|
Upambaji wa
Ibilisi
Siku
ile alipofukuzwa Peponi na kutolewa katika rehma ya Mwenyezi Mungu, Ibilisi
aliapa kuwa atazifisidi ibada za wanadamu na kuwakalia juu ya kila njia iliyonyoka...Endelea
|
|
Mtume
wa Mwenyezi Mungu (Swallah Llahu alayhi wa sallam) alikuwa mwanzo wa hutuba
zake akitamka maneno haya: "Na shari ya mambo
ni kuzuwa mepya (katika dini), na kila uzushi ni Bid’ah na kila Bid’ah ni
upotovu na kila upotovu mahali pake ni Motoni..Endelea |
|
MAKABURI MSIKITINI
Kuna baadhi ya kauli zilizotolewa na baadhi ya watu kuwa Haajar na baadhi ya Mitume
(‘Alayhimus Salaam) wamezikwa ndani ya Msikiti wa Makkah, na kwamba maneno hayo
yameandikwa katika vitabu vya historia.Bila
shaka yoyote mwenye hoja hii anaelewa wazi kabisa kuwa waandishi wa historia
hawajiwekea shuruti za usahihi wa hadithi zao...Endelea
|
|
Makosa ndani ya Swala
Utulivu (Tumaaniyna)
ni nguzo muhimu sana katika nguzo za Swala, na bila ya utulivu
Swala haiwi kamilifu.
Siku moja Mtume wa Mwenyezi Mungu (Swalla Llahu alayhi wa sallam)
alikuwa amekaa msikitini, akaingia mtu mmoja na kuswali. Baada
ya kumaliza akainuka na kwenda kumsalimia...Endelea
|