Ahlus Sunnah na Ahlul Bayt

Mmoja katika wana falsafa wa zamani alisema:

“Haki yote haiwezi kumilikiwa na upande mmoja, wala makosa yote hayawezi kuwepo upande mwingine, bali kila upande husibu sehemu yake. Mfano wa kundi la vipofu waliopelekwa mbele ya tembo wakatakiwa wamguse mwili wake, kisha kila mmoja,  Endelea

Makosa ndani ya Swala

Utulivu ni nguzo muhimu sana katika nguzo za Swala, na bila ya utulivu Swala haiwi kamilifu. Siku moja

Mtume wa Mwenyezi Mungu (Swalla Llahu alayhi wa sallam) alikuwa amekaa msikitini, akaingia mtu mmoja na kuswali. Baada ya kumaliza akainuka na kwenda kumsalimia Mtume wa Mwenyezi Mungu..Endelea

 

 Itikadi yetu juu ya Qur'ani

Imam Shafi (Rahimahu Llah) alipoletwa mbele ya Khalifa Haarun Al Rashiyd baada ya kusingiziwa uongo na gavana aliyekuwa akitawala Yemen wakati ule, aliletwa akiwa amefungwa minyororo mpaka shingoni 

Baada ya kuulizwa masuali mengi na Khalifa huyo akamtaka aelezee nini anachokijuwa juu ya Elimu ya

Baada ya kuulizwa masuali mengi   Endelea

Aya Zilizodhulumiwa

Nimeamua kutafsiri baadhi ya maudhui muhimu yaliyomo ndani ya kitabu hiki (juu ya kuwa yote yaliyomo ni muhimu) kwa sababu ya kukithiri kufahamika vibaya maana ya nyingi kati ya aya za Qur-aan tukufu kutokana na ujinga uliokithiri kati ya Waislamu hasa katika wakati wetu huu, na muhimu zaidi ni kuwa nyingi kati ya aya zilizofahamika vibaya ni zile za misingi katika dini, na kwa  Endelea

 

Aly na Ummu Kulthum

Kisa cha Umar (Radhiya Llahu anhu) kunyanyua nguo ya Ummu Kulthum bint Aly (Radhiya Llahu anhu) wakati wa kuposa na udhaifu wa Isnadi yake:-

Anasema Al Sheikh Abdul Rahman Al Sahiym:

Imeelezwa na Saeed bin Mansur katika Sunan yake kwa njia ya Sufiyan bin Amru       Endelea

 Itikadi ya Ahlus Sunnah

Aqida ya Ahlus Sunnah ni sahili na nyepesi, haina tabu kufahamika wala haina mikanganyo. Haina tabu kuisherehesha. Bali inafahamika na mtu wa kawaida kama inavyofahamika na mtaalamu. Mtu yeyote anaweza kuifahamu kwa wepesi kabisa..Vitabu vyao vya Hadithi kama vile Bukhari na Muslim na vingine, pamoja na mafundisho ya a  Endelea

 

Ghiyba

Kusudi la kuandika makala haya lilikuwa ni kuandika maudhui ya Ghiyba (kusengenya), kwani hayo ni maradhi yaliyoukumba umma, na wengi hawafahamu hatari yake na namna yanavyoweza kumpotezea mtu thawabu zake zote alizochuma kwa tabu ya kukesha huku akiswali na kufunga na kutoa sadaka na kusoma Qurani nk.     Endelea

 

 Subhana Llah

Tunapotufu, tunaizunguka Al Kaaba kuanzia jiwe jeusi tukiliwacha upande wetu wa kushoto, na maana yake ni kuwa; tunaizunguka kwa njia hiyo mara saba kinyume na mishale (mikono) ya s (anti clockwise).

Wataalamu wa sayansi wanasema kuwa kila chembe ya atomi (atom), ambazo ni viduchu vya kila kitu, ndani yake mna electrons,    Endelea

       
 
Uadilifu wa Masahaba

Wewe ni mgeni wa http://counter.digits.com/wc/-d/4/mawaidhakuzuru sahifa hizi

Adabu na Tabia Njema

Nasaha za Arusi - Shairi

Maulamaa wetu

Sunnah na Bid'ah