Mtandao Mawaidha.info

Mapenzi ya Ahli Sunnah juu ya Ahlil Bayt

Watu wa nyumba ya Mtume wa Mwenyezi Mungu

(Swallah Llahu alayhi wa sallam)

 

 

 

 

 

Mafunzo Kutoka Katika Hijrah

Ndugu zangu Waislam, kalenda ya Hijri (Kalenda ya Kiislam) imeanza, na kwa ajili hiyo tutajikumbusha kidogo juu ya umuhimu wa siku hizi kwa ajili ya kuelewa umuhimu wake na kwa ajili ya kujifunza angalau machache juu ya Hijrah ya Mtume wetu mtukufu Muhammad (Swalla Llaahu ‘alayhi wa sallam) pamoja na Maswahaba wake watukufu (Radhiya Llaahu ‘anhu)...Endelea

 

 

Funga Ya ‘Ashuraa

Baina Ya Wenye Kupinga

Na Wenye Kuunga Mkono

Tukio la ‘Ashuraa ni tukio muhimu sana kwa walimwengu wote kutoka wakati wa Mtume wa Mwenyezi Mungu Muusa (‘Alayhi swalaatu was-salaam) hadi wakati wa Mtume wetu Muhammad (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam)....Endelea

MAKABURI MSIKITINI

Kuna baadhi ya kauli zilizotolewa na baadhi ya watu kuwa Haajar na baadhi ya Mitume (‘Alayhimus Salaam) wamezikwa ndani ya Msikiti wa Makkah, na kwamba maneno hayo yameandikwa katika vitabu vya historia.Bila shaka yoyote mwenye hoja hii anaelewa wazi kabisa kuwa waandishi wa historia hawajiwekea shuruti za usahihi wa hadithi zao...Endelea

 

 

Al Husayn (Radhya Llahu anhu)

Jina lake ni Al-Husayn bin Ali bin Abi Talib bin Abdul Muttalib bin Hashim bin Manaf bin Qusay kutoka katika kabila la Kikureshi tumbo la Bani Hashim, na umaarufu wake ni; 'Abu Abdullah' na maana yake ni Baba yake Abdullah.

Al-Husayn (Radhiya Llahu anhu) ni mjukuu wa Mtume wa Mwenyezi Mungu (Swallah Llahu alayhi wa Sallam) na kipenzi chake, Endelea

 

"Yaa Allah"

Unapokuwa ndani ya chombo chako cha baharini ukakumbana na upepo mkali, dhoruba na mawimbi makubwa ya kutisha, usiingiwe na hofu, kumbuka kuwa yupo anayekuona na kukusikia, sema... Endelea

 

Makosa ndani ya Swala

Utulivu (Tumaaniyna) ni nguzo muhimu sana katika nguzo za Swala, na bila ya utulivu Swala haiwi kamilifu.
Siku moja Mtume wa Mwenyezi Mungu (Swalla Llahu alayhi wa sallam) alikuwa amekaa msikitini, akaingia mtu mmoja na kuswali. Baada ya kumaliza akainuka na kwenda kumsalimia...
Endelea

 

 

Mapishi

 
     
 
Uadilifu wa Masahaba

Wewe ni mgeni wa http://counter.digits.com/wc/-d/4/mawaidhakuzuru sahifa hizi

Wito kwa Shia wenye akili

Adabu na Tabia njema

Maulamaa wetu

Sunnah na Bid'ah

Nani Aliyekunja uso

Ukiyaonja Mapenzi (shairi)

Nasaha za Arusi - Shairi

 
 

Locations of visitors to this page