Ahlus Sunnah na Ahlul Bayt

Mmoja katika wana falsafa wa zamani alisema:

“Haki yote haiwezi kumilikiwa na upande mmoja, wala makosa yote hayawezi kuwepo upande mwingine, bali kila upande husibu sehemu yake. Mfano wa kundi la vipofu waliopelekwa mbele ya tembo wakatakiwa wamguse mwili wake, kisha kila mmoja,  Endelea

ADUWI

 Mola mwenye kumiliki    Mayahudi wahiliki

watoweke wasibaki          Penye uso wa duniya

hawa wasio na haya        waovu tena wabaya

Aduwi wa insaniya          na asuwi wako piya
nchi wanaiunguza            roho wanaangamiza
nyumba wanateketeza     Ghaza inaangamiya
Endelea

 

Itikadi yetu juu ya Qur'ani

Imam Shafi (Rahimahu Llah) alipoletwa mbele ya Khalifa Haarun Al Rashiyd baada ya kusingiziwa uongo na gavana aliyekuwa akitawala Yemen wakati ule, aliletwa akiwa amefungwa minyororo mpaka shingoni 

Baada ya kuulizwa masuali mengi na Khalifa huyo akamtaka aelezee nini anachokijuwa juu ya Elimu ya

Baada ya kuulizwa masuali mengi   Endelea

 

Aya Zilizodhulumiwa

Nimeamua kutafsiri baadhi ya maudhui muhimu yaliyomo ndani ya kitabu hiki (juu ya kuwa yote yaliyomo ni muhimu) kwa sababu ya kukithiri kufahamika vibaya maana ya nyingi kati ya aya za Qur-aan tukufu kutokana na ujinga uliokithiri kati ya Waislamu hasa katika wakati wetu huu, na muhimu zaidi ni kuwa nyingi kati ya aya zilizofahamika vibaya ni zile za misingi katika dini, na kwa  Endelea

 

Aly na Ummu Kulthum

Kisa cha Umar (Radhiya Llahu anhu) kunyanyua nguo ya Ummu Kulthum bint Aly (Radhiya Llahu anhu) wakati wa kuposa na udhaifu wa Isnadi yake:-

Anasema Al Sheikh Abdul Rahman Al Sahiym:

Imeelezwa na Saeed bin Mansur katika Sunan yake kwa njia ya Sufiyan bin Amru       Endelea

 

Itikadi ya Ahlus Sunnah

Aqida ya Ahlus Sunnah ni sahili na nyepesi, haina tabu kufahamika wala haina mikanganyo. Haina tabu kuisherehesha. Bali inafahamika na mtu wa kawaida kama inavyofahamika na mtaalamu. Mtu yeyote anaweza kuifahamu kwa wepesi kabisa..  Endelea

     
 

Wewe ni mgeni wa http://counter.digits.com/wc/-d/4/mawaidhakuzuru sahifa hizi