆößóÉõ æóÇáÑøõæÍõ Åöáóíúåö Ýöí íóæúãò ßóÇäó ãöÞúÏóÇÑõåõ ÎóãúÓöíäó
ÃóáúÝó ÓóäóÉò
"Malaika na roho hupanda kwake katika siku ambayo muda wake ni
miaka elfu hamsini."
Al-Ma’aarij – 4
Na Akasema:
ÃóÃóãöäÊõã
ãøóä Ýöí ÇáÓøóãóÇÁ Ãóä íóÎúÓöÝó Èößõãõ ÇáÃóÑúÖó ÝóÅöÐóÇ åöíó ÊóãõæÑõ
"Je! Mnadhani
muko salama kwa (Mwenyezi Mungu) Ambaye Yuko mbinguni
ya kuwa Yeye hatokudidimizeni ardhini tahamaki hiyo inataharaki?"
Al-Mulk - 16
Na Akasema:
æóåõæó
ÇáúÞóÇåöÑõ ÝóæúÞó ÚöÈóÇÏöåö æóåõæó ÇáúÍóßöíãõ ÇáúÎóÈöíÑõ
"Naye Ndiye Mwenye nguvu
juu ya waja Wake."
Al-An’am -18
Na imekuja katika
Sunnah (Mafundisho ya Mtume wa Mwenyezi Mungu (Swalla Llaahu ‘alayhi wa sallam):
"Mrehemu aliye ardhini Atakurehemu aliye mbinguni."
Abu Ya’ala na Atw-Twabaraaniy na Al-Haakim
Na kuwepo mbinguni
hakuna maana kuwa yupo katika mojawapo ya sayari zilizopo juu kama baadhi ya watu wanavyoweza kudhania, bali dunia yetu
ukiilinganisha na mbingu ni mfano wa doa dogo
Mwenyezi Mungu
Anasema:
Åöäøó ÑóÈøóßõãõ Çááøåõ ÇáøóÐöí ÎóáóÞó ÇáÓøóãóÇæóÇÊö æóÇáÃóÑúÖó
Ýöí ÓöÊøóÉö ÃóíøóÇãò Ëõãøó ÇÓúÊóæóì Úóáóì ÇáúÚóÑúÔö
"Hakika Mola wenu ni Mwenyezi Mungu,
Ambaye Ameziumba mbingu na ardhi kwa siku sita, kisha Akawa juu ya ‘Arshi
Yake."
Yuunus – 3
Na
kuwa juu ya ‘Arshi Yake ni kuwa kunakonasibiana na utukufu wake Subhaanahu
wa Ta’ala, hapana anayejua mfano wake isipokuwa Yeye.
Na
tunaamini kuwa Mwenyezi Mungu Akiwa juu ya ‘Arshi Yake, Yupo pamoja na viumbe
Vyake kwa elimu Yake.
Anasikia kauli zao na kuona vitendo vyao, huku
Akiyaendesha mambo
Na Yeyote mwenye
uwezo huo, basi bila shaka yupo pamoja na viumbe vyake
kikweli huku akiwa juu ya Arshi yake kikweli, na ni Yeye Peke yake ndiye mwenye
kuujuwa uhakika wake.
Mwenyezi Mungu
Anasema:
áóíúÓó
ßóãöËúáöåö ÔóíúÁñ æóåõæó ÇáÓøóãöíÚõ ÇáÈóÕöíÑõ
"Hapana kitu
Ash-Shuuraa – 11
Na Anasema:
æóÇáúãóáóßõ
Úóáóì ÃóÑúÌóÇÆöåóÇ æóíóÍúãöáõ ÚóÑúÔó ÑóÈøößó ÝóæúÞóåõãú íóæúãóÆöÐò ËóãóÇäöíóÉñ
"Na
Malaika watakuwa kandoni mwake (hizo mbingu) na Malaika
wa namna nane watachukua Kiti cha enzi cha Mola wako (‘Arshi) juu
Al-Haaqqah – 17
Sisi hatusema
Tunaamini pia yale
aliyotujulisha Mtume wake (Swalla Llaahu ‘alayhi wa sallam) kuwa Mwenyezi Mungu
Anashuka katika mbingu za dunia kila usiku
katika thuluthi ya mwisho na kusema: "Nani mwenye kuniomba nimkubalie, nani mwenye kuniomba nimpe,
nani mwenye kuniomba maghfira nimghufirie."
Alipoulizwa Imaam Ash-Shaafi’iy:
'Vipi Mwenyezi Mungu Anashuka?'
Akajibu:
'Kwani
vipi Alipanda?'
Na
tunaamini kuwa Mwenyezi Mungu Atakuja Siku ya Qiyaamah kuwahukumu viumbe vyake.
Mwenyezi Mungu
Anasema:
ßóáøóÇ
ÅöÐóÇ ÏõßøóÊö ÇáÃóÑúÖõ ÏóßøðÇ ÏóßøðÇ. æóÌóÇÁ ÑóÈøõßó æóÇáúãóáóßõ ÕóÝøðÇ ÕóÝøðÇ
"Sivyo hivyo! Itakapovunjwa
ardhi vipande vipande. Na Akaja Mola wako na Malaika safu safu. Na ikaletwa
Jahannamu siku hiyo, siku hiyo mtu atakumbuka! Lakini kukumbuka huko kutamfaa
nini?".
Al-Fajr – 21 – 22
Tunaamini kuwa Mwenyezi Mungu Anatenda Atakavyo.
Mwenyezi
Mungu Anasema:
ÝóÚøóÇáñ
áøöãóÇ íõÑöíÏõ
"Atendaye Ayatakayo."
Al-Buruuj – 16
Na
tunaamini kuwa zipo Irada namna mbili.
Ya
kwanza Anatujulisha katika kauli Yake:
æóáóæú
ÔóÇÁ Çááøåõ ãóÇ ÇÞúÊóÊóáõæÇú æóáóÜßöäøó Çááøåó íóÝúÚóáõ ãóÇ íõÑöíÏõ
"Na lau kuwa Mwenyezi
Mungu Alipenda wasingelipigana (Lau shaa'a Alaahu). Lakini
Mwenyezi Mungu Hutenda Atakavyo."
Al-Baqarah – 253
Na hapa maana yake ni ‘kutaka’,
æóáÇó
íóäÝóÚõßõãú äõÕúÍöí Åöäú ÃóÑóÏÊøõ Ãóäú ÃóäÕóÍó áóßõãú Åöä ßóÇäó Çááøåõ íõÑöíÏõ
Ãóä íõÛúæöíóßõãú åõæó ÑóÈøõßõãú æóÅöáóíúåö ÊõÑúÌóÚõæäó
"Wala nasaha yangu
haikufaini kitu nikitaka kukunasihini, ikiwa Mwenyezi Mungu Anataka (Law
Yuriydu Allaah) kukuachieni mpotee."
Huud – 34
Na uwezo mwingine ni wa kishari’ah, na Hamtakii isipokuwa Anayempenda,
æóÇááøåõ
íõÑöíÏõ Ãóä íóÊõæÈó Úóáóíúßõãú æóíõÑöíÏõ ÇáøóÐöíäó íóÊøóÈöÚõæäó ÇáÔøóåóæóÇÊö
Ãóä ÊóãöíáõæÇú ãóíúáÇð ÚóÙöíãðÇ
"Na Mwenyezi Mungu Anataka (Yuriydu Allaah) kukurejezeni
kwenye utiifu wake, na wanaotaka kufuata matamanio wanataka mkengeuke
makengeuko makubwa."
(Na
maana yake hapa ni kuwa 'Hivi Ndivyo Anavyotaka
Mwenyezi Mungu' lakini kakupeni uhuru wa kuchagua wenyewe mnakotaka kwenda.)
An-Nisaa – 27
Na tunaamini kuwa
Atakacho Mwenyezi Mungu katika mambo ya kilimwengu na
ya kishari’ah yote ni katika hekima Yake, na hafanyi kitu bila ya kuwa na
hekima kubwa ndani yake, na sisi huenda tukaijua hekima hiyo au tusiijuwe
kutokana na upungufu wa akili zetu.
Mwenyezi Mungu
Anasema:
ÃóáóíúÓó
Çááøóåõ ÈöÃóÍúßóãö ÇáúÍóÇßöãöíäó
"Kwani Mwenyezi Mungu si
muadilifu kuliko mahakimu wote?"
Atw-Twiyn - 8
Na Akasema:
æóãóäú
ÃóÍúÓóäõ ãöäó Çááøåö ÍõßúãðÇ áøöÞóæúãò íõæÞöäõæäó
"Na nani aliye mwema
zaidi katika kuhukumu kuliko Mwenyezi Mungu kwa watu wenye yakini?"
Al-Maaidah - 50
Na tunaamini kuwa
Mwenyezi Mungu Subhaanahu wa Ta’ala Anawapenda wacha
Mungu wake wanaompenda.
Mwenyezi Mungu
Anasema:
Þõáú
Åöä ßõäÊõãú ÊõÍöÈøõæäó Çááøåó ÝóÇÊøóÈöÚõæäöí íõÍúÈöÈúßõãõ Çááøåõ æóíóÛúÝöÑú áóßõãú
ÐõäõæÈóßõãú
"Sema: Ikiwa nyinyi mnampenda Mwenyezi Mungu basi nifuateni mimi, Mwenyezi Mungu Atakupendeni na Atakufutieni madhambi
yenu."
Al-‘Imraan – 31
Na Akasema:
ÝóÓóæúÝó
íóÃúÊöí Çááøåõ ÈöÞóæúãò íõÍöÈøõåõãú æóíõÍöÈøõæäóåõ
"Basi Mwenyezi Mungu atakuja
leta watu anao wapenda nao wanampenda."
Al-Maaidah – 54
Na Akasema:
æóÇááøåõ
íõÍöÈøõ ÇáÕøóÇÈöÑöíäó
"Hakika Mwenyezi Mungu
Anawapenda wanaosubiri."
