|
Ahlus Sunnah na Ahlul Bayt
Mmoja katika wana falsafa wa zamani
alisema:
“Haki yote haiwezi kumilikiwa na upande
mmoja, wala makosa yote hayawezi kuwepo upande mwingine, bali kila upande
husibu sehemu yake. Mfano wa kundi la vipofu waliopelekwa mbele ya tembo wakatakiwa
wamguse mwili wake, kisha kila mmoja,
Endelea |
Daraja ya Sunnah
Qurani tukufu
ni asili ya mwanzo ya utungaji wa sheria katika Uislam, na
hii ni kwa sababu Qurani ni maneno ya Mwenyezi Mungu aliyomteremshia
Mtume wake Muhammad (Swallah Llahu alayhi wa sallam) kupitia
kwa Malaika Mwaminifu Jibril (Alayhi ssalaam).
Endelea |
|
Kwanini AbuHurairah?
Haider:
Katika mazungumzo yaliyopita ulitaka tuzungumze juu
ya uadilifu wa Masahaba, ukasema kuwa watu hawa hawasemi uongo.
Utasemaji nikikuuliza juu ya Sahaba ambaye zimepokelewa kutoka
kwake hadithi nyingi kupita kiasi. Kupita hata uwezo wake?
Khalid: Kama kwamba unataka tuzungumze juu ya hadithi za Mtume . Endelea |
Aya Zilizodhulumiwa
Nimeamua kutafsiri
baadhi ya maudhui muhimu yaliyomo ndani ya kitabu hiki (juu
ya kuwa yote yaliyomo ni muhimu) kwa sababu ya kukithiri kufahamika
vibaya maana ya nyingi kati ya aya za Qur-aan tukufu kutokana
na ujinga uliokithiri kati ya Waislamu hasa katika wakati
wetu huu, na muhimu zaidi ni kuwa nyingi kati ya aya zilizofahamika
vibaya ni zile za misingi katika dini, na kwa
Endelea |
|
Aly na Ummu Kulthum
Kisa cha Umar (Radhiya Llahu anhu)
kunyanyua nguo ya Ummu Kulthum bint Aly (Radhiya Llahu anhu)
wakati wa kuposa na udhaifu wa Isnadi yake:-
Anasema Al Sheikh Abdul Rahman
Al Sahiym:
Imeelezwa na Saeed bin Mansur katika
Sunan yake kwa njia ya Sufiyan bin Amru Endelea |
Itikadi
ya Ahlus Sunnah
Aqida ya Ahlus
Sunnah ni sahili na nyepesi, haina tabu kufahamika wala haina
mikanganyo. Haina tabu kuisherehesha. Bali inafahamika na
mtu wa kawaida kama inavyofahamika na mtaalamu. Mtu yeyote
anaweza kuifahamu kwa wepesi kabisa..
Endelea |