Mtandao Mawaidha.info

 

 

 

 Kujifananisha Na Makafiri

 Katika mambo yanayosikitisha sana wakati huu ni kule vijana wetu kuzama na kupotea kabisa kwa     kuwaigiza makafiri katika kila nyanja za maisha yao.

Vijana wa Kiislamu, wengi wao wameipoteza tabia yao , wamekipoteza kitambulisho chao , kama kwamba wanaona haya kusema " Mimi ni Mwislamu". Endelea...

   

Khitmah

Khitmah kilugha ni kuihitimisha Qur-aan nzima; kuisoma Qur-aan kuanzia mwanzo wake sura namba moja yaani Suratul Faatihah (Alhamdu) hadi mwisho wake ambayo ni sura namba 114 yaani Suratun Naas (Qul A'udhu birabbin Naas). Endelea...

 

 

Vipi unamuasi?

Mtu mmoja alikwenda kwa Sheikh Ibrahim Al Ad-ham mmoja kati ya maulamaa wakubwa wa wakati wake. Akamuambia:

"Tafadhali niwaidhi maana nafsi yangu inanitaka nifanye maasi."Endelea...

 

 

Waliojificha Nyuma Ya Pazia La Karbala

Tunamshukuru Mwenyezi Mungu (Subhaanahu wa taala), kutujaalia uhai na fursa hii ya kuweza kuandika tukio hili ambalo limekuwa likisimuliwa kwa mtazamo wa uadui na chuki.  Kuzungumzia kisa cha Karbala kumekuwa ni mila na msingi mkubwa katika imani ya Kishia. Michezo ya kuigiza, makala na mashairi yanayoandikwa kuhusu Kifo cha Sayyidna Al-Husayn (Radhiya Llaahu ‘anhu)..Endelea

 

 

 


 

MIEZI MITUKUFU

Mwezi wa Dhul Hijja ni katika miezi iliyotukuzwa na Mwenyezi Mungu Subhanahu wa Taala.

Mwenyezi Mungu anasema...Endelea

 

 

 

Hii ndiyo itikadi sahihi ya Kiislamu

Hakika Mwenyezi Mungu amemtuma Mtume wake Muhammad (Swalla Llaahu ‘alayhi wa sallam) awe dalili iliyo wazi  juu ya waja wake, na awabainishie yale aliyoteremshiwa katika Kitabu, na awe mfano mwema wa kuigwa na walimwengu wote, na ili watu wapate kuwa na muongozo mwema katika dini yao na dunia yao.

Ametumwa kutufundisha itikadi sahihi pamoja na hekima kwa ajili ya kutengenea hali ya umati wake, na pia kuwaweka juu ya njia safi na sahihi,.....Endelea

 

 

 

Mapishi

 
Uadilifu wa Masahaba

Wewe ni mgeni wa http://counter.digits.com/wc/-d/4/mawaidhakuzuru sahifa hizi

Wito kwa Shia wenye akili

Adabu na Tabia njema

Maulamaa wetu

Sunnah na Bid'ah

Nani Aliyekunja uso

Ukiyaonja Mapenzi (shairi)

Nasaha za Arusi - Shairi

 

 

 
 

Locations of visitors to this page