Al-‘Imraan – 146
Na tunaamini kuwa
Mwenyezi Mungu Huridhika zinapofuatwa shari’ah Zake na
huchukizwa zisipofuatwa.
Mwenyezi Mungu
Anasema:
Åöä
ÊóßúÝõÑõæÇ ÝóÅöäøó Çááøóåó Ûóäöíøñ Úóäßõãú æóáÇ íóÑúÖóì áöÚöÈóÇÏöåö ÇáúßõÝúÑ
"Mkikufuru basi Mwenyezi Mungu si mwenye haja nanyi, lakini hafurahii
kufuru kwa waja wake."
Az-Zumar – 7
Na Akasema:
æóáóÜßöä
ßóÑöåó Çááøåõ ÇäÈöÚóÇËóåõãú ÝóËóÈøóØóåõãú æóÞöíáó ÇÞúÚõÏõæÇú ãóÚó ÇáúÞóÇÚöÏöíäó
"Lakini Mwenyezi Mungu Kachukia kutoka kwao, na kwa hivyo Akawazuia
na ikasemwa: Kaeni pamoja na wanao kaa!"
Na tunaamini kuwa
Mwenyezi Mungu Huridhika na wale wanaoamini na kufanya
mema.
Mwenyezi Mungu
Anasema:
ÑøóÖöíó
Çááøóåõ Úóäúåõãú æóÑóÖõæÇ Úóäúåõ Ðóáößó áöãóäú ÎóÔöíó ÑóÈøóåõ
"Mwenyezi Mungu Yu radhi
nao, na wao waradhi naye. Hayo ni kwa anayemwogopa
Mola wake."
Al-Bayyinah-6
Na tunaamini kuwa
Mwenyezi Mungu Anamkasirikia kila mwenye kustahiki kukasirikiwa katika makafiri
na wasiokuwa makafiri.
Mwenyezi Mungu
Anasema:
ÇáÙøóÇäøöíäó
ÈöÇááøóåö Ùóäøó ÇáÓøóæúÁö Úóáóíúåöãú ÏóÇÆöÑóÉõ ÇáÓøóæúÁö æóÛóÖöÈó Çááøóåõ
Úóáóíúåöãú
"Wanaomdhania Mwenyezi
Mungu dhana mbaya. Utawafikia mgeuko mbaya, na Mwenyezi Mungu Awakasirikie."
Al-Fat-h – 6
Na Akasema:
æóáóÜßöä
ãøóä ÔóÑóÍó ÈöÇáúßõÝúÑö ÕóÏúÑðÇ ÝóÚóáóíúåöãú ÛóÖóÈñ ãøöäó Çááøåö æóáóåõãú
ÚóÐóÇÈñ ÚóÙöíãñ
"Lakini aliyekifungulia kifua chake kukataa - basi hao ghadhabu
ya Mwenyezi Mungu ipo juu
An-Nahl – 106
Na tunaamini kuwa
Mwenyezi Mungu Anao wajihi wenye utukufu na ukarimu.
Mwenyezi Mungu
Anasema:
æóíóÈúÞóì
æóÌúåõ ÑóÈøößó Ðõæ ÇáúÌóáÃáö æóÇáÇßúÑóÇãö
"Unabaki Wajihi wa Mola wako wenye
utukufu na ukarimu."
Ar-Rahmaan – 27
Tunaamini
kuwa Mwenyezi Mungu Anayo mikono miwili mitukufu.
Mwenyezi Mungu
Anasema:
Èóáú
íóÏóÇåõ ãóÈúÓõæØóÊóÇäö íõäÝöÞõ ßóíúÝó íóÔóÇÁ
"
Al-Maaidah – 64
Na Akasema:
æóãóÇ
ÞóÏóÑõæÇ Çááøóåó ÍóÞøó ÞóÏúÑöåö æóÇáÃÑúÖõ ÌóãöíÚðÇ ÞóÈúÖóÊõåõ íóæúãó
ÇáúÞöíóÇãóÉö æóÇáÓøóãÇæóÇÊõ ãóØúæöíøóÇÊñ Èöíóãöíäöåö ÓõÈúÍóÇäóåõ æóÊóÚóÇáóì
ÚóãøóÇ íõÔúÑößõæäó
"Na wala hawakumhishimu Mwenyezi Mungu
Az-Zumar – 67
(Siku ya RidhwAan
Waislamu walipofungamana na Mtume wa Mwenyezi Mungu
(Swalla Llaahu ‘alayhi wa sallam) chini ya mti kwa kumpa måkono wote kwa pamoja, mmoja baada ya
mwengine, na Mwenyezi Mungu akateremsha kauli Yake:
Åöäøó
ÇáøóÐöíäó íõÈóÇíöÚõæäóßó ÅöäøóãóÇ íõÈóÇíöÚõæäó Çááøóåó íóÏõ Çááøóåö ÝóæúÞó
ÃóíúÏöíåöãú
"Bila Shaka wale wanaofungamana nawe, kwa
hakika wanafungamana na Mwenyezi Mungu. Mkono wa
Mwenyezi Mungu uko juu ya mikono
Al-Fat-h – 10
Ieleweke kuwa
Mwenyezi Mungu Anaposema Anayo mikono au macho, haina maana kuwa mikono Yake ni
sawa na mikono yetu, au macho Yake ni sawa na macho yetu - AstaghfiruLlaah.
Meza inayo miguu na viti vina miguu, lakini miguu ya
viti na ya meza ni tofauti na miguu ya mwanaadamu aloitengeneza meza ile, kwani
sifa ya mtengenezaji lazima iwe tofauti na sifa ya kilichotengenezwa, ama sivyo
mtengenezaji na kilichotengenezwa watakuwa kitu kimoja. Na Mwenyezi Mungu Ndiye
mwenye kupigiwa mifano bora, sifa Zake Subhaanahu wa
Ta’ala haziwezi kufananishwa na sifa zetu. Lakini wakati huo huo lazima
tukikubali kila Alichojinasibisha nacho Subhaanahu wa
Ta’ala.)
Na tunaamini kuwa
Mwenyezi Mungu Anayo macho mawili kikweli, na hii
inatokana na kauli Yake Subhaanahu wa Ta’ala Aliposema kumwambia Nuuh (‘Alayhis-Salaam):
æóÇÕúäóÚö
ÇáúÝõáúßó ÈöÃóÚúíõäöäóÇ æóæóÍúíöäóÇ
"Na unda jahazi mbele ya macho yetu na
kwa mujibu wa ufunuo wetu."
Huud – 37
Na Mtume wa Mwenyezi Mungu (Swalla Llaahu ‘alayhi wa sallam) amesema:
"Pazia yake ni nuru, na lau
Na alipokuwa akihadithia
juu ya Ad-Dajjaal alisema:
"Dajjaal
ana chongo na Mola wenu hana chongo."
Na
tunaamini kuwa macho yetu hayamfikii kumuona Mwenyezi Mungu.
Mwenyezi Mungu
Anasema:
áÇøó
ÊõÏúÑößõåõ ÇáÃóÈúÕóÇÑõ æóåõæó íõÏúÑößõ ÇáÃóÈúÕóÇÑó æóåõæó ÇááøóØöíÝõ ÇáúÎóÈöíÑõ
"Macho hayamfikilii,
bali Yeye anayafikilia macho. Naye ni
Mjuzi, Mwenye khabari."
Al-An’aam – 103
Na
tunaamini kuwa Waislamu watamuona Mola wao Siku ya Qiyaamah.
Mwenyezi Mungu
Anasema:
æõÌõæåñ
íóæúãóÆöÐò äøóÇÖöÑóÉñ. Åöáóì ÑóÈøöåóÇ äóÇÙöÑóÉñ
"Zipo nyuso siku hiyo
zitang'ara. Zinamwangallia Mola wao."
Al-Qiyaamah – 22-23
Na tunaamini kuwa
Mwenyezi Mungu Subhaanahu wa Ta’ala hana mfano wake
katika ukamilifu wa sifa Zake.
Mwenyezi Mungu Anasema:
áóíúÓó
ßóãöËúáöåö ÔóíúÁñ æóåõæó ÇáÓøóãöíÚõ ÇáÈóÕöíÑõ
"Hapana kitu
Ash-Shuuraa – 11
Na tunaamini kuwa
Mwenyezi Mungu Hashikwi na usingizi wala halali.
Mwenyezi Mungu Anasema:
áÇó
ÊóÃúÎõÐõåõ ÓöäóÉñ æóáÇó äóæúãñ
"Hashikwi na usingizi wala kulala."
Al-Baqarah – 255
Na tunaamini kuwa
Mwenyezi Mungu Hamdhulumu mtu, na hii inatokana na
ukamilifu wa uadilifu Wake Subhaanahu wa Ta’ala, na kwamba hapana Asichokijua
katika matendo ya waja Wake, na kwamba Hashindiwi na chochote, kwani Anapotaka
chochote kiwe hukiambia tu; 'Kuwa' na kikawa.
Mwenyezi Mungu
Anasema:
ÅöäøóãóÇ
ÃóãúÑõåõ ÅöÐóÇ ÃóÑóÇÏó ÔóíúÆðÇ Ãóäú íóÞõæáó áóåõ ßõäú Ýóíóßõæäõ
"Hakika amri Yake Anapotaka kitu ni kukiambia tu: Kuwa! Na kikawa."
Yaasiyn – 82
Na tunaamini kuwa
Mwenyezi Mungu Haguswi na machofu wala tabu ya aina
yoyote ile.
