Hii ndiyo itikadi
sahihi ya Kiislamu
Hakika
Mwenyezi Mungu amemtuma Mtume wake Muhammad (Swalla
Llaahu ‘alayhi wa sallam) awe dalili iliyo wazi juu ya
waja wake, na awabainishie yale aliyoteremshiwa katika
Kitabu, na awe mfano mwema wa kuigwa na walimwengu wote,
na ili watu wapate kuwa na muongozo mwema katika dini
yao na dunia yao.
Ametumwa kutufundisha itikadi sahihi
pamoja na hekima kwa ajili ya kutengenea hali ya umati
wake, na pia kuwaweka juu ya njia safi na sahihi,.....Endelea