|
Ahlus Sunnah na Ahlul Bayt
Mmoja katika wana falsafa wa zamani
alisema:
“Haki yote haiwezi kumilikiwa na upande
mmoja, wala makosa yote hayawezi kuwepo upande mwingine, bali kila upande
husibu sehemu yake. Mfano wa kundi la vipofu waliopelekwa mbele ya tembo wakatakiwa
wamguse mwili wake, kisha kila mmoja,
Endelea |
ADUWI
Mola
mwenye kumiliki
Mayahudi wahiliki
watoweke wasibaki
Penye uso wa duniya
hawa wasio na haya
waovu tena wabaya
Aduwi wa insaniya na asuwi
wako piya
nchi wanaiunguza
roho wanaangamiza
nyumba wanateketeza Ghaza inaangamiya
Endelea |
|
Itikadi yetu juu ya Qur'ani
Imam
Shafi (Rahimahu Llah) alipoletwa mbele ya Khalifa Haarun Al
Rashiyd baada ya kusingiziwa uongo na gavana aliyekuwa
akitawala Yemen wakati ule, aliletwa akiwa amefungwa
minyororo mpaka shingoni
Baada ya kuulizwa masuali mengi na Khalifa huyo akamtaka aelezee
nini anachokijuwa juu ya Elimu ya
Baada ya kuulizwa masuali mengi
Endelea |
Aya Zilizodhulumiwa
Nimeamua kutafsiri
baadhi ya maudhui muhimu yaliyomo ndani ya kitabu hiki (juu
ya kuwa yote yaliyomo ni muhimu) kwa sababu ya kukithiri kufahamika
vibaya maana ya nyingi kati ya aya za Qur-aan tukufu kutokana
na ujinga uliokithiri kati ya Waislamu hasa katika wakati
wetu huu, na muhimu zaidi ni kuwa nyingi kati ya aya zilizofahamika
vibaya ni zile za misingi katika dini, na kwa
Endelea |
|
Aly na Ummu Kulthum
Kisa cha Umar (Radhiya Llahu anhu)
kunyanyua nguo ya Ummu Kulthum bint Aly (Radhiya Llahu anhu)
wakati wa kuposa na udhaifu wa Isnadi yake:-
Anasema Al Sheikh Abdul Rahman
Al Sahiym:
Imeelezwa na Saeed bin Mansur katika
Sunan yake kwa njia ya Sufiyan bin Amru Endelea |
Itikadi
ya Ahlus Sunnah
Aqida ya Ahlus
Sunnah ni sahili na nyepesi, haina tabu kufahamika wala haina
mikanganyo. Haina tabu kuisherehesha. Bali inafahamika na
mtu wa kawaida kama inavyofahamika na mtaalamu. Mtu yeyote
anaweza kuifahamu kwa wepesi kabisa..
Endelea |