Mwenyezi Mungu
Anasema:
æóáóÞóÏú
ÎóáóÞúäóÇ ÇáÓøóãóÇæóÇÊö æóÇáÃóÑúÖó æóãóÇ ÈóíúäóåõãóÇ Ýöí ÓöÊøóÉö ÃóíøóÇãò æóãóÇ
ãóÓøóäóÇ ãöä áøõÛõæÈò
"Na bila ya shaka Sisi tumeziumba mbingu na
ardhi na vilio baina
Qaaf – 38
Na tunakiamini kila Alichojithibitishia
nafsi Yake, Akasema kuwa Anacho, basi sisi tunaamini kuwa Anacho kwa uhakika,
na tunaamini pia kila alichotujulisha Mtume wake (Swalla Llaahu ‘alayhi wa
sallam) juu ya Mola wake, katika Majina Yake mazuri mazuri na Sifa Zake njema.
Lakini tunakataa
mambo mawili, nayo ni:
1. Kufananisha (kushabihisha). Nako ni kutamka kwa ulimi au kwa moyo kuwa wasfu wa Mwenyezi Mungu
unafanana na wasfu wa viumbe Vyake.
2. Na
pia tunakataa kukisia. Nako ni kujisemeza moyoni au
kutamka kwa ulimi kuzikisia sifa za
Mwenyezi Mungu kuwa labda ni hivi au vile.
Na tunakanusha kila
Mwenyezi Mungu Alichojikanushia nafsi Yake, au kile alichokikanusha Mtume wake
(Swalla Llaahu ‘alayhi wa sallam), na tunakinyamazia kila Alichokinyamazia, na
tunaamini kuwa hii ndiyo njia sahihi, kwani kila Alichojikanushia nafsi Yake ni
habari kutoka Kwake, na Yeye Subhaanahu wa Ta’ala ndiye mwenye kuijua nafsi
Yake na ndiye Msema kweli kupita wote, Mwenye mazungumzo bora kupita wote, waja
Wake hawana uwezo wa kujua chochote juu Yake bila Yeye kuwajulisha.
Tanbihi:
Kila tulichokitaja
katika sifa za Mwenyezi Mungu, iwe kwa urefu au kwa
ujumla, katika kuthibitisha au katika kukanusha, yote tumeyanukuu kutoka katika
kitabu cha Mwenyezi Mungu (Qur-aan) au mafundisho ya Mtume Wake (Swalla Llaahu
‘alayhi wa sallam) (Sunnah) iliyo sahihi nayo pia ni itikadi waliyokuwa nayo
Maimamu wetu wema waliotangulia.
Tunaona kuwa inawajibika
kuzifasiri nassw (dalili) zilizomo ndani ya Qur-aan kwa uhakika wake
kama Anavyozistahiki Mwenyezi Mungu, na tunajitenga mbali na njia ya wageuzaji
wa maana wale waliozigeuza maana na kuzifasiri kwa njia Asiyoitaka Mwenyezi
Mungu Subhaanahu wa Ta’ala, na tunajitenga mbali na njia ya wabadilishaji
waliobadilisha, mbali na maana iliyokusudiwa, na pia tunajitenga mbali na
wazidishaji waliozidisha na kuzifanya sifa zake kuwa ni za kumfananisha.
Tuna hakika kuwa yale yaliyomo ndani ya Kitabu cha Mwenyezi Mungu na ndani ya
mafundisho ya Mtume Wake (Swalla Llaahu ‘alayhi wa sallam) ni haki
isiyopingana, na hii inatokana na kauli Yake Subhaanahu wa Ta’ala Aliposema:
ÃóÝóáÇó
íóÊóÏóÈøóÑõæäó ÇáúÞõÑúÂäó æóáóæú ßóÇäó ãöäú ÚöäÏö ÛóíúÑö Çááøåö áóæóÌóÏõæÇú
Ýöíåö ÇÎúÊöáÇóÝðÇ ßóËöíÑðÇ
"Hebu hawaizingatii hii
Qur-aan? Na lau kuwa imetoka kwa asiye kuwa
Mwenyezi Mungu bila ya shaka wangeli kuta ndani yake khitilafu nyingi."
An-Nisaa – 82
Na kwa
vile kauli zinazopingana huwa zinasutana, na hili ni jambo lisiliowezekana
katika habari Anazotupa Mwenyezi Mungu Subhaanahu wa Ta’ala na anazotupa Mtume
wake (Swalla Llaahu ‘alayhi wa sallam). Na yeyote anayedai kuwa ndani ya Kitabu
cha Mwenyezi Mungu au ndani ya mafundisho ya Mtume Wake (Swalla Llaahu ‘alayhi
wa sallam) yamo maneno yanayopingana, akasema hayo kwa
kukusudia au kwa vile moyo wake umekwenda upande, basi huyo anatakaiwa atubu
kwa Mola wake na atoke ndani ya upotofu wake.
Na yeyote anayedhani
kuwa mna upungufu wowote ndani ya Kitabu cha Mwenyezi Mungu au ndani ya
mafundisho ya Mtume wake (Swalla Llaahu ‘alayhi wa sallam) au baina yao, basi
huyo ima ana upungufu wa elimu au uchache wa fahamu au ana upungufu katika
kuzingatia kwake, kwa hivyo aitafute elimu na ajitahidi katika kuzingatia mpaka
ukweli utakapombainikia. Na kama haukumbainikia, basi
amtafute mwenye elimu kupita yeye na aachane na upotofu wake, na aseme
ÂãóäøóÇ
Èöåö ßõáøñ ãøöäú ÚöäÏö ÑóÈøöäóÇ
"Tumeamini, zote
zimetoka kwa Mola wetu."
Aali-‘ImraAn – 7
Na ajue ya kuwa Qur-aan
na Sunnah haviwezi kugongana wala kupingana wala
hapana hitilafu baina yake.
Na tunaamini juu
Malaika wa Mwenyezi Mungu kama ulivyokuja wasfu wao
ndani ya Qur-aan kwamba wao ni:
Èóáú
ÚöÈóÇÏñ ãøõßúÑóãõæäó. áÇ íóÓúÈöÞõæäóåõ ÈöÇáúÞóæúáö æóåõã ÈöÃóãúÑöåö íóÚúãóáõæäó
"
Mwenyezi Mungu Amewaumba
ili wamuabudu na kumtii.
Mwenyezi Mungu
Anasema:
áÇ íóÓúÊóßúÈöÑõæäó
Úóäú ÚöÈóÇÏóÊöåö æáÇ íóÓúÊóÍúÓöÑõæäó. íõÓóÈøöÍõæäó Çááøóíúáó æóÇáäøóåóÇÑó áÇ
íóÝúÊõÑõæäó
"Hawafanyi kiburi
wakaacha kumuabudu, wala hawachoki.
Wanamtakasa
usiku na mchana, wala hawanyong'onyei."
Al-AnbiyAa – 19 – 20
Mwenyezi Mungu Akatujaalia
tusiweze kuwaona, na Aliwafanya wengine kati ya waja Wake kuweza kuwaona, kwani
Mtume (Swalla Llaahu ‘alayhi wa sallam) alimuona Jibriyl (‘Alayhis-Salaam)
akiwa katika umbile lake la kweli ana mbawa mia sita, akiwa ameizinga anga yote
juu yake.
Jibriyl (‘Alayhis-Salaam)
aliwahi pia kuonekana na Bibi Maryam akiwa katika umbile la binaadamu
aliyekamilika, akazungumza naye, na aliwahi pia kumjia Mtume (Swalla Llaahu
‘alayhi wa sallam) akiwa pamoja na Maswahaba wake (Radhiya Llaahu anhum) akiwa
katika umbile la mwanamume asiyejulikana wala hapakuwa na ishara yoyote usoni
mwake kama ni mtu aliyetoka safari ndefu, akaliegemeza goti lake juu ya goti la
Mtume wa Mwenyezi Mungu (Swalla Llaahu ‘alayhi wa sallam) na kuuweka mkono wake
juu ya paja la Mtume wa Mwenyezi Mungu (Swalla Llaahu ‘alayhi wa sallam), kisha
akazungumza naye huku Mtume (Swalla Llaahu ‘alayhi wa sallam) akimjibu, na
baada ya kuondoka ndipo Mtume (Swalla Llaahu ‘alayhi wa sallam) akawaambia Maswahaba
wake (Radhiya Llaahu anhum) kuwa yule alikuwa Jibriyl (‘Alayhis-Salaam).
Na tunaamini kuwa
Malaika wana kazi zao maalum walizopewa na Mola wao.
Jibriyl (‘Alayhis-Salaam)ni mletaji wahyi kwa Mitume.
Anawateremshia kutoka kwa Mwenyezi Mungu na kuwafikishia
anaotumwa kuwafikishia katika Mitume yake Subhaanahu wa Ta’ala. Na yupo Mikaaiyl
aliyepewa kazi ya kuteremsha mvua na ya mazao
anapopewa amri na Mwenyezi Mungu. Na yupo Israafiyl mwenye
kazi ya kupuliza parapanda (baragumu) siku ya Qiyaamah. Na yupo Malaika
wa kifo aliyepewa kazi ya kutoa roho wakati wa kufa, na yupo Malaika wa
majabali, na yupo Malik mlinzi wa mlango wa Motoni, na wapo Malaika
wanaowashughulikia watoto wachanga matumboni mwa mama zao, na wengine waliopewa
kazi ya kuwahifadhi wanaadamu na wengine wenye kuandika ‘amali zao, na kila mtu
ana Malaika wawili.
Mwenyezi Mungu
Anasema:
ÅöÐú
íóÊóáóÞøóì ÇáúãõÊóáóÞøöíóÇäö Úóäö Çáúíóãöíäö æóÚóäö ÇáÔøöãóÇáö ÞóÚöíÏñ. ãóÇ
íóáúÝöÙõ ãöä Þóæúáò ÅöáøóÇ áóÏóíúåö ÑóÞöíÈñ ÚóÊöíÏñ
"Wanapopokea wapokeaji wawili, wanaokaa kuliani na kushotoni
Hatamki
neno ila karibu yake yupo mwangalizi tayari (kuandika)."
