|

Watu wa nyumba ya Mtume wa Mwenyezi Mungu
(Swallah Llahu alayhi wa sallam)
|
|

|
|
Mafunzo Kutoka Katika Hijrah
Ndugu
zangu Waislam, kalenda ya Hijri (Kalenda ya Kiislam) imeanza, na kwa ajili hiyo tutajikumbusha kidogo juu ya umuhimu wa
siku hizi kwa ajili ya kuelewa umuhimu wake na kwa ajili ya kujifunza angalau
machache juu ya Hijrah ya Mtume wetu mtukufu Muhammad (Swalla Llaahu ‘alayhi wa
sallam) pamoja na Maswahaba wake watukufu (Radhiya Llaahu ‘anhu)...Endelea
|
|
Funga Ya ‘Ashuraa
Baina Ya Wenye Kupinga
Na Wenye Kuunga Mkono
Tukio
la ‘Ashuraa ni tukio muhimu sana kwa walimwengu wote kutoka wakati wa Mtume wa Mwenyezi Mungu Muusa (‘Alayhi swalaatu was-salaam) hadi wakati wa Mtume wetu Muhammad (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam)....Endelea
|
|
MAKABURI MSIKITINI
Kuna baadhi ya kauli zilizotolewa na baadhi ya watu kuwa Haajar na baadhi ya Mitume
(‘Alayhimus Salaam) wamezikwa ndani ya Msikiti wa Makkah, na kwamba maneno hayo
yameandikwa katika vitabu vya historia.Bila
shaka yoyote mwenye hoja hii anaelewa wazi kabisa kuwa waandishi wa historia
hawajiwekea shuruti za usahihi wa hadithi zao...Endelea
|
|
Al Husayn (Radhya Llahu anhu)
Jina lake ni Al-Husayn bin Ali bin Abi Talib
bin Abdul Muttalib bin Hashim bin Manaf bin Qusay kutoka
katika kabila la Kikureshi tumbo la Bani Hashim, na umaarufu
wake ni; 'Abu Abdullah' na maana yake ni Baba yake Abdullah.
Al-Husayn (Radhiya Llahu anhu) ni mjukuu wa
Mtume wa Mwenyezi Mungu (Swallah Llahu alayhi wa Sallam) na
kipenzi chake,
Endelea
|
|
"Yaa Allah"
Unapokuwa ndani ya chombo chako cha baharini ukakumbana na upepo mkali, dhoruba na mawimbi makubwa ya kutisha, usiingiwe na hofu, kumbuka kuwa yupo anayekuona na kukusikia, sema...
Endelea |
|
Makosa ndani ya Swala
Utulivu (Tumaaniyna)
ni nguzo muhimu sana katika nguzo za Swala, na bila ya utulivu
Swala haiwi kamilifu.
Siku moja Mtume wa Mwenyezi Mungu (Swalla Llahu alayhi wa sallam)
alikuwa amekaa msikitini, akaingia mtu mmoja na kuswali. Baada
ya kumaliza akainuka na kwenda kumsalimia...Endelea
|
|
 |
|
 |