Ahlus Sunnah na Ahlul Bayt

Mmoja katika wana falsafa wa zamani alisema:

“Haki yote haiwezi kumilikiwa na upande mmoja, wala makosa yote hayawezi kuwepo upande mwingine, bali kila upande husibu sehemu yake. Mfano wa kundi la vipofu waliopelekwa mbele ya tembo wakatakiwa wamguse mwili wake, kisha kila mmoja,  Endelea

Daraja ya Sunnah

Qurani tukufu ni asili ya mwanzo ya utungaji wa sheria katika Uislam, na hii ni kwa sababu Qurani ni maneno ya Mwenyezi Mungu aliyomteremshia Mtume wake Muhammad (Swallah Llahu alayhi wa sallam) kupitia kwa Malaika Mwaminifu Jibril (Alayhi ssalaam).      Endelea

 

Kwanini AbuHurairah?

Haider:  Katika mazungumzo yaliyopita ulitaka tuzungumze juu ya uadilifu wa Masahaba, ukasema kuwa watu hawa hawasemi uongo. Utasemaji nikikuuliza juu ya Sahaba ambaye zimepokelewa kutoka kwake hadithi nyingi kupita kiasi. Kupita hata uwezo wake?

Khalid:  Kama kwamba unataka tuzungumze juu ya hadithi za Mtume .  Endelea

 

Aya Zilizodhulumiwa

Nimeamua kutafsiri baadhi ya maudhui muhimu yaliyomo ndani ya kitabu hiki (juu ya kuwa yote yaliyomo ni muhimu) kwa sababu ya kukithiri kufahamika vibaya maana ya nyingi kati ya aya za Qur-aan tukufu kutokana na ujinga uliokithiri kati ya Waislamu hasa katika wakati wetu huu, na muhimu zaidi ni kuwa nyingi kati ya aya zilizofahamika vibaya ni zile za misingi katika dini, na kwa  Endelea

 

Aly na Ummu Kulthum

Kisa cha Umar (Radhiya Llahu anhu) kunyanyua nguo ya Ummu Kulthum bint Aly (Radhiya Llahu anhu) wakati wa kuposa na udhaifu wa Isnadi yake:-

Anasema Al Sheikh Abdul Rahman Al Sahiym:

Imeelezwa na Saeed bin Mansur katika Sunan yake kwa njia ya Sufiyan bin Amru       Endelea

 

Itikadi ya Ahlus Sunnah

Aqida ya Ahlus Sunnah ni sahili na nyepesi, haina tabu kufahamika wala haina mikanganyo. Haina tabu kuisherehesha. Bali inafahamika na mtu wa kawaida kama inavyofahamika na mtaalamu. Mtu yeyote anaweza kuifahamu kwa wepesi kabisa..  Endelea

Wewe ni mgeni wa http://counter.digits.com/wc/-d/4/mawaidhakuzuru sahifa hizi