Qaaf – 17 – 18
Na wengine wana kazi
za kuwauliza maiti baada ya kufikishwa kaburini, wanajiwa na
Malaika wawili na kumuuliza Nani Mola wake, nini dini yake, nani mtume wake?
Mwenyezi Mungu
Anasema:
íõËóÈøöÊõ
Çááøåõ ÇáøóÐöíäó ÂãóäõæÇú ÈöÇáúÞóæúáö ÇáËøóÇÈöÊö Ýöí ÇáúÍóíóÇÉö ÇáÏøõäúíóÇ
æóÝöí ÇáÂÎöÑóÉö æóíõÖöáøõ Çááøåõ ÇáÙøóÇáöãöíäó æóíóÝúÚóáõ Çááøåõ ãóÇ íóÔóÇÁ
"Mwenyezi Mungu Huwatia imara wenye kuamini kwa
kauli imara katika maisha ya dunia na katika Akhera. Na
Mwenyezi Mungu huwaacha kupotea hao wenye kudhulumu. Na
Mwenyezi Mungu Hufanya apendavyo."
Ibraahiym – 27
Na wapo Malaika
waliopewa kazi ya kuwashughulikia watu wa Peponi.
Mwenyezi Mungu
Anasema:
æóÇáãóáÇóÆößóÉõ
íóÏúÎõáõæäó Úóáóíúåöã ãøöä ßõáøö ÈóÇÈò. ÓóáÇóãñ Úóáóíúßõã ÈöãóÇ ÕóÈóÑúÊõãú
ÝóäöÚúãó ÚõÞúÈóì ÇáÏøóÇÑö
"Na Malaika
wanawaingilia katika kila mlango. (Wakiwaambia)
Assalaamu ‘Alaykum! Amani iwe juu yenu, kwa sababu ya
mlivyosubiri! Basi ni mema mno malipo ya Nyumba ya
Akhera."
Ar-Ra’ad – 23 – 34
Na Mtume wa Mwenyezi Mungu (Swalla Llaahu ‘alayhi wa sallam)
alitujulisha kuwa ndani ya 'Baytul Ma’amuur', iliyopo mbinguni wanaingia na kuswali
ndani yake kila siku Malaika elfu sabini wakishamaliza hawaipati fursa ya
kurudi humo tena.
Na tunaamini kuwa
Mwenyezi Mungu Amewateremshia Mitume Vitabu ili viwe
hoja na mwangaza kwa walimwengu kwa ajili ya kuwafundisha hekima na kwa ajili
ya kuwatakasa.
Na
tunaamini kuwa Mwenyezi Mungu Amemteremshia kila Mtume Kitabu.
Mwenyezi Mungu
Anasema:
áóÞóÏú ÃóÑúÓóáúäóÇ ÑõÓõáóäóÇ ÈöÇáúÈóíøöäóÇÊö æóÃóäÒóáúäóÇ
ãóÚóåõãõ ÇáúßöÊóÇÈó æóÇáúãöíÒóÇäó áöíóÞõæãó ÇáäøóÇÓõ ÈöÇáúÞöÓúØö
"Kwa hakika tuliwatuma Mitume Wetu kwa
dalili waziwazi, na tukateremsha Kitabu pamoja nao na Mizani, ili watu
wasimamie uadilifu."
Al-Hadiyd – 25
Na katika vitabu
hivyo tunavyovijua ni:
1. Taurati;
Mwenyezi Mungu Alimteremsia Nabii Muusa (‘Alayhis-Salaam), na
hiki ni Kitabu kitukufu kupita vyote vya Bani Israaiyl.
Mwenyezi Mungu
Anasema:
ÅöäøóÇ
ÃóäÒóáúäóÇ ÇáÊøóæúÑóÇÉó ÝöíåóÇ åõÏðì æóäõæÑñ íóÍúßõãõ ÈöåóÇ ÇáäøóÈöíøõæäó
ÇáøóÐöíäó ÃóÓúáóãõæÇú áöáøóÐöíäó åóÇÏõæÇú æóÇáÑøóÈøóÇäöíøõæäó æóÇáÃóÍúÈóÇÑõ
ÈöãóÇ ÇÓúÊõÍúÝöÙõæÇú ãöä ßöÊóÇÈö Çááøåö æóßóÇäõæÇú Úóáóíúåö ÔõåóÏóÇÁ
"Hakika Sisi Tuliteremsha Taurati yenye uongofu na nuru, ambayo
kwayo Manabii walionyenyekea Kiislamu, na wacha Mungu, na wanazuoni,
waliwahukumu Mayahudi; kwani walikabidhiwa kukihifadhi Kitabu cha Mwenyezi
Mungu. Nao wakawa ni mashahidi juu yake."
Al-Maaidah – 44
2. Injili;
Mwenyezi Mungu alimteremshia Nabii ‘Iysa (‘Alayhis-Salaam), na hiki
kinakisadikisha Taurati na kukikamilisha.
Mwenyezi Mungu
Anasema:
æóÂÊóíúäóÇåõ
ÇáÅöäÌöíáó Ýöíåö åõÏðì æóäõæÑñ æóãõÕóÏøöÞðÇ áøöãóÇ Èóíúäó íóÏóíúåö ãöäó
ÇáÊøóæúÑóÇÉö æóåõÏðì æóãóæúÚöÙóÉð áøöáúãõÊøóÞöíäó
"Na tukampa Injili
iliyomo ndani yake uongofu, na nuru na inayosadikisha yaliyokuwa kabla yake
katika Taurati, na uongofu na mawaidha kwa wacha Mungu."
Al-Maaidah – 46
3. Zaburi;
Aliyopewa Nabii Daawuud (‘Alayhis-Salaam).
4. Sahifa
(Suhuf); Walizoteremshiwa Nabii Ibraahiym na Muusa (‘Alayhimas-Salaam).
5. Qur-aan
tukufu; Aliyoteremshiwa Mtume wetu Muhammad (Swalla Llaahu ‘alayhi wa sallam)
mwisho wa ma Nabii.
Mwenyezi Mungu
Anasema:
åõÏðì
áøöáäøóÇÓö æóÈóíøöäóÇÊò ãøöäó ÇáúåõÏóì æóÇáúÝõÑúÞóÇäö
"Ni uongofu kwa watu, na
hoja zilizo wazi za uongofu na upambanuzi."
Al-Baqarah – 185
Na Akasema:
ãõÕóÏöøÞðÇ áöøãóÇ Èóíúäó íóÏóíúåö ãöäó ÇáúßöÊóÇÈö æóãõåóíúãöäðÇ
Úóáóíúåö
"Kinacho sadikisha yaliyo
kuwa kabla yake katika Vitabu na kuyalinda."
Al-Maaidah – 48
Kwa Kitabu hiki
Mwenyezi Mungu Akavifuta vilivyotangulia na Akachukua
Yeye mwenyewe jukumu la kukilinda ili kibaki kuwa hoja kwa viumbe wote mpaka
siku ya Qiyaamah.
Mwenyezi Mungu
Anasema:
ÅöäøóÇ
äóÍúäõ äóÒøóáúäóÇ ÇáÐøößúÑó æóÅöäøóÇ áóåõ áóÍóÇÝöÙõæäó
"Hakika Sisi ndio Tulioteremsha
Ukumbusho huu, na hakika Sisi ndio Tutaoulinda."
Al-Hijr – 9
Ama Vitabu
vilivyotangulia, vilikuwa vikiletwa kwa ajili ya
wakati maalum, na ukishamalizika wakati wake vinaletwa vingine kuchukua nafasi
yake, na hii ndiyo maana havikuwa na uwezo wa kujilinda kutokana na
ubadilishaji.
Mwenyezi Mungu
Anasema:
ãøöäó
ÇáøóÐöíäó åóÇÏõæÇú íõÍóÑøöÝõæäó Çáúßóáöãó Úóä ãøóæóÇÖöÚöåö
"Miongoni mwa Mayahudi
wamo ambao hubadilisha maneno na kuyatoa mahala pake."
An-Nisaa -46
Na Akasema:
Ýóæóíúáñ
áøöáøóÐöíäó íóßúÊõÈõæäó ÇáúßöÊóÇÈó ÈöÃóíúÏöíåöãú Ëõãøó íóÞõæáõæäó åóÜÐóÇ ãöäú
ÚöäÏö Çááøåö áöíóÔúÊóÑõæÇú Èöåö ËóãóäÇð ÞóáöíáÇð Ýóæóíúáñ áøóåõã ãøöãøóÇ
ßóÊóÈóÊú ÃóíúÏöíåöãú æóæóíúáñ áøóåõãú ãøöãøóÇ íóßúÓöÈõæäó
"Basi ole wao wanaoandika kitabu kwa
mikono
Al-Baqarah – 79
Na Akasema:
Þõáú
ãóäú ÃóäÒóáó ÇáúßöÊóÇÈó ÇáøóÐöí ÌóÇÁ Èöåö ãõæÓóì äõæÑðÇ æóåõÏðì áøöáäøóÇÓö
ÊóÌúÚóáõæäóåõ ÞóÑóÇØöíÓó ÊõÈúÏõæäóåóÇ æóÊõÎúÝõæäó ßóËöíÑðÇ
"Sema: Nani aliyeteremsha Kitabu alichokuja nacho Muusa, chenye nuru
na uongofu kwa watu, mlichokifanya kurasa kurasa mkizionyesha, na mengi
mkiyaficha."
Al-An’aam – 91
Na Akasema:
æóÅöäøó
ãöäúåõãú áóÝóÑöíÞðÇ íóáúæõæäó ÃóáúÓöäóÊóåõã ÈöÇáúßöÊóÇÈö áöÊóÍúÓóÈõæåõ ãöäó
ÇáúßöÊóÇÈö æóãóÇ åõæó ãöäó ÇáúßöÊóÇÈö æóíóÞõæáõæäó åõæó ãöäú ÚöäÏö Çááøåö æóãóÇ
åõæó ãöäú ÚöäÏö Çááøåö æóíóÞõæáõæäó Úóáóì Çááøåö ÇáúßóÐöÈó æóåõãú íóÚúáóãõæäó.
ãóÇ ßóÇäó áöÈóÔóÑò Ãóä íõÄúÊöíóåõ Çááøåõ ÇáúßöÊóÇÈó æóÇáúÍõßúãó æóÇáäøõÈõæøóÉó
Ëõãøó íóÞõæáó áöáäøóÇÓö ßõæäõæÇú ÚöÈóÇÏðÇ áøöí ãöä Ïõæäö Çááøåö æóáóÜßöä
ßõæäõæÇú ÑóÈøóÇäöíøöíäó ÈöãóÇ ßõäÊõãú ÊõÚóáøöãõæäó ÇáúßöÊóÇÈó æóÈöãóÇ ßõäÊõãú
ÊóÏúÑõÓõæäó
"Na wapo baadhi
Haiwezi kuwa mtu aliyepewa na Mwenyezi
Mungu Kitabu na hikima na Unabii kisha awaambie watu: Kuweni wa kuniabudu mimi
badala ya Mwenyezi Mungu.
Aali-‘Imraan – 78 –
79
Na Akasema:
íóÇ
Ãóåúáó ÇáúßöÊóÇÈö ÞóÏú ÌóÇÁßõãú ÑóÓõæáõäóÇ íõÈóíøöäõ áóßõãú ßóËöíÑðÇ ãøöãøóÇ
ßõäÊõãú ÊõÎúÝõæäó ãöäó ÇáúßöÊóÇÈö æóíóÚúÝõæ Úóä ßóËöíÑò ÞóÏú ÌóÇÁßõã ãøöäó
Çááøåö äõæÑñ æóßöÊóÇÈñ ãøõÈöíäñ
"Enyi Watu wa Kitabu!
Amekwishakujieni Mtume wetu anayekufichulieni mengi mliyokuwa mkiyaficha katika
Kitabu, na anayesamehe mengi. Bila shaka imekujieni
kutoka kwa Mwenyezi Mungu nuru na Kitabu kinachobainisha."
Al-Maaidah – 15
Na tunaamini kuwa
Mwenyezi Mungu Amewatuma kwa waja Wake Mitume ili wawe
wabashiri na waonyaji.
Mwenyezi Mungu
Anasema:
ÑøõÓõáÇð
ãøõÈóÔøöÑöíäó æóãõäÐöÑöíäó áöÆóáÇøó íóßõæäó áöáäøóÇÓö Úóáóì Çááøåö ÍõÌøóÉñ
ÈóÚúÏó ÇáÑøõÓõáö æóßóÇäó Çááøåõ ÚóÒöíÒðÇ ÍóßöíãðÇ
"Mitume hao ni wabashiri na waonyaji,
ili watu wasiwe na hoja juu ya Mwenyezi Mungu baada ya kuletewa Mitume. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye nguvu, Mwenye hikima."
An-Nisaa – 165
Na tunaamini kuwa
Muhammad ni mbora wa Mitume yote, kisha Ibrahim kisha
Musa kisha Nuh kisha Issa mwana wa Maryam, na hawa ndio waliohuswa katika aya
ifuatayo.
Mwenyezi Mungu
Anasema:
æóÅöÐú
ÃóÎóÐúäóÇ ãöäó ÇáäøóÈöíøöíäó ãöíËóÇÞóåõãú æóãöäßó æóãöä äøõæÍò æóÅöÈúÑóÇåöíãó
æóãõæÓóì æóÚöíÓóì ÇÈúäö ãóÑúíóãó æóÃóÎóÐúäóÇ ãöäúåõã ãøöíËóÇÞðÇ ÛóáöíÙðÇ
"Na tulipochukua ahadi kwa Manabii na
kwako wewe (Muhammad), na Nuuh na Ibraahiym na ‘Iysa mwana wa Mariamu, na tulichukua
kwao ahadi ngumu."
Al-Ahzaab – 7
Na
tunaamini kuwa shari’ah ya Muhammad (Swalla Llaahu ‘alayhi wa sallam)
imekusanya fadhila zote walizokuja nazo Mitume iliyotangulia.
Mwenyezi Mungu
Anasema:
ÔóÑóÚó
áóßõã ãøöäó ÇáÏøöíäö ãóÇ æóÕøóì Èöåö äõæÍðÇ æóÇáøóÐöí ÃóæúÍóíúäóÇ Åöáóíúßó
æóãóÇ æóÕøóíúäóÇ Èöåö ÅöÈúÑóÇåöíãó æóãõæÓóì æóÚöíÓóì Ãóäú ÃóÞöíãõæÇ ÇáÏøöíäó
æóáóÇ ÊóÊóÝóÑøóÞõæÇ Ýöíåö
"Amekuamrisheni
Dini ile ile aliyomuusia Nuuh na tuliyokufunulia wewe,
na tuliyowausia Ibraahiym na Muusa na ‘Iysa, kwamba shikeni Dini wala
msifarikiane kwayo."
Ash-Shuuraa – 13
Na tunaamini kuwa
Mitume yote ni watu, viumbe na hawana uwezo wowote wa
kuumba au kugawa rizki wala hawajui ghaibu nk.
Mwenyezi Mungu
Anasema:
æóáÇó
ÃóÞõæáõ áóßõãú ÚöäÏöí ÎóÒóÂÆöäõ Çááøåö æóáÇó ÃóÚúáóãõ ÇáúÛóíúÈó æóáÇó ÃóÞõæáõ
Åöäøöí ãóáóßñ
"Wala sikwambiini kuwa nina khazina za
Mwenyezi Mungu; wala kuwa mimi najua mambo ya ghaibu; wala sisemi: Mimi ni
Malaika."
Huud – 31
Mwenyezi Mungu Alimuamrisha
Muhammad (Swalla Llaahu ‘alayhi wa sallam) atamke maneno yafuatayo:
Þõá
áÇøó ÃóÞõæáõ áóßõãú ÚöäÏöí ÎóÒóÂÆöäõ Çááøåö æóáÇ ÃóÚúáóãõ ÇáúÛóíúÈó æóáÇ
ÃóÞõæáõ áóßõãú Åöäøöí ãóáóßñ
“Sema: Mimi sikwambiini kuwa ninazo khazina za Mwenyezi Mungu. Wala sijui mambo yaliyofichikana. Wala sikwambiini kuwa mimi ni Malaika”
Al-An’aam – 50
Na akaamrishwa pia
atamke:
Þõá
áÇøó Ãóãúáößõ áöäóÝúÓöí äóÝúÚðÇ æóáÇó ÖóÑøðÇ ÅöáÇøó ãóÇ ÔóÇÁ Çááøåõ
"Sema: Siimilikii nafsi yangu manufaa wala madhara, ila
apendavyo Mwenyezi Mungu."
Al-A’araaf – 188
Na atamke:
Þõáú
Åöäøöí áÇ Ãóãúáößõ áóßõãú ÖóÑøðÇ æáÇ ÑóÔóÏðÇ. Þõáú Åöäøöí áóä íõÌöíÑóäöí ãöäó
Çááøóåö ÃóÍóÏñ æóáóäú ÃóÌöÏó ãöä Ïõæäöåö ãõáúÊóÍóÏðÇ
"Sema: Mimi sina mamlaka
ya kukudhuruni wala kukuongozeni."
Sema: Hakika hapana yeyote awezaye kunilinda na
Mwenyezi Mungu, wala sitapata pa kukimbilia isipokuwa kwake Yeye tu."
Al-Jinn
– 21-22
Na
tunaamini kuwa wao ni waja wa Mwenyezi Mungu Aliowakirimu
kwa kuwapa ujumbe.
Mwenyezi
Mungu Anasema:
ÐõÑøöíøóÉó
ãóäú ÍóãóáúäóÇ ãóÚó äõæÍò Åöäøóåõ ßóÇäó ÚóÈúÏðÇ ÔóßõæÑðÇ
"Enyi kizazi tuliyowachukua pamoja na
Nuuh! Hakika yeye alikuwa mja mwenye shukrani."
Al-Israa
– 3
Na
Akasema:
ÊóÈóÇÑóßó
ÇáøóÐöí äóÒøóáó ÇáúÝõÑúÞóÇäó Úóáóì ÚóÈúÏöåö áöíóßõæäó áöáúÚóÇáóãöíäó äóÐöíÑðÇ
"Ametukuka aliye teremsha Furqaan kwa mja Wake, ili awe
mwonyaji kwa walimwengu wote."
Al-Furqaan
– 1
Na
juu ya Mitume mingine Akasema:
æóÇÐúßõÑú
ÚöÈóÇÏóäóÇ ÅÈúÑóÇåöíãó æóÅöÓúÍóÞó æóíóÚúÞõæÈó Ãõæúáöí ÇáÃóíúÏöí æóÇáÃÈúÕóÇÑö
"Wakumbuke waja wetu, Ibraahiym na
Is-haaq na Yaa'quub waliokuwa na nguvu na busara."
Swaad
– 45
Na
Akasema:
æóæóåóÈúäóÇ
áöÏóÇæõæÏó ÓõáóíúãóÇäó äöÚúãó ÇáúÚóÈúÏõ Åöäøóåõ ÃóæøóÇÈñ
"Na Daawuud Tukamtunukia
Sulaymaan. Alikuwa mja mwema. Na
hakika alikuwa mwingi wa kutubia."
Swaad
– 30
Na
juu ya ‘Iysa mwana wa Maryam Mwenyezi Mungu Anasema:
"Hakuwa
yeye (‘Iysa) ila ni Mtumwa Tuliyemneemesha na
tukamfanya ni mfano kwa Wana wa Israili."
Az-Zukhruf – 59
Tunaamini pia kuwa
Mwenyezi Mungu Subhaanahu wa Ta’ala Amekamilisha
ujumbe wake kwa kumleta Muhammad (Swalla Llaahu ‘alayhi wa sallam)
Mwenyezi Mungu
Anasema:
Þõáú
íóÇ ÃóíøõåóÇ ÇáäøóÇÓõ Åöäøöí ÑóÓõæáõ Çááøåö Åöáóíúßõãú ÌóãöíÚðÇ ÇáøóÐöí áóåõ
ãõáúßõ ÇáÓøóãóÇæóÇÊö æóÇáÃóÑúÖö áÇ ÅöáóÜåó ÅöáÇøó åõæó íõÍúíöÜí æóíõãöíÊõ
ÝóÂãöäõæÇú ÈöÇááøåö æóÑóÓõæáöåö ÇáäøóÈöíøö ÇáÃõãøöíøö ÇáøóÐöí íõÄúãöäõ ÈöÇááøåö
æóßóáöãóÇÊöåö æóÇÊøóÈöÚõæåõ áóÚóáøóßõãú ÊóåúÊóÏõæäó
"Sema: Enyi watu! Hakika mimi ni Mtume
kwenu nyinyi nyote, niliyetumwa na Mwenyezi Mungu Mwenye ufalme wa mbingu na
ardhi. Hapana mungu ila Yeye Anayehuisha na Anayefisha.
Basi muaminini Mwenyezi Mungu na Mtume Wake asiyejua
kusoma na kuandika, ambaye anamuamini Mwenyezi Mungu na maneno Yake. Na mfuateni yeye ili mpate kuongoka."
Al-A’araf – 158
Na tunaamini kuwa
dini alokuja nayo ni Islam aliyoridhika nayo Mwenyezi
Mungu kwa waja Wake. Na kwamba Mwenyezi Mungu Haikubali dini
nyingine isipokuwa hii.
Mwenyezi Mungu
Anasema:
Åöäøó
ÇáÏøöíäó ÚöäÏó Çááøåö ÇáÅöÓúáÇóãõ
"Bila ya shaka Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni
Uislamu."
Aali-‘Imraan – 19
Na Akasema:
Çáúíóæúãó
ÃóßúãóáúÊõ áóßõãú Ïöíäóßõãú æóÃóÊúãóãúÊõ Úóáóíúßõãú äöÚúãóÊöí æóÑóÖöíÊõ áóßõãõ
ÇáÅöÓúáÇóãó ÏöíäðÇ
"Leo Nimekukamilishieni Dini yenu, na
Nimekutimizieni neema Yangu, na Nimekupendeleeni UISLAMU uwe ndiyo Dini."
Al-Maaidah – 3
Na Akasema:
æóãóä
íóÈúÊóÛö ÛóíúÑó ÇáÅöÓúáÇóãö ÏöíäðÇ Ýóáóä íõÞúÈóáó ãöäúåõ æóåõæó Ýöí ÇáÂÎöÑóÉö
ãöäó ÇáúÎóÇÓöÑöíäó
"Na anayetafuta dini
isiyokuwa Uislamu haitakubaliwa kwake. Naye
Akhera atakuwa katika wenye khasara."
Aali-‘Imraan – 85
Na tunaamini kuwa
yeyote atakayedai kuwa ipo dini nyengine inayokubaliwa na
Mwenyezi Mungu isiyokuwa Islamu,
Na tunaamini kuwa
hapana tena Mtume baada ya Muhammad (Swalla Llaahu ‘alayhi wa sallam), na yeyote atakayejidai utume baada yake au akamsadiki mwenye
kujidai utume anakuwa kafir, kwa sababu anakuwa amemkadhibisha Mwenyezi Mungu
na Mtume Wake na Waislamu wote.
Na tunaamini kuwa
Mtume wa Mwenyezi Mungu (Swalla Llaahu ‘alayhi wa sallam) anao Makhalifa
waongofu waliouongoza umma baada ya kufa kwake kwa kueneza elimu na da’awah na
uongozi, na kwamba mbora wao ni Abu Bakr Asw-Swiddiyq (Radhiya Llaahu ‘anhu)
akifuatiwa na ‘Umar bin Al-Khattwaab (Radhiya Llaahu ‘anhu) kisha ‘Uthmaan bin ‘Affaan
(Radhiya Llaahu ‘anhu), kisha ‘Aliy bin Abi Twaalib (Radhiya Llaahu ‘anhu), na
huu ndio mpangilio wao katika kufadhilishwa kwao.
Na tunaamini kuwa
umma ule ndio umma bora kupita zote, na hii inatokana
na kauli yake Mwenyezi Mungu Alipowaambia:
ßõäÊõãú
ÎóíúÑó ÃõãøóÉò ÃõÎúÑöÌóÊú áöáäøóÇÓö ÊóÃúãõÑõæäó ÈöÇáúãóÚúÑõæÝö æóÊóäúåóæúäó
Úóäö ÇáúãõäßóÑö æóÊõÄúãöäõæäó ÈöÇááøåö
"Nyinyi ndio umma bora
kuliko umma zote waliodhihirishiwa watu, kwa kuwa mnaamrisha mema na mnakataza
maovu, na mnamuamini Mwenyezi Mungu."
Aali-‘Imran – 110
Na tunaamini kuwa
walio bora kupita wote ni Maswahaba (Radhiya Llaahu ‘anhum),
kisha waliokuja baada
Na tunaitakidi kuwa
yaliyotokea baina ya Maswahaba (Radhiya Llaahu anhum) katika fitna na mapambano, yanatokana na jitihada zao katika uamuzi. Wapo
waliosibu na wapo waliokosea, na
"Mwenyezi kusibu anapata ujira mara mbili, na mwenye kukosea
anapata ujira mara moja."
Na kwamba Mwenyezi Mungu
Atawasamehe makosa
Mwenyezi Mungu
Anasema:
áÇ
íóÓúÊóæöí ãöäßõã ãøóäú ÃóäÝóÞó ãöä ÞóÈúáö ÇáúÝóÊúÍö æóÞóÇÊóáó ÃõæúáóÆößó
ÃóÚúÙóãõ ÏóÑóÌóÉð ãøöäó ÇáøóÐöíäó ÃóäÝóÞõæÇ ãöä ÈóÚúÏõ æóÞóÇÊóáõæÇ æóßõáÇ
æóÚóÏó Çááøóåõ ÇáúÍõÓúäóì
"Hawawi sawa miongoni mwenu wenye kutoa kabla ya Ushindi na wakapigana vita. Hao wana daraja kubwa zaidi kuliko wale
ambao waliotoa baadae na wakapigana. Na wote hao Mwenyezi Mungu Amewaahidia wema."
Al-Hadiyd – 10
Na Akasema:
æóÇáøóÐöíäó
ÌóÇÄõæÇ ãöä ÈóÚúÏöåöãú íóÞõæáõæäó ÑóÈøóäóÇ ÇÛúÝöÑú áóäóÇ æóáÇÎúæóÇäöäóÇ
ÇáøóÐöíäó ÓóÈóÞõæäóÇ ÈöÇáÇíãóÇäö æóáÇ ÊóÌúÚóáú Ýöí ÞõáõæÈöäóÇ ÛöáÇ áøöáøóÐöíäó
ÂãóäõæÇ ÑóÈøóäóÇ Åöäøóßó ÑóÄõæÝñ ÑøóÍöíãñ
"Na waliokuja baada
Al-Hashr – 10
Tunaamini kuwa Siku
ya Mwisho ndiyo Siku ya Qiyaamah, ambapo hapana tena siku nyingine baada yake, na siku hiyo Mwenyezi Mungu Atawafufua
waja wake kwa ajili ya kuwaingiza katika nyumba ya neema 'Peponi', au katika
nyumba ya adhabu iumizayo 'Motoni'.
Tunaamini kuwa watu
watafufuliwa baada ya baragumu kupigwa,
æóäõÝöÎó
Ýöí ÇáÕøõæÑö ÝóÕóÚöÞó ãóä Ýöí ÇáÓøóãóÇæóÇÊö æóãóä Ýöí ÇáÃÑúÖö ÅöáÇ ãóä ÔóÇÁ
Çááøóåõ Ëõãøó äõÝöÎó Ýöíåö ÃõÎúÑóì ÝóÅöÐóÇ åõã ÞöíóÇãñ íóäÙõÑõæäó
"Na litapulizwa
barugumu, wazimie waliomo mbinguni na waliomo katika ardhi, isipokuwa Aliyemtaka
Mwenyezi Mungu. Kisha litapulizwa mara nyengine. Hapo watainuka wawe wanangojea."
Az-Zumar – 68
Kisha watu
watasimamishwa mbele ya Mwenyezi Mungu wakiwa kama
siku waliyozaliwa bila viatu wala nguo (
"Watu watafufuliwa wakiwa uchi kila mmoja anamtizama
mwenzake?" Mtume (Swalla Llaahu ‘alayhi wa sallam) akamwambia: "Ewe
Aisha! mambo siku hiyo yatakuwa magumu kuliko
hivyo."
Watu hawatakuwa na wakati wa kutizamana - mambo yatakuwa magumu
Mwenyezi Mungu
Anasema:
íóæúãó
äóØúæöí ÇáÓøóãóÇÁ ßóØóíøö ÇáÓøöÌöáøö áöáúßõÊõÈö ßóãóÇ ÈóÏóÃúäóÇ Ãóæøóáó ÎóáúÞò
äøõÚöíÏõåõ æóÚúÏðÇ ÚóáóíúäóÇ ÅöäøóÇ ßõäøóÇ ÝóÇÚöáöíäó
"Siku tutakapozikunja mbingu
Al-Anbiyaa – 104
Na tunaamini kuwa
watu watapewa madaftari
Mwenyezi Mungu
Anasema:
ÝóÃóãøóÇ
ãóäú ÃõæÊöíó ßöÊóÇÈóåõ Èöíóãöíäöåö. ÝóÓóæúÝó íõÍóÇÓóÈõ ÍöÓóÇÈðÇ íóÓöíÑðÇ.
æóíóäÞóáöÈõ Åöáóì Ãóåúáöåö ãóÓúÑõæÑðÇ. æóÃóãøóÇ ãóäú ÃõæÊöíó ßöÊóÇÈóåõ æóÑóÇÁ
ÙóåúÑöåö. ÝóÓóæúÝó íóÏúÚõæ ËõÈõæÑðÇ. æóíóÕúáóì ÓóÚöíÑðÇ
"Ama atakayepewa daftari
Na ama atakayepewa daftari
Al-Inshiqaaq – 7 – 12
Na Akasema:
æóßõáøó
ÅöäÓóÇäò ÃóáúÒóãúäóÇåõ ØóÂÆöÑóåõ Ýöí ÚõäõÞöåö æóäõÎúÑöÌõ áóåõ íóæúãó
ÇáúÞöíóÇãóÉö ßöÊóÇÈðÇ íóáúÞóÇåõ ãóäÔõæÑðÇ . ÇÞúÑóÃú ßóÊóÇÈóßó ßóÝóì ÈöäóÝúÓößó
Çáúíóæúãó Úóáóíúßó ÍóÓöíÈðÇ
"Na kila mtu tumemfungia
‘amali yake shingoni mwake. Na Siku ya
Qiyaamah tutamtolea kitabu atakachokikuta kiwazi kimekunjuliwa.
Ataambiwa: Soma kitabu chako!
Nafsi yako inakutosha leo kukuhisabu."
Al-Israa- 13 – 14
Na tunaamini kuwa
mezani zitawekwa Siku ya Qiyaamah na kwamba hapana
atakayedhulumiwa.
Mwenyezi Mungu
Anasema:
Ýóãóä
íóÚúãóáú ãöËúÞóÇáó ÐóÑøóÉò ÎóíúÑðÇ íóÑóåõ. æóãóä íóÚúãóáú ãöËúÞóÇáó ÐóÑøóÉò
ÔóÑøðÇ íóÑóåõ
"Basi anayetenda chembe
ya wema, atauona! Na anayetenda chembe ya uovu atauona!."
Zilzaal – 7 – 8
Na Akasema:
Ýóãóä
ËóÞõáóÊú ãóæóÇÒöíäõåõ ÝóÃõæúáóÆößó åõãõ ÇáúãõÝúáöÍõæäó. æóãóäú ÎóÝøóÊú
ãóæóÇÒöíäõåõ ÝóÃõæúáóÆößó ÇáøóÐöíäó ÎóÓöÑõæÇ ÃóäÝõÓóåõãú Ýöí Ìóåóäøóãó
ÎóÇáöÏõæäó. ÊóáúÝóÍõ æõÌõæåóåõãõ ÇáäøóÇÑõ æóåõãú ÝöíåóÇ ßóÇáöÍõæäó
"Ama wale ambao mizani zao zitakuwa nzito, hao ndio wenye
kufanikiwa. Na wale ambao mizani zao zitakuwa nyepesi, hao
ndio walio zitia khasarani nafsi zao, na katika
Jahannamu watadumu. Moto utababua nyuso
zao, nao watakuwa na nyuso zilizokunjana."
Al-Muuminuun –
102-104
Na tunaamini kuwa ipo
Shafa’ah (msamaha) kubwa ya Mtume wa Mwenyezi Mungu
(Swalla Llaahu ‘alayhi wa sallam) atakapowaombea umma wake baada ya kupewa
idhini hiyo na Mola wake Subhaanahu wa Ta’ala, na baada ya watu kuona dhiki na
kuanza kuwaendea Manabii Nuuh kisha Ibraahiym kisha Muusa kisha ‘Iysa (Alayhimus-Salaam)
mpaka watakapoishia kwake Muhammad (Swalla Llaahu ‘alayhi wa sallam).
Na tunaamini pia kuwa
wale watakaoingia Motoni katika Waislamu (tu) nao pia wataombewa Shafa’ah
watolewe humo, na Shafa’ah hii ni kwa ajili ya Mtume wa Mwenyezi Mungu (Swalla Llaahu
‘alayhi wa sallam) na Mitume mingine na watu wema na Malaika, na tunaamini
kwamba Mwenyezi Mungu Atawatoa Motoni pia makundi kwa makundi ya Waislamu kwa
fadhila Zake tu na rehma Yake, bila hata kuombewa Shafa’ah.
Na tunaamini kuwa
Mtume wa Mwenyezi Mungu (Swalla Llaahu ‘alayhi wa
sallam) ana hodhi lake, na maji yake ni meupe kuliko maziwa na matamu kuliko
asali, na yenye harufu nzuri kuliko hal miski. Urefu wake hodhi
Waislamu watakunywa
humo, na atakayekunywa hatopata kiu tena.
Tuaamini kuwa ipo 'Swiraat'
itakayowekwa juu ya Jahannam, na watu watapita juu yake,
na kasi zao zitakuwa kiasi cha ‘amali zao. Wapo watakaopita kama
umeme, na wengine kama upepo, na wengine kama ndege, na Mtume wa Mwenyezi Mungu
(Swalla Llaahu ‘alayhi wa sallam) atakuwa juu yake huku akisema: "Ya rabbi
Sallim sallim" (Mwenyezi Mungu Salimisha Salimisha)
Na tunaamini kila
kilichokuja katika mafundisho ya Mtume (Swalla Llaahu ‘alayhi wa sallam) kuhusu
Siku hiyo pamoja na vitisho vyake - Tunamuomba
Mwenyezi Mungu Atusaidie.
Na tunaamini juu ya
Pepo na Moto, na kwamba Pepo ni nyumba ya neema Aliyowaandalia
Mwenyezi Mungu waja wake wema wamchao. Ndani yake mna yale
ambayo macho hayajapata kuyaona, wala masikio kuyasikia wala halijapata
kumpitikia mtu yeyote nafsini mwake.
Mwenyezi Mungu
Anasema:
ÝóáÇ
ÊóÚúáóãõ äóÝúÓñ ãøóÇ ÃõÎúÝöíó áóåõã ãøöä ÞõÑøóÉö ÃóÚúíõäò ÌóÒóÇÁ ÈöãóÇ ßóÇäõæÇ
íóÚúãóáõæäó
"Nafsi yoyote haijui waliyofichiwa katika hayo yanayofurahisha
macho - ni malipo ya yale waliyo kuwa
wakiyatenda."
As-Sajdah – 17
Na Moto ni nyumba ya adhabu Aliyoitayarisha Mwenyezi Mungu Subhaanahu
wa Ta’ala kwa ajili ya makafiri madhalimu. Ndani yake mna
kila aina ya adhabu ambazo hazijapata kumpitikia mtu yeyote nafsini mwake.
Mwenyezi Mungu Anasema:
æóÅöä
íóÓúÊóÛöíËõæÇ íõÛóÇËõæÇ ÈöãóÇÁ ßóÇáúãõåúáö íóÔúæöí ÇáúæõÌõæåó ÈöÆúÓó ÇáÔøóÑóÇÈõ
æóÓóÇÁÊú ãõÑúÊóÝóÞðÇ
"Na wakiomba msaada watasaidiwa kwa
kupewa maji
Al-Kahf – 29
Na Akasema:
Åöäøó
Çááøóåó áóÚóäó ÇáúßóÇÝöÑöíäó æóÃóÚóÏøó áóåõãú ÓóÚöíÑðÇ. ÎóÇáöÏöíäó ÝöíåóÇ
ÃóÈóÏðÇ áÇ íóÌöÏõæäó æóáöíøðÇ æóáÇ äóÕöíÑðÇ. íóæúãó ÊõÞóáøóÈõ æõÌõæåõåõãú Ýöí
ÇáäøóÇÑö íóÞõæáõæäó íóÇ áóíúÊóäóÇ ÃóØóÚúäóÇ Çááøóåó æóÃóØóÚúäóÇ ÇáÑøóÓõæáÇ
"Hakika Mwenyezi Mungu Amewalaani makafiri na
Amewaandalia Moto unaowaka kwa nguvu. Watadumu
humo milele. Hawampati mlinzi wala wa
kuwanusuru. Siku ambayo nyuso zao
zitapinduliwa pinduliwa katika Moto. Watasema: Laiti tungelimtii
Mwenyezi Mungu, na tungelimtii Mtume!"
Al-Ahzaab – 64 – 66
Na tunaamini juu ya
mtihani wa kaburini, wakati mtu atakapoulizwa nani
Mola wake na ipi dini yake na yupi Mtume wake.
Mwenyezi Mungu
Anasema:
íõËóÈøöÊõ
Çááøåõ ÇáøóÐöíäó ÂãóäõæÇú ÈöÇáúÞóæúáö ÇáËøóÇÈöÊö Ýöí ÇáúÍóíóÇÉö ÇáÏøõäúíóÇ
æóÝöí ÇáÂÎöÑóÉö
"Mwenyezi Mungu Huwatia imara wenye kuamini kwa
kauli imara katika maisha ya dunia na katika Akhera."
Ibraahiym – 27
Na
tunaamini juu ya neema za kaburini.
Mwenyezi Mungu
Anasema:
ÇáøóÐöíäó
ÊóÊóæóÝøóÇåõãõ ÇáúãóáÂÆößóÉõ ØóíøöÈöíäó íóÞõæáõæäó ÓóáÇãñ Úóáóíúßõãõ ÇÏúÎõáõæÇú
ÇáúÌóäøóÉó ÈöãóÇ ßõäÊõãú ÊóÚúãóáõæäó
"Wale ambao Malaika
huwafisha katika hali njema, wanawaambia: Amani iwe juu yenu! Ingieni
Peponi kwa sababu ya yale mliyokuwa mkiyatenda."
An-Nahl – 32
Na tunaamini juu ya
adhabu ya kaburini kwa madhalimu na makafiri.
Mwenyezi Mungu
Anasema:
æóáóæú
ÊóÑóì ÅöÐö ÇáÙøóÇáöãõæäó Ýöí ÛóãóÑóÇÊö ÇáúãóæúÊö æóÇáúãóáÂÆößóÉõ ÈóÇÓöØõæÇú
ÃóíúÏöíåöãú ÃóÎúÑöÌõæÇú ÃóäÝõÓóßõãõ Çáúíóæúãó ÊõÌúÒóæúäó ÚóÐóÇÈó Çáúåõæäö ÈöãóÇ
ßõäÊõãú ÊóÞõæáõæäó Úóáóì Çááøåö ÛóíúÑó ÇáúÍóÞøö æóßõäÊõãú Úóäú ÂíóÇÊöåö ÊóÓúÊóßúÈöÑõæäó
"Na lau ungeliwaona madhaalimu wanavyokuwa katika mahangaiko ya
mauti, na Malaika wamewanyooshea mikono wakiwambia:
Zitoeni roho zenu! Leo mtalipwa adhabu ya fedheha kwa
sababu ya mliyokuwa mkiyasema juu ya Mwenyezi Mungu yasiyo ya haki, na mlivyokuwa
mkizifanyia kiburi Ishara Zake."
Al-An’aam – 93
Katika mlango huu
zipo Hadiyth nyingi zilizo sahihi, na kila Muislamu anatakiwa aamini yote
yaliyomo ndani ya Qur-aan na ndani ya Sunnah (Mafundisho ya Mtume wa Mwenyezi
Mungu (Swalla Llaahu ‘alayhi wa sallam) yanayohusu mambo ya ghaibu na wala asiyakatae
kwa sababu hayalingani na mambo yanayotendeka duniani, kwani ya Akhera
hayakisiwi na haya ya duniani kutokana na hitilafu kubwa sana iliyopo baina ya
mawili hayo – WaLlaahu l Musta’aan.
Tunaamini juu ya Qadar
(kudra – majaliwa - yale yaliyokwisha andikwa) kheri
yake na shari yake kuwa yote yamekwisha andikwa na yote yanatokana na Mwenyezi
Mungu na kwamba kisha waqadiria waja wake kwa elimu yake iliyokienea kila kitu.
Na Qadar imegawika
sehemu nne.
1. Ujuzi: Tunaamini kuwa Mwenyezi Mungu ni Ujuzi wa kila kitu, Anajua kilichotokea na
kitakachotokea na namna inavyotokea, na hii inatokana na elimu yake isiyo na
mwanzo wala mwisho ilichokienea kila kitu. Hakitokei kipya ikawa Mwenyezi Mungu
Hakuwa na elimu nacho, na tunaamini kuwa Mwenyezi
Mungu hasahau.
2. Maandishi: Tunaamini kuwa Mwenyezi Mungu Ameandika
katika ubao wa Lawh al-Mahfuudh yote yaliyotokea na
yatakayotokea mpaka siku ya Qiyaamah.
Mwenyezi Mungu Anasema:
Ãóáóãú ÊóÚúáóãú Ãóäøó
Çááøóåó íóÚúáóãõ ãóÇ Ýöí ÇáÓøóãóÇÁ æóÇáÇóÑúÖö Åöäøó Ðóáößó Ýöí ßöÊóÇÈò Åöäøó
Ðóáößó Úóáóì Çááøóåö íóÓöíÑñ
"Je! Hujui kwamba Mwenyezi Mungu
Anayajua yaliyomo mbinguni na katika ardhi? Hakika hayo yamo Kitabuni. Hakika
(kuyadhibiti) hayo kwa Mwenyezi Mungu ni mepesi."
Al-Hajj – 70
3. Kutaka: Tunaamini kuwa Mwenyezi Mungu Ametaka
kiwepo kila kilicho mbinguni na ardhini, kwani hakiwezi
kuwepo kitu chochote bila Yeye kutaka kiwepo. Anachokitaka kinakuwa na Asichokitaka hakiwi.
4. Kuumba: Tunaamini kuwa Mwenyezi
Mungu ndiye Aliyeumba kila kitu.
Mwenyezi Mungu Anasema:
áóåõ ãóÞóÇáöíÏõ
ÇáÓøóãóÇæóÇÊö æóÇáÃÑúÖö æóÇáøóÐöíäó ßóÝóÑõæÇ ÈöÂíóÇÊö Çááøóåö ÃõæúáóÆößó åõãõ
ÇáúÎóÇÓöÑõæäó
"Mwenyezi Mungu ndiye
Muumba wa kila kitu, na Yeye ndiye Mlinzi juu ya kila
kitu. Yeye Anazo funguo za mbingu na
ardhi."
Kutaka kwa Mwenyezi Mungu
Na sehemu hii ya tatu
imekusanya kutaka kwa Mwenyezi Mungu Subhaanahu wa Ta’ala
na kutaka kwa viumbe Vyake, kwa sababu Mwenyezi Mungu Anakijuwa kila
kinachotendwa na waja Wake, na kwamba Yeye mwenyewe Ametaka kiwepo, ama sivyo
kisingewezekana kutendeka.
Mwenyezi Mungu
Anasema:
áöãóä ÔóÇÁ
ãöäßõãú Ãóä íóÓúÊóÞöíãó. æóãóÇ ÊóÔóÇÄõæäó ÅöáÇ Ãóä íóÔóÇÁ Çááøóåõ ÑóÈøõ
ÇáúÚóÇáóãöíäó
"Kwa yule miongoni mwenu anayetaka kwenda sawa. Wala nyinyi hamtataka isipokuwa Atake Mwenyezi
Mungu Mola wa walimwengu wote."
At-Takwiyr – 28 – 29
Na Akasema:
æóáóæú ÔóÇÁ Çááøåõ ãóÇ ÇÞúÊóÊóáõæÇú æóáóÜßöäøó
Çááøåó íóÝúÚóáõ ãóÇ íõÑöíÏõ
"Na lau kuwa Mwenyezi Mungu Alipenda wasingelipigana. Lakini Mwenyezi Mungu Hutenda atakavyo."
Al Baqarah – 253
Na Akasema:
æóáóæú
ÔóÇÁ ÑóÈøõßó ãóÇ ÝóÚóáõæåõ ÝóÐóÑúåõãú æóãóÇ íóÝúÊóÑõæäó
"Na lau kuwa Mwenyezi
Mungu Angelipenda wasingefanya hayo. Basi
waache na hayo wanayoyazua."
Al-An’aam – 112
Lakini juu ya yote
hayo, tunaamini pia kuwa Mwenyezi Mungu Amempa mwanaadamu uhuru wa kuamua na Akampa uwezo wa kutenda. Na ufuatao ni ushahidi kuwa mwanaadamu amepewa uwezo huo.
Mwenyezi Mungu
Anasema:
ÝóÃúÊõæÇú
ÍóÑúËóßõãú Ãóäøóì ÔöÆúÊõãú
"Basi ziendeeni konde
zenu mpendavyo.'
Al-Baqarah – 223
Na Akasema:
æóáóæú
ÃóÑóÇÏõæÇú ÇáúÎõÑõæÌó áÃóÚóÏøõæÇú áóåõ ÚõÏøóÉð
"Na ingelikuwa kweli
walitaka kutoka bila ya shaka wangelijiandalia maandalio."
At-Tawbah – 46
Kwa hivyo Mwenyezi
Mungu Amempa mwanaadamu uwezo wa kutaka, kuamua na wa
kwenda atakapo na kujiandalia atakavyo.
Pili, kule kuamrishwa
kufanya mema na kukatazwa kufanya mabaya ni dalili
kuwa mwanaadamu anao uwezo wa kufanya atakalo, maana
Mwenyezi Mungu
Anasema:
áÇó
íõßóáøöÝõ Çááøåõ äóÝúÓðÇ ÅöáÇøó æõÓúÚóåóÇ
"Mwenyezi Mungu Haikalifishi
nafsi yoyote ila kwa kadiri iwezavyo."
Al-Baqarah - 286
Tatu, Mwenyezi Mungu Anamsifia
Atendaye mema kwa wema wake, na Anamlaumu atendaye ovu
kwa ovu lake. Mwanaadamu asingekuwa na uwezo wa
kutenda atakalo basi pasingekuwa na haja ya kumsifia mwema wala kumlaumu muovu
kwa sababu huko ni kumpa mtu sifa asiyoistahiki.
Nne, Mwenyezi Mungu Ameleta
Mitume.
Mwenyezi Mungu
Anasema:
ÑøõÓõáÇð
ãøõÈóÔøöÑöíäó æóãõäÐöÑöíäó áöÆóáÇøó íóßõæäó áöáäøóÇÓö Úóáóì Çááøåö ÍõÌøóÉñ
ÈóÚúÏó ÇáÑøõÓõáö
"Mitume hao ni wabashiri na waonyaji,
ili watu wasiwe na hoja juu ya Mwenyezi Mungu baada ya kuletewa Mitume."
An-Nisaa – 165
Yangelikuwa matendo
ya watu hayafanyiki kwa uwezo wao na uchaguzi wao,
hoja
Tano, kila mtu anapotenda jambo huhisi kuwa ametenda au ameacha kutenda. Utamuona anaposimama, anapokaa, anapoingia, anapotoka, anaposafiri, anapolala. Anapotenda lolote katika haya hufanya kama anavyotaka na wala hahisi kama yupo yeyote anayemlazimisha kufanya hayo, bali anaiona tofauti iliyopo anapofanya jambo kwa hiari yake mwenywe na anapolazimishwa, na hata shari’ah inatofautisha pale mtu anapofanya